Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

Kama tunakubaliana tafsiri, masia ni mkombozi.
1. Je, Haile Selassie alikuwepo kwa ajili ya kumkomboa nani, kutokana na nini?
2. Aliupateje huo umasia?
rasta Haile selassie ni Masia,nabii wa kibinadamu alie kuja kuokoa generations ya Africa na kizazi chake,Naomba nikufungulie kidogo kuhusu History ya Haile selassie i, alizaliwa 23 july 1892 na akafariki 27 august 1975.
alikuwa kiongozi wa Ethiopian regent kutoka mwaka 1916-1930, na emperor kutoka 1975 to 1974. alikuwa ni member kutoka kabila la solomoni,ukifatilia lineage-ametokea katika emperor Menelik-kupitia Shewan royal ancestors-ambae alikuwa mjukuu mkubwa wa King Sahle selassie,mtoto wa Sahle salessie alikuwa mama wa Woldemikael[Makonne woldenmikael Guddisa]ndo alikuwa baba wa Haile selassie i na mama ake alikuwa Yeshimebet Mikael[mtoto wa Ras Ali of bete Amhara/wollo].kama unapenda kujua zaidi soma bibilia.
 
Kama tunakubaliana tafsiri, masia ni mkombozi.
1. Je, Haile Selassie alikuwepo kwa ajili ya kumkomboa nani, kutokana na nini?
2. Aliupateje huo umasia?
Amekuja kutukokoa katika darkness ya nguvu za Babylon system...............fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee on dem
 
Huu mwandiko na wa kwenye uzi ni vitu viwili tofauti. kuna sehemu ume- copy na pest huo uzi[emoji41]
 
Nikuulize swali mkuu?
 
Huu mwandiko na wa kwenye uzi ni vitu viwili tofauti. kuna sehemu ume- copy na pest huo uzi[emoji41]
mkuu kuwa na imani ni nacho kwambia ndo ninacho maanisha tafuta popote kama kuna mahali imechukuliwa ntakupa zawadi.
 
Hii ni imani Kama imani nyingine best, wale marastafari wenyewe wapo peace sana na mmea ni sehemu ya ibada πŸ˜ƒ
tatizo Meeyah rastaefari[rastaman] Tanzania anachukuliwa kama muhuni flani, mtu alie kosa muelekeo wa maisha.na hii imesababishwa na dreadlock ambao sio Rastafarian ambao wanafuga rasta kwa ajili ya fasheni,unakuta matendo wanayo fanya niyakiuni sana,wanatumia ganja kama kilevi sio means ya meditation for levity, Wahuni wengi wamefuga nywele sio rasta.
 
Wengine tunafuga Kama fasheni na ganja ni sehemu tu ya starehe. Unataka kuniambia kama sio rastaman huruhusiwi kutumia ganja?
 
Wengine tunafuga Kama fasheni na ganja ni sehemu tu ya starehe. Unataka kuniambia kama sio rastaman huruhusiwi kutumia ganja?
hapana japo si halalishi....ila maraisi wengi na watu wengi wenye IQ kubwa wanavuta au walishawai kuvuta bangi, eg Obama,Kenya mkubwa na mdogo,achia mbali ma professor kibao wanakula jani.....ule mmea unakufungua akili na unaona vitu vya kindani zaidi, unakuwa na maono.mi ukiniambia niache ninywe pombe abadani siwezi.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Nakuelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…