Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kuna wakati huwa natamani kujiaminisha kwamba baada ya kujipata si lazima nije kuishi na mwanamke ndiyo nipate ukamilifu wa kuishi hapa duniani. Nyakati zimebadilika, ninaweza nika hit and run na nikaishi mpk uzeeni, nikafa kwa mapenzi ya Mungu tu na si stress za damaged woman ambaye ningeishi nae
Mkuu tunapoelekea hawa wanawake hawataamini, unajua baadhi ya wanaume washaanza badili mitazamo kuwekeza kwenye kutafuta zaidi kuliko mahusiano tena hawana kabisa mpango nina ushahidi kulingana na ninapofanyia kazi na kila ninapokuwa mtaani au viwanja kuhang na wana.

Mimi binafsi ni miongoni mwao nipo age of 30's nina watoto wawili naiona tofauti kubwa sana kuwa mwenyewe kuliko kuishi na mwanamke nothing to stress me zaidi ya kazi na nimepiga hatua kubwa sana kuliko nilipokuwa na hao viumbe ile serious relationship.

Sas kuna mpaka wazee hawataki kabisa habari za mahusiano na wanafurahia maisha i wonder uko mbele hali itakuaje.

N.B Vimeo vyakukata upwiru ni vipo vingi but nina limit navyo tukimalizana kila mtu anashika njia zake.
 
Mkuu tunapoelekea hawa wanawake hawataamini, unajua baadhi ya wanaume washaanza badili mitazamo kuwekeza kwenye kutafuta zaidi kuliko mahusiano tena hawana kabisa mpango nina ushahidi kulingana na ninapofanyia kazi na kila ninapokuwa mtaani au viwanja kuhang na wana.

Mimi binafsi ni miongoni mwao nipo age of 30's nina watoto wawili naiona tofauti kubwa sana kuwa mwenyewe kuliko kuishi na mwanamke nothing to stress me zaidi ya kazi na nimepiga hatua kubwa sana kuliko nilipokuwa na hao viumbe ile serious relationship.

Sas kuna mpaka wazee hawataki kabisa habari za mahusiano na wanafurahia maisha i wonder uko mbele hali itakuaje.

N.B Vimeo vyakukata upwiru ni vipo vingi but nina limit navyo tukimalizana kila mtu anashika njia zake.
Kwa mwanaume gharama za maisha zinakua ndogo ukiwa single na kubwa ukiamua kuingia kwenye committed relationship, wakati kwa mwanamke akiwa single gharamanza maisha zinakua kubwa na akiingia kwenye relationship gharama za maisha zinashuka au anaishi free kabisa.
 
Kwa mwanaume gharama za maisha zinakua ndogo ukiwa single na kubwa ukiamua kuingia kwenye committed relationship, wakati kwa mwanamke akiwa single gharamanza maisha zinakua kubwa na akiingia kwenye relationship gharama za maisha zinashuka au anaishi free kabisa.
True hakuna amani ndani ya moyo kama unapojipangia matumizi pesa yako pasipo kuwaza pesa ya wigi, chupi, kusuka etc kutoka kwa mwanamke na sas hivi wana kauli yao kwamba muoga wa maisha ilihali naona hawajui wanachotaka ulishapitia ndiyo hiyo mitego wanayoweka unase wapite na vyako badae haohao wanaanza kukucheka.
 
Huyo "nice guy" wakati anajitafuta alikuwa anabanjuka na mbwa eti??
Si aoe hao aliokuwa anabanjuka nao maana watakuwa wanaendana?

Hili suala la ngono kabla ya ndoa ni la wote, si wasichana tu bali vijana na wazee wamo na wanachangia uharibifu wa jamii zetu kwa ujumla kiasi cha kusemwa hakuna maadili tena.
Alikuwa mpiga nyeto
 
Mimi najua kama wewe nice guy you'll always attract a nice woman ....we attract what we are .,...
Not necessarily so, for as they say, 'opposites attract'.

Kinachotokea ni kuwa unakuwa huna dating experience and so are the nice women. Kwa hiyo ukikumbana na Ke wabobevu (madada wa mjini) unaingizwa kingi chap chap, ukija kuzinduka kushakucha
 
Kuna dondoo zinaweza kukuongoza kama heshima, utiifu, mavazi, mienendo yake, bikira, maisha ya wazazi wake n.k
According to mtazamo wako lkn unaweza ukaangalia vyote hivyo na steel mwaamke asiwe hivyo unavyothan, women are very complicated creature in this universe we are living mkuu, bado hujawajua vizuri kama hizo ndio dondoo unazotegemea upate nice women.
 
According to mtazamo wako lkn unaweza ukaangalia vyote hivyo na steel mwaamke asiwe hivyo unavyothan, women are very complicated creature in this universe we are living mkuu, bado hujawajua vizuri kama hizo ndio dondoo unazotegemea upate nice women.
Still
 
According to mtazamo wako lkn unaweza ukaangalia vyote hivyo na steel mwaamke asiwe hivyo unavyothan, women are very complicated creature in this universe we are living mkuu, bado hujawajua vizuri kama hizo ndio dondoo unazotegemea upate nice women.
KAtika kila jambo kuna exception lakini tunapofanya general conclusion atuangalii exceptionality.

Ndio maana nimekuambia katika kucjagua kukosea kupo lakini isiwe sababu ya wewe kupuuzia hatari.

Kwanini hauwezi kwenda kuchukua mmoja wa makahaba wanajiuza pale reverside na kumfanya awe mkeo, huyu kahaba nae ni binadamu pia anaweza kubadilika kwanini usimchukue umkanye aache ukahaba halafu umuweke ndani awe mkeo?

Mustakabali wa mahusiano/ndoa ni fumbo lakini iyo sio sababu ya wewe kuchagua mwenza wa maisha blindly.
 
Kwa hiyo anayevaa gauni refu mpaka kwenye magoti na lenye malinamalinda na huku amesuka twende kilioni kama queen sendiga na skonkonko huku ameshika biblia ndio sign ya mwanamke mtulivu au siyo.

Wewe kama hutaki kuamini acha ila "HAYANA FOMULA"
 
KAtika kila jambo kuna exception lakini tunapofanya general conclusion atuangalii exceptionality.

Ndio maana nimekuambia katika kucjagua kukosea kupo lakini isiwe sababu ya wewe kupuuzia hatari.

Kwanini hauwezi kwenda kuchukua mmoja wa makahaba wanajiuza pale reverside na kumfanya awe mkeo, huyu kahaba nae ni binadamu pia anaweza kubadilika kwanini usimchukue umkanye aache ukahaba halafu umuweke ndani awe mkeo?

Mustakabali wa mahusiano/ndoa ni fumbo lakini iyo sio sababu ya wewe kuchagua mwenza wa maisha blindly.
Mbona wapo watu waliooa makahaba na sasa wamebadilika wanasherehekea miaka10 ya ndoa zao. Ndio maana nasema hayana fomula mkuu
 
Natafuta Ajira .
1. Nyie ni malaya
2. Mnapenda tigo
3. Mnajiona sana nakutawala watu hamuwezi kusaidika lazima mtishie wengine shida hamtaki kuwa romantic nyie ni watumiaji na mmevaa ngozi ya kondoo sio nice guys ni nice fisii .

Nyie mna madharau , niwajuaji , hampendi kutulia, hamjitambui . Yaani nice guys kwa malaya tu na ndio maana mnaangukia pua . Yaani saivi nyie mnaojiita nice guys nawachukia wengi marioo tu kila kitu mnadepend wadada , wanawake . Na hizo nguo zenu za kuazima . Na bado mtapata wezi , vibaka , malaya , matahira yaani mpaka mjitambue
 
Back
Top Bottom