Kwanini nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka?

Yawezekana una macho yacpaka ya buluu, kjani, au kahawia. Au pengine yanayomeremeta kama ya nyoka au MEKUNDUU. JICHUNGUZE MACHO YAKO.
 
Yawezekana una macho yacpaka ya buluu, kjani, au kahawia. Au pengine yanayomeremeta kama ya nyoka au MEKUNDUU. JICHUNGUZE MACHO YAKO.
Mkuu macho yangu meupe kabisa.
 
Watu wengi utumika kichawi kupitia kauli zao, macho nk japo wao sio wachawi. Kuna mtu akishika kitu lazima kiharibike, ukimshirikisha jambo halifanikiwi
 
Una macho ya Husda wewe tena mabaya sana
Uwe unaomba sana unapotoka kwako
Shusha macho sio kila mmoja unamuangalia

Jicho
 
Kwahiyo watu wanaopishana na wewe njiani ambao hua unawaangalia wote hua wana anguka?

Yaani kila mtu ukimtizama tu anajikwaa na kuanguka! basi Mkuu itakua kwa siku una waangusha watu wengi sana.
 
Una bahati mbaya kama wale wanaume wakiingia sehemu kuna wanawake na wanaume wengine wanawake wanaanza kujiweka sawa au wabane miguu au kuangalia kama kanga imefunika sawa nk HIVYO USIYAWEKE KTK MAANA YOYOTE KAZI IENDELEE
 
Ww ni Merlin mkuu😅
 
Watu wengi utumika kichawi kupitia kauli zao, macho nk japo wao sio wachawi. Kuna mtu akishika kitu lazima kiharibike, ukimshirikisha jambo halifanikiwi
Kuna maza mmoja Yuko hivyo,,, na ni ana roho mbay balaa
 
nikulipe sh ngapi ukamtazame chifu wa machifu afu tuone kama ataanguka?

anyway, bora mvua inyeshe naona hili jua ni kali sana
 
Mimi nikimtizama binti machoni Kwa kumkazia lazima anakuwa na interest Nami au anaweza loose confidence kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uko wapi tukutane uniangalie nianguke..kitambo sijaanguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…