Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Umesema ukweli mtupu
 
Me naamini zaidi mwanamke kupambania mahusiano
Nataka mwanamke apambane kuwa na Mimi
Me Sina mapenzi na demu yoyote Niko na mapenzi Kwa pisi inayopambana kuwa na Mimi
Hii inahitaji muda kama miaka mitatu
Utamwona demu anayekuhitaji na mzugaji atachoka atembee me nilikuwa nawapa mitihani mizito
Aliyefaulu ndo wife
 
Miaka kumi baadae mwanamke hatakua na thamani tena ya kuolewa. Mapenzi yatachukuliwa kama biashara na sex itakua kiburudisho cha kawaida kama beer au soda.

Kwakua mwanamke anapenda ndoa, basi atalazimika kuumia sana ili tu awe katka maisha ya ndoa na mwanaume, na hapo wanaume watachukua point 3 za ushindi. Huu ni utabiri wangu nikiwa nipo bwiiii 🍺
 
Exactly to each their own..., kwahio kwa uamuzi wako na wengine wana uamuazi wao na wote wataface consequences of their decisions, ila kama unadhani kwamba sababu mpaka leo hata baggages huko nyuma na kesho atakuwa kama leo basi you have got another think coming....
He's just helping men make informed decisions.

Psychologically; personality development is affected by environment and experience among many others.

Kwahiyo a damaged woman is highly likely to be toxic, narcissist as compared to one with a clean past - a virgin.

After all: thamani ya mwanamke ni mwili wake, that's why her past matters; thamani ya mwanaume ni mali zake, that's why his future matters.

Everyone should harshly, and rightly, be judged accordingly.

Wanawake wapo very harsh when it comes kwenye kufanya hiyo judgment unlike nyie simps.
 
He's just helping men make informed decisions.


Psychologically; personality development is affected by environment and experience among many others.

Kwahiyo a damaged woman is highly likely to be toxic, narcissist as compared to one with a clean past - a virgin.
According to you and nashukuru sana wote hawana mawazo kama yako sababu ingekuwa hivyo population ingebakia sifuri au kungekuwa hakuna relationship sababu wengi wasingepata watu..., Ila kama nilivyosema thankfully watu wana mtizamo tofauti.... Na kama unadhani virgin wa leo hawezi akawa kahaba kesho..., Like I said you have got another think coming
After all: thamani ya mwanamke ni mwili wake, that's why her past matters; thamani ya mwanaume ni mali zake, that's why his future matters.
Again kwa mujibu wa mawazo yako ingawa una kila haki ya kuwa na mawazo hayo..., na kama usemayo yangekuwa factual maneno gigolo au sugar mama's au gold diggers wa kiume yansingekuwepo
Everyone should harshly, and rightly, be judged accordingly.

Wanawake wapo very harsh when it comes kwenye kufanya hiyo judgment unlike nyie simps.
No one should be judgmental, sababu haujatembea kwenye viatu vya muhusika kwahio huwezi kujua ni action gani ilileta hio reaction na vipi ukiondoa hio outcome itakuwa au leo hii ukileta reactions fulani outcomes zitakuwa zipi...
 
Labda nikuulize ww binafsi swali mkuu, mwanamke mwenye past safi wewe unaweza kumjua? Unamjuaje?
Mwanamke unamjua kupitia mazungumzo yenu, wanawake Ni wepesi kufunguka Kama na wewe ni mzuri kwenye technique ya kuuliza maswali au kumfanya afunguke.Mimi nimemjua demu wangu huyu nilie nae kuwa anifahi ile siku ya Kwanza tu ya date yetu Wala sikuhitaji muda mwingi ni kwasababu Nina experience na sio kwamba anipendi la hasha ananipenda sana Ila past yake sio nzuri katoa mimba kwake Ni kawaida, p2 katumia sana.
Natafuta Ajira
 
Mwanamke unamjua kupitia mazungumzo yenu, wanawake Ni wepesi kufunguka Kama na wewe ni mzuri kwenye technique ya kuuliza maswali au kumfanya afunguke.Mimi nimemjua demu wangu huyu nilie nae kuwa anifahi ile siku ya Kwanza tu ya date yetu Wala sikuhitaji muda mwingi ni kwasababu Nina experience na sio kwamba anipendi la hasha ananipenda sana Ila past yake sio nzuri katoa mimba kwake Ni kawaida, p2 katumia sana.
Natafuta Ajira
Hayana formula ndio maana Baltazar engonga kaja kuwa prove right wakataa ndoa, we unadhani wanawake wote wale 400 hawakuwa na past iliyonyooka kabla ya kuingia kwenye ndoa zao?

Usiweke guarantee sn kwa kiumbe pekee ambacho kimeongea na shetani live pale eden, we cheza karata zako uki win okee ukiliwa ugulia maumivu pangusa kalio endelea na safari.
 
KAtika kila jambo kuna exception lakini tunapofanya general conclusion atuangalii exceptionality.

Ndio maana nimekuambia katika kucjagua kukosea kupo lakini isiwe sababu ya wewe kupuuzia hatari.

Kwanini hauwezi kwenda kuchukua mmoja wa makahaba wanajiuza pale reverside na kumfanya awe mkeo, huyu kahaba nae ni binadamu pia anaweza kubadilika kwanini usimchukue umkanye aache ukahaba halafu umuweke ndani awe mkeo?

Mustakabali wa mahusiano/ndoa ni fumbo lakini iyo sio sababu ya wewe kuchagua mwenza wa maisha blindly.
Huo mfano uliompa Ni konki asipoelewa hapo atakuwa tu ameamua tu awe mbishi
 
Mkuu hil linaitaj neema ya mungu TUPO KWENYE SOKO LA MISHANGAZI kuruka huu mtego sijui na ukiruka UMETOBOA
Ukiona bado unaongozwa na hisia badala ya akili ujue bado ujawa mwanaume
 
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Haya madini yawekewe lamination kabisa[emoji1316]
 
Back
Top Bottom