Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

We nae umekazana kuwaambia watu wakakue huku kwa majib ya wadau inaonesha kuna contradiction, wengine wanasema ni fungus, wengine orgasm. Sasa ww uliekua leta jib la uhakika sio kujichekesha mbele ya wanaume
ndiyo maana nimesema si wote ni fungus uwe unaelewa basi..
 
Nani ameleta hivi vitotovya chekechea humu? NAOMBA VIONDOKE HARAKA IWEZEKANAVYO KABLA HATUJAPITISHA ROLL CALL: NI AMRI SIO OMBI
 
mmesema yoote mpeni elimu ili ajua kama hajakua aache! msaidieni ndio maana ya jamvi hata upupu huja na watu huuondoa pole pole bila kukwangua ngozi na kutoa damu. msaidieni dogo!! ili kama hajakomaa aacha mchezo huo.
 
ukifikisha miaka 20 hutaone tena hivyo veupe vinatokea kwa sababu hujakuwa vizuri ndo maana vinatokea. tena ukiendelea kufanya sex kabla ya miaka 20 ichoo kichololoo chako kitakatika.

nakutakia masomo mema na mtiani mwema form four simko kwenye maandalizi ya mocku.
 
kijana bado hujakua kwa hiyo kuambiwa mambo makubwa kama haya ni ku-kukuza kabla ya wakati, umeyawahi mapema sana, acha kukimbilia mambo makubwa
 
Kama ni mazito kama yameganda flani basi muhusika anaweza kuwa na fangasi za ukeni.

But kama ni mazito kawaida hiyo ni vaginal mucus,yana act kama lubricant kuzuia michubuko.
 
basi usifanye sex....... mbona nyie mnatokojolea ?

Hivi kuna thread ambayo huchangiagi au unatafuta umaarufu Jf?
Kama ni umaarufu ushaupata naomba thread nyingine achia wataalamu wajibu!
Povu la nini au na wewe ndo walewale?
 
Hivi kuna thread ambayo huchangiagi au unatafuta umaarufu Jf?
Kama ni umaarufu ushaupata naomba thread nyingine achia wataalamu wajibu!
Povu la nini au na wewe ndo walewale?
kheee kumbe kuna umaarufu jf? sikujua hilo dogo.. ila ushauri maliza shule kwanz ukiona nakuboa niweke kwenye ignore list
 
Back
Top Bottom