Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

An
Wala sitaki kubishana kuhusu umri labda tubishane kuhusu kuwa bussy ktk social networks ndio unaweza kunizidi.
Sijamaanisha kuwa wewe ni mtoto kwa maana ya umri wako bali wewe ni mtoto kwa maana ya uelewa mdogo wa masuala mbalimbali!
 
Kuna hata baadhi ya wanawake hawajui yanatoka wapi
 
Majibu sahihi bado hayajatolewa kwa muhusikia naona anasimangwa tu!!!!!
 
Alafu kumbe una uza mechi kijana(unapiga peku),,,unaroho ngumu sana
 
Kama ukiona mpenzi wako anatoa ujiuji fulan hivi unaozunguka uume wako ni kuwa mpenzi wako anahisia nyingi sana za kimapenzi kwako lakini pia anakuwa hajafanya mapenzi kwa muda mrefu kidgo.

Kama mwanamke ammesex siku hiyohiyo na akakutana na mwanaume mwingine basi hutoa majimaji ya kawadia sana na sio huo ujiuji.

Hivyo kwa uelewa wangu nikimuona mwanamke wa namna hio huwa ni kigezo cha kunipenda na kuwa mwaminifu kwangu.


Wapo wale sex-monger wanapend kutiana muda wote na wanahisia na mtu yeyote wanaweza pia kutoa uji huo hata kuda wwte hivyo sio guarantee ya uaminifu kwa kila mtu.japo iko hivyo kwa walio wengi.
 
Naipenda jf
 
Kwa title yako hapo juu,huyo mwanamke ana ugonjwa unaoitwa vaginal candidiasis yaani yeast au fungus wameota ukeni dalili zake ni mabonge kama maziwa yaliyoganda.

Mwanamke huyo aende hospital apate vipimo na tiba sahihi na wewe pia maana katika program ya tiba ya magonjwa ya ngono na mwenza hupata tiba.
 
Aaaa anaomba ushaur jaman na hayo sio maji tuachie madoctor tumjib.naanza ukiona hivyo ujue unamfikish kilelen hahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…