specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
uzi mzuri sana huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki iliyopita nili post uzi unaozungumzia ni jinsi gani utakuwa Middle Class, yaani kuteseka ki uchumi, kama ndio kwanza unaanza maisha na unafuata fumula ya walio wengi, yaani kununua gari then kujenga nyumba.
Ebu tuanze uchambuzi.
Kwa upande wa gari.
Bei ya chini kabisa ya gari used ni Tsh Milioni 5 au 6 mfano Vitz. Tuweke kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya mafuta kwa siku ambapo utatumia lita 5 hadi 6. Kwa siku utatumia 6X2,250=13,500/- kwa siku. Kwa mwezi itakuwa 13,500X30=405,000/-
Kwa mwaka 405,000X12-=4,860,000. Ukiweka Service na gharama zinginezo kama road license, bima, oil nk inafika milioni sita hadi saba kwa mwaka. Milioni saba ni sawasawa na kusomesha watoto 5 katika English medium school . Piga hiyo hesabu kwa miaka 5 utapata habari yako, na ndani ya miaka kama ingekuwa ni biashara ingekuwa mbali, au kukitokea makosa itakufa pia
Kwa upande wa Nyumba.
Nyumba ya kuishi utatumia milioni 40 au 50 kujenga nyumba ambayo itakusaidia ku serve kodi ya 150,000 kwa mwezi wakati kwa kutumia M40 ungetengeneza asset inayozalisha M1.5 kwa mwezi.
Nyumba ya kupangisha ni Idea nzuri lakini tathmini inaonesha nyumba ya kupangisha inatumia miaka 10 hadi 15 kurudisha hela, inategemea na mahali ilipo.
Kwa mambo kama haya ndiyo maana utakuta mtu kila mara analia kuwa haoni hela yake inakwenda wapi, lakini kasahau kuwa anahudumia gari.
Watu wengi hatuna utamaduni wa kuweka kumbukumbu ndiyo maana siku ile watu walisema maisha hayana fumula, wengine wakasema nanunua ndinga kwanza mambo mengine baadae.
Tatizo liko hivi ukianza na gari, uje nyumba then uhamie kwenye business itakuwa ni too late kwako hasa ki umri, uzoefu unaonesha kwa watanzania waliowengi tunajenga nyumba kwa taratibu sana kutokana na kipato, leo unapata laki 1 unanunua bati 9, mwezi ujao siment mifuko 5.
NB: Mimi naona ni bora ukawekeza kwenye vitu vinavyozalisha kwanza then Gari na Nyumba vitakuja baadae, yaani vi hudumiwe na biashara zako, lakini siyo mshahara wako.
Hayo ni maoni, vinginevyo kila mtu ana malengo yake
Formula ya maisha ipo ndugu, ndiyo maana huwa tunaanza na elimu then kutafuta pesa kunafuata. Kufanikiwa bila kujua hata kusoma A ni nadra sana. Pia ndio maana kuna somo la maarifa ya jamii, hiki nilichokiandika ni maarifa ya jamii pia
Ndiyo maana nilisema kwenye conclusion kuwa mwisho wa siku kila mtu ana mipango yake, wewe kama hauna idea ya ujasiriamali soma then pita, waachie wenye interest. Ndiyo maana kwenye hii forum kuna watu wanakuja na idea zao za kufuga bata, wengine machungwa
Mkuu umemaliza kila kitu. kuna tofauti kubwa sana kati ya maisha ya Bongo na America au na nchi zilizoendelea.
So, mtu anapoleta formula za America ili ziwe applied Bongo anakuwa anakosea sana.
Wenzetu nchi zilizoendela like america ambapo formular kama hii ya mleta mada iliko kopiwa, kuna nyumba nyiingi sana za National housing, Serikali ina apartments za kutosha za kupangisha raia wake tena kwa cheap kabisa.
Hapa kwetu kuna nyumba ngapi za National housing? zina'accomodate asilimia ngapi za raia?
Imagine mtu mwenye familia ya watoto wawili tuu wa kike na kiume, atahitaji kupanga nyumba angalau ya vyumba vitatu.
Mjini Dar kwa mfano nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa si chini ya wastani wa TSh 350,000/= kwa maeneo ya kawaida kabisa.
350,000/- X 12 = ni TSH. 4,200,000/-
kwa mwaka utatakiwa kulipa 4.2M kwenye nyumba ya kupanga.
kwa miaka mitano: 4,200,000/= X 5 = 21,000,000/- mpangaji atalipa 21M.
Kwanini usijenge nyumba yako?
Kwenye issue ya gari, the guy has a point. nakubaliana na mtoa mada kwenye kipengele cha gari lakini sio nyumba ambayo ni one of the three basic needs, other basic needs iclude, Food and clothes.
Mkuu
Kama ungelijua investment katika nyumba, basi hata hio biashara ungeona cha mtoto tu. Nyumba ni asset ambayo every single day inapanda thamani hasa maeneo ambayo yametolewa na serikali, yamepimwa, kama leo unajenga nyumba ya milioni 40 baada ya miaka 5 unauza milioni 80-500 hapa dar es salaam, karibu kuna rafiki yangu tulikutana Dar, alikuwa anaishi nje, alinambia Dar nimefika, asset ya nyumba ni mipango tosha ya kutokea kimaisha.
Hilo naamini, kwa gari nitakubaliana na wewe, kama mtu bado anaanza maisha.
Wiki iliyopita nili post uzi unaozungumzia ni jinsi gani utakuwa Middle Class, yaani kuteseka ki uchumi, kama ndio kwanza unaanza maisha na unafuata fumula ya walio wengi, yaani kununua gari then kujenga nyumba.
Ebu tuanze uchambuzi.
Kwa upande wa gari.
Bei ya chini kabisa ya gari used ni Tsh Milioni 5 au 6 mfano Vitz. Tuweke kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya mafuta kwa siku ambapo utatumia lita 5 hadi 6. Kwa siku utatumia 6X2,250=13,500/- kwa siku. Kwa mwezi itakuwa 13,500X30=405,000/-
Kwa mwaka 405,000X12-=4,860,000. Ukiweka Service na gharama zinginezo kama road license, bima, oil nk inafika milioni sita hadi saba kwa mwaka. Milioni saba ni sawasawa na kusomesha watoto 5 katika English medium school . Piga hiyo hesabu kwa miaka 5 utapata habari yako, na ndani ya miaka kama ingekuwa ni biashara ingekuwa mbali, au kukitokea makosa itakufa pia
Kwa upande wa Nyumba.
Nyumba ya kuishi utatumia milioni 40 au 50 kujenga nyumba ambayo itakusaidia ku serve kodi ya 150,000 kwa mwezi wakati kwa kutumia M40 ungetengeneza asset inayozalisha M1.5 kwa mwezi.
Nyumba ya kupangisha ni Idea nzuri lakini tathmini inaonesha nyumba ya kupangisha inatumia miaka 10 hadi 15 kurudisha hela, inategemea na mahali ilipo.
Kwa mambo kama haya ndiyo maana utakuta mtu kila mara analia kuwa haoni hela yake inakwenda wapi, lakini kasahau kuwa anahudumia gari.
Watu wengi hatuna utamaduni wa kuweka kumbukumbu ndiyo maana siku ile watu walisema maisha hayana fumula, wengine wakasema nanunua ndinga kwanza mambo mengine baadae.
Tatizo liko hivi ukianza na gari, uje nyumba then uhamie kwenye business itakuwa ni too late kwako hasa ki umri, uzoefu unaonesha kwa watanzania waliowengi tunajenga nyumba kwa taratibu sana kutokana na kipato, leo unapata laki 1 unanunua bati 9, mwezi ujao siment mifuko 5.
NB: Mimi naona ni bora ukawekeza kwenye vitu vinavyozalisha kwanza then Gari na Nyumba vitakuja baadae, yaani vi hudumiwe na biashara zako, lakini siyo mshahara wako.
Hayo ni maoni, vinginevyo kila mtu ana malengo yake
Mkuu
Kama ungelijua investment katika nyumba, basi hata hio biashara ungeona cha mtoto tu. Nyumba ni asset ambayo every single day inapanda thamani hasa maeneo ambayo yametolewa na serikali, yamepimwa, kama leo unajenga nyumba ya milioni 40 baada ya miaka 5 unauza milioni 80-500 hapa dar es salaam, karibu kuna rafiki yangu tulikutana Dar, alikuwa anaishi nje, alinambia Dar nimefika, asset ya nyumba ni mipango tosha ya kutokea kimaisha.
Hilo naamini, kwa gari nitakubaliana na wewe, kama mtu bado anaanza maisha.
Ivi ukijenga Nyumba ikakamilika kisha ukaiuza faida yake si itakuwa kubwa sana kuliko kufanya Biashara anayoizungumzia mtoa mada?
Dah uji*a ni shida sana why unajenga nyumba kwa 50 million ili ikurudishie fedha yako baada ya miaka mitano Kwanini usiagize Costa 2 kutoka japani ambapo kwa siku zinarudisha 150,000 ×2 =300,000/=
300,000 ×30=9,0000,000M
9,000,000×12=108M
108M unatoa operating expnse kama 25Million Unabakiwa na 83 million unaagiza costa 4 sasa kwa siku utakua unaingiza laki 800,000×30 Kwa mwezi ni 24,000,000 pesa yako inarudi baada ya miezi 6 then unaanza kupiga faidaaaa! 24M ×12=268M
268M×5=1.3Billion operating expense ni 500million So faida ni 800Million