Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Natafuta Ajira .
1. Nyie ni malaya
2. Mnapenda tigo
3. Mnajiona sana nakutawala watu hamuwezi kusaidika lazima mtishie wengine shida hamtaki kuwa romantic nyie ni watumiaji na mmevaa ngozi ya kondoo sio nice guys ni nice fisii .

Nyie mna madharau , niwajuaji , hampendi kutulia, hamjitambui . Yaani nice guys kwa malaya tu na ndio maana mnaangukia pua . Yaani saivi nyie mnaojiita nice guys nawachukia wengi marioo tu kila kitu mnadepend wadada , wanawake . Na hizo nguo zenu za kuazima . Na bado mtapata wezi , vibaka , malaya , matahira yaani mpaka mjitambue
Tumekufanyaje kwani 😀
 
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Umeeleza vyema. Safi sana kaka.
 
Mtoto wako wa kiume akija kukuambia anataka kuoa kahaba au mwanamke anaejulikana kwa umalaya mtaani utamkubalia
Mpaka anakuja kwangu kunieleza hayo mwenyewe atakuwa ameshaangalia prons ana cons za huyo malaya au kahaba kama unavyomuita so nitamkubalia
 
Natafuta Ajira .
1. Nyie ni malaya
2. Mnapenda tigo
3. Mnajiona sana nakutawala watu hamuwezi kusaidika lazima mtishie wengine shida hamtaki kuwa romantic nyie ni watumiaji na mmevaa ngozi ya kondoo sio nice guys ni nice fisii .

Nyie mna madharau , niwajuaji , hampendi kutulia, hamjitambui . Yaani nice guys kwa malaya tu na ndio maana mnaangukia pua . Yaani saivi nyie mnaojiita nice guys nawachukia wengi marioo tu kila kitu mnadepend wadada , wanawake . Na hizo nguo zenu za kuazima . Na bado mtapata wezi , vibaka , malaya , matahira yaani mpaka mjitambue
You are a woman and you can't teach a man how to be a man, because you don't what it takes to be a man.
 
Ukishafikia level unatafutiwa na wazazi mke, basi wewe ushafeli
Hakuna shida yoyote kutafutiwa mke na wazazi. Mjini watu tumekutana ukubwani na tupo bize hatuna muda wa kufatilia file zima la mwanamke sio mbaya ukiwaambia wazee wakutafutie binti ambae wanaijua historia yake tangu akiwa mtoto uko kijijini
 
1. Nyie ni malaya
2. Mnapenda tigo
3. Mnajiona sana nakutawala watu hamuwezi kusaidika lazima mtishie wengine shida hamtaki kuwa romantic nyie ni watumiaji na mmevaa ngozi ya kondoo sio nice guys ni nice fisii .

Nyie mna madharau , niwajuaji , hampendi kutulia, hamjitambui .
Hahaha,
Mbona unachanganya mambo?
Kwa huo ufafanuzi wako hao ni 'Bad Guys'
 
Ukipata demaged ujue na wewe ni demage ingine tu Umepewa wa kufananaa
 
Ukipata demaged ujue na wewe ni demage ingine tu Umepewa wa kufananaa
Sio kweli kabosa.. kupata demaged product kwa kiasi kikubwa kunatokana na makosa uliyoyafanya wakati unamfanyia vetting partner wako, hakuna mahusiano moja kwa moja ya wema au ubaya wa mtu.

Unafikiri in most cases kwanini mume akiwa hovyo mke anakua mwema au mke akiwa hovyo mume anakua mwema?

ni kwa sababu hawa watu wa hovyo wana uzoefu mkubwa kwenye dating pool, washakichafua sana kwaiyo wakiamua kutulia ni rahisi kufanya chaguo sahihi kwa sababu wanazijua kwa undani characters zote za jinsia nyingine.
 
You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.
Umeongea ukweli sana.

Kijana mwenye mafanikio Obviously aliacha mambo ya dunia aka jikita kwenye malengo na hana uzoefu na hawa Hawks
 
Sio kweli kabosa.. kupata demaged product kwa kiasi kikubwa kunatokana na makosa uliyoyafanya wakati unamfanyia vetting partner wako, hakuna mahusiano moja kwa moja ya wema au ubaya wa mtu.

Unafikiri in most cases kwanini mume akiwa hovyo mke anakua mwema au mke akiwa hovyo mume anakua mwema?

ni kwa sababu hawa watu wa hovyo wana uzoefu mkubwa kwenye dating pool, washakichafua sana kwaiyo wakiamua kutulia ni rahisi kufanya chaguo sahihi kwa sababu wanazijua kwa undani characters zote za jinsia nyingine.
Victims ni sisi Nice Guys
 
Back
Top Bottom