Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Mi nadhani ukiwa kwenye moment ya kusaka mafanikio, tafuta pia mtu utakaye endana nae kwa wakati huo na ajue na kukubali kuwa upo kwny phase ya kutafuta success, kwaiyo kama ni tamaa za kijinga za ujanani azipunguze au azikatae kabsa. Kiuhalisia wenza wa namna hii wapo, ukiona ambaye haendani na matakwa yako piga chini, songa na safari yako ya mafanikio.

Kwa upande mwingine wa kusaka mafanikio kwanza, alafu ndo uje utafute mwenza wa kutulia nae na kujenga familia, hapa una 90% ya kupata bomu (damaged women), kwasabb uyo mwenza anakuwa hajui msoto wako mpk umefika hapo ulipo, na mostly wanakupenda kutokana na mafanikio uliyonayo. Hivyo ikitokea umetepeta kidogo, hamna rangi utaacha kuona.

N.B; haya mambo hayana formula, ni swala la kumshirikisha na MUNGU ili umpate yule sahihi wa kudumu nae kwny nyakati zote.
Yap ni kweli unajua katika maisha mwanaume anapitia hatua mbili, na kwa bahati mbaya sana kwenye kila hatua mwanamke ni kipingamizi kwa mwanaume. Naturaly women are chaotic and distractors.

Hatua ya kwanza ni kipindi ambacho mwanaume anajitafuta. Hapa mwanaume anakua late 10's au 20's. Hiki ni kipindi ambacho mwanamke anakuja kwenye maisha yako kupunguza kasi yako kupambana. Wote tunajua mahusiano ni liability kwa mwanaume. Utapoteza muda, nguvu na resources chache ulizonazo vitu ambavyo ni muhimu sana kwenye mapambano. Infact, hata kama mwanamke yupo nawe kwa nia njema bado kuna namna atakua liability tu.

Hatua ya pili ni pale ambapo umejipata. Hapa mara nyingi mwanaume anakua 30's katika hiki kipindiwanawake watakuja ili wanufaike na mafanikio, na ukikaa vibaya watakuangusha kabisa.

Mimi nafikiri maamuzi sahihi zaidi ni kukaa mbali na mahusiano kwanza ili muda, nguvu na rasilimali zote ueleleze kusaka mafanikio, then ndio utemgeneze committed relationship. Ofcourse wanawake watavutiwa zaidi na mafanikio na hakuna ubaya wa ilo kila mtu anapenda kuwa attached na mtu ambae amefanikiwa kimaisha. Lakini cha kuzingatia mwanamke uyo utakaemchagua awe na standards za maana ambazo ni heshima, nidhamu, utiifu, past safi, ametokea kwenye familia bora na itakua vizuri zaidi akiwa bikira
 
Mw
jamani jamani nyie mnasema tu mkikutana na hiyo mikulumbembe hamtoboi!, toto kwanza kapaka wanja kama jini kabula, mwendo kama kinyonga alieshinda umiss!.
mtoto body haijanyooka yani palipotakiwa kubonyea pamebonyea vilivyo na palipotakiwa kutuna pametuna kiufundi!.. toto sauti ni yakumtoa nyoka na mayai yake pangoni!, akikuangalia unatamani uzimie maana jicho laini lenye unyamnyam!, akikusogelea na ngozi yake ya malumalu ni kama umesogelewa na malaika!.

halafu huko chumbani sasa uno feni,anaipandilia vizuri,mabusu yake matamu asali ikasome, mtoto anakulana kana kwamba kasongo!.

haya umebanwa na huyo mtoto unamuachaje..? ukimuacha hata malaika wa shetani na wa Mungu wote wanakudunda!..😅
Mwanaume wa kweli vitu kama hivyo havimtoi mate mdomoni ....anachukua uamuzi sahihi
 
Wanao haribu Hawa women ni nani kama sio wanaume .....Mimi najua kama wewe nice guy you'll always attract a nice woman ....we attract what we are .,...na ukipata mwanamke hamuendani nae kuna mahali ulimkosea Mungu
Ni upumbavu kusettle na mwanamke ambae ashaalibika eti kwa sababu uarabifu huo kausababisha mwanaume mwenzako. Suala la kuishia kuwa na demaged partner ni subjective sana unaweza kuwa mwema na ukaishia na partner mbaya na ukawa mtu mbaya ukaisihia kuwa na partner mwema, hapa ndipo kuna umuhimu wa kufanya vetting vizuri. Hapo ndipo mara nyingi bad boys na bad women mara nyingi wanapata partner mwema kwa sababu wana uzoefu mkubwa kwenye dating pool ukilinganisha na nice guys na nice women.
 
Wanawake wazoefu wanajua kumuwinda mwanaume.

Wanajiweka mazingira ya kutongozwa na huyo mwanaume. Na wakiguswa tu wanampa yote huyo mwanaume.

Tofauti na nice women ambao kutongozwa tu inachukua mwaka mzima wa kusema yes wamejaa na sitaki nataka.
Kuna Kijana Mmoja mtoto wa Kiongozi Mmoja mstaafu anatesekaje na wanawake

Jamaa msomi na very kind person ila ana bahati mbaya sana wa kupata Vimeo, Mke wa kwanza amezaa naye mtoto Mmoja ndoa ikavunjika, Mke wa pili kesi ipo Mahakamani, mwingine kajilengesha anaujauzito
 
Ni upumbavu kusettle na mwanamke ambae ashaalibika eti kwa sababu uarabifu huo kausababisha mwanaume mwenzako. Suala la kuishia kuwa na demaged partner ni subjective sana unaweza kuwa mwema na ukaishia na partner mbaya na ukawa mtu mbaya ukaisihia kuwa na partner mwema, hapa ndipo kuna umuhimu wa kufanya vetting vizuri. Hapo ndipo mara nyingi bad boys na bad women mara nyingi wanapata partner mwema kwa sababu wana uzoefu mkubwa kwenye dating pool ukilinganisha na nice guys na nice women.
Nice guys waingie kwenye dating pool na wawe na uzoefu baadae wasije kuchukua mwanamke damaged .....
 
Kuna wakati huwa natamani kujiaminisha kwamba baada ya kujipata si lazima nije kuishi na mwanamke ndiyo nipate ukamilifu wa kuishi hapa duniani. Nyakati zimebadilika, ninaweza nika hit and run na nikaishi mpk uzeeni, nikafa kwa mapenzi ya Mungu tu na si stress za damaged woman ambaye ningeishi nae
 
Huyo "nice guy" wakati anajitafuta alikuwa anabanjuka na mbwa eti??
Si aoe hao aliokuwa anabanjuka nao maana watakuwa wanaendana?

Hili suala la ngono kabla ya ndoa ni la wote, si wasichana tu bali vijana na wazee wamo na wanachangia uharibifu wa jamii zetu kwa ujumla kiasi cha kusemwa hakuna maadili tena.
Mara nyingi ni watu wa gym na punyeto
 
Yap ni kweli unajua katika maisha mwanaume anapitia hatua mbili, na kwa bahati mbaya sana kwenye kila hatua mwanamke ni kipingamizi kwa mwanaume. Naturaly women are chaotic and distractors.

Hatua ya kwanza ni kipindi ambacho mwanaume anajitafuta. Hapa mwanaume anakua late 10's au 20's. Hiki ni kipindi ambacho mwanamke anakuja kwenye maisha yako kupunguza kasi yako kupambana. Wote tunajua mahusiano ni liability kwa mwanaume. Utapoteza muda, nguvu na resources chache ulizonazo vitu ambavyo ni muhimu sana kwenye mapambano. Infact, hata kama mwanamke yupo nawe kwa nia njema bado kuna namna atakua liability tu.

Hatua ya pili ni pale ambapo umejipata. Hapa mara nyingi mwanaume anakua 30's katika hiki kipindiwanawake watakuja ili wanufaike na mafanikio, na ukikaa vibaya watakuangusha kabisa.

Mimi nafikiri maamuzi sahihi zaidi ni kukaa mbali na mahusiano kwanza ili muda, nguvu na rasilimali zote ueleleze kusaka mafanikio, then ndio utemgeneze committed relationship. Ofcourse wanawake watavutiwa zaidi na mafanikio na hakuna ubaya wa ilo kila mtu anapenda kuwa attached na mtu ambae amefanikiwa kimaisha. Lakini cha kuzingatia mwanamke uyo utakaemchagua awe na standards za maana ambazo ni heshima, nidhamu, utiifu, past safi, ametokea kwenye familia bora na itakua vizuri zaidi akiwa bikira
Hapo Mwisho nimechemka kinafiko aisee awe bikiraaaaa......
 
Kipindi cha wazee wenu mazingira yalikuwa tofauti, fikra tofauti na hata mahitaji yalikuwa rofauti, imagine baba yako anaenda kumtokea mama yako, mama amevaa kaniki amesuka twende kilioni huku amepaka mafuta yale ya cindelela, dingi kapiga suruali zile za sakayonsa chini zimemwagika, shati la maua maua ya korosho kafuga afro na miwani nyeusi mambo yalikuwa shwar

Njoo leo sasa kwenye gen z, nice guy lazima.apoteze ubingwa atake asitake
Nature aibadiliki mzee mwenzangu. Women are manipulative, hypergamy and selfish. Kwaiyo lazima mwanaume uzijue kanuni za mchezo ili kwenda nao sambamba. Yatakuja mabadiliko ya mitindo ya nguo, teknolojia n.k lakini asili ya ndani haibadiliki. Mwanamke atabakinkuwa mwanamke na sifa zake za uanamke na mwanaume atabaki kuwa mwanaume na sifa zake za uanaume. Kwa sasa tunaishi kwenye dunia ambayo ipo corrupted na feminism ndio maana unaona kuna wimbi kubwa la wanaume ambao wamekubali kuzishusha standard zao. Mwanaume wa leo ataona ni sawa kuoa single mother au mwanamke mwenye past chafu lakini mwambie kuhusu kuoa bikira atakupinga kwamba ilo ninsuala ambalo lishapitwa na wakati. Unaweza kuona hapo jinsi tulivyotoka nje ya kanuni na kukubali kupumbazwa na feminism world huku tukipewa sifa za kijinga real man, gentleman pamoja na nukuu za kipambavu za past doesn't matter n.k
 
Wanao haribu Hawa women ni nani kama sio wanaume .....Mimi najua kama wewe nice guy you'll always attract a nice woman ....we attract what we are .,...na ukipata mwanamke hamuendani nae kuna mahali ulimkosea Mungu
hapana, kuna wanawake wabaya wanaigiza uzuri

shida ya kumuingiza mungu kwenye mijadala kama hii, unaifunga unashidwa kuichambua zaidi, ukiishiwa hoja lazima utatafuta namna umchomeke mungu ili usibishiwe
 
Iyo ni excuse ya simps tu lakini formula ipo. How comes wazee wetu waliyamudu lakini vijana wa leo wanaonekana kuzidiwa akili na wanawake?, somewhere somehow wanaume tumetoka nje ya formula.
Kipindi cha wazee wenu mazingira yalikuwa tofauti, fikra tofauti na hata mahitaji yalikuwa rofauti, imagine baba yako anaenda kumtokea mama yako, mama amevaa kaniki amesuka twende kilioni huku amepaka mafuta yale ya cindelela, dingi kapiga suruali zile za sakayonsa chini zimemwagika, shati la maua maua ya korosho kafuga afro na miwani nyeusi mambo yalikuwa shwar

Njoo leo sasa kwenye gen z, nice guy lazima.apoteze ubingwa ata
Nature aibadiliki mzee mwenzangu. Women are manipulative, hypergamy and selfish. Kwaiyo lazima mwanaume uzijue kanuni za mchezo ili kwenda nao sambamba. Yatakuja mabadiliko ya mitindo ya nguo, teknolojia n.k lakini asili ya ndani haibadiliki. Mwanamke atabakinkuwa mwanamke na sifa zake za uanamke na mwanaume atabaki kuwa mwanaume na sifa zake za uanaume. Kwa sasa tunaishi kwenye dunia ambayo ipo corrupted na feminism ndio maana unaona kuna wimbi kubwa la wanaume ambao wamekubali kuzishusha standard zao. Mwanaume wa leo ataona ni sawa kuoa single mother au mwanamke mwenye past chafu lakini mwambie kuhusu kuoa bikira atakupinga kwamba ilo ninsuala ambalo lishapitwa na wakati. Unaweza kuona hapo jinsi tulivyotoka nje ya kanuni na kukubali kupumbazwa na feminism world huku tukipewa sifa za kijinga real man, gentleman pamoja na nukuu za kipambavu za past doesn't matter n.k
Kimtazamo unaweza kuwa sahihi mkuu lkn mazingira na mifumo ina wafavour hao unaowaita feminism na ndio hapo chance ya nice guys kutoboa inapokuwa finyu,

Kimsisngi huyo nice guy atajipeleka mwenywewe tu kwa hao broken women kama mbwa anavyojipeleka kwa chatu
 
Back
Top Bottom