Kwanini nikianza kufanya mapenzi na mke wangu mtoto wetu mchanga aliyelala fofofo anaamka na kulia?

Kwanini nikianza kufanya mapenzi na mke wangu mtoto wetu mchanga aliyelala fofofo anaamka na kulia?

Ni hali tu ya maisha lakini mtoto anapozaliwa anapaswa kuwa na chumba chake. Unamzoesha routine ya kulala na unamuwekea radio call pembeni akilia unamsikia kutoka chumbani kwenu
Hahahaa mwanetu yeye anaamka anatuangalia tunavosuguana anageukia upande wa pili tunaishi chumba kimoja kitanda chake kiko pembeni ya chetu
 
Mwenyewe siku nikijaliwa mtoto sidhani kama nitaweza kulala mbali na mwanangu yani nilale chumba kingine yeye kingine afu ana miezi kadhaa hapana
yaan hawataki kabs!ila dah inaboa sana ,,ugwadu alafu kamanda anaamka
 
Wivu mtoto anahisi hawa wanatafuta mwenzangu na hatakuwa muhimu tena
 
bora huyo anaamka na kulia tu ukikakuta ka kubwa kubwa kama mwaka hivi huwa kanachungulia kabisa maeneo
Daah,mwingine mkubwa mkubwa wa umri kama uliousema,zile kashikashi huwa anahisi kama ugomvi vile yaani kama vile unampiga mama ake basi anachokifanya kama anakuja kuamua ugomvi na kilio juu.


Wakati hajui kama ile ndio sababu iliyomfanya yeye awe yeye.

Yaani kwenye hii mada najiona mimi kabisa.
 
#UZIBILAPICHANIUCHOCHEZI
maxresdefault.jpg
 
Kinachosababisha aamke ni harufu ya maziwa,Harufu ya maziwa inafanana na harufu ya maji maji yanayopatikana katika mtumbo la uzazi, so mtoto anapozaliwa anakua amezoea hiyo harufu kiasi kwamba anaweza akawa amelala usiku upande mwingine wa kitanda ila akatafuta ziwa la mamake na akanyonya Hii inahusikaje na tatizo lako, Unapokuwa una mnaniliu mkeo huwa anasisimka maeneo ya maziwa, hii hupelekea kutoka ute ama maziwa kwenye chuchu ambapo harufu yake inamuamsha mtoto haswa nyakati za usiku kipindi ambacho watoto wengi huwa na njaa.. Natumia freebasics so kama kuna typing errors natanguliza samahani...
 
Itakuwa anamuonaga mwingine anafnya na ukija ww anaona unamwibia baba yake halisi.
 
umenichekesha sana Eti umemfinya!

Jaribu kutafuta kakitanda kake au fanyeni taratibu Mkuu ili asiamke
 
umenichekesha sana Eti umemfinya!

Jaribu kutafuta kakitanda kake au fanyeni taratibu Mkuu ili asiamke
 
Back
Top Bottom