Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
 
Kweli kabisa Huyu fala Bora alivyokosa.. Aliniboa sana mechi ya Simba na Yanga iliyopita alivyokuwa anajinasibu na kujifanya beki kisiki kumzuia Mayele.. wakati Mayele anatoka nje kuingia Makambo akajifanya kumsindikiza Huku akijinadi kuwa nileteeni huyo mwingine..
Leo ndo limefanya Timu isisonge mbele..
Inonga ni fala tu kama mafala wengine dadeq
 
Kweli kabisa Huyu fala Bora alivyokosa.. Aliniboa sana mechi ya Simba na Yanga iliyopita alivyokuwa anajinasibu na kujifanya beki kisiki kumzuia Mayele.. wakati Mayele anatoka nje kuingia Makambo akajifanya kumsindikiza Huku akijinadi kuwa nileteeni huyo mwingine..
Leo ndo limefanya Timu isisonge mbele..
Inonga ni fala tu kama mafala wengine dadeq
Hilo tukio liliwauma Sana Uto..

Ulitaka asimzuie Mayele wakati hilo ni jukumu lake, acheni Utoto.

Hiyo penati angeikosa wakati akicheza na Yanga ingeleta mantiki kama mngefurahia, zaidi ya hapo ni chuki na wivu tu zinawatesa.
 
Kama wewe unavyopenda attention.....
Ambayo inakufanya muda Wote Wewe na adriz pamoja na wale Wapumbavu Wenzenu muwe mnanifuatilia 24/7 hapa JamiiForums lakini mkijua kuwa mnanichukia.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person Kudadadeki
 
1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
Mbona hata wewe unaonesha kwa uandishi wako huu, ni mtu unayependa sana sifa!
 
1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
Una wivu wa kike!
 
Kabisa point zako zote zina ukweli,na nadhani watu wanaompenda na kumtakia mema mchezaji walitakiwa kukupongeza .Hinonga anahitaji kuonywa na kufanyia kazi madhaifu yake ya ubinafsi wa kujiona kuliko wenzake. Ni kweli ni mchezaji mzuri mwenye jitihada ila misifa imemzidi mno. Ajifunze kwa Onyango hanaga nongwa na mtu japokuwa amekejeliwa sana kuhusu umri wake. Kila anapoingia uwanjani anathibisha kwamba ana miaka 28 badala ya 52 .[emoji12][emoji1].
 
1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
Mimi ananiudhi utozi wake tu. Akiguswa kidogo anaanguka na lazima atoke nje akijifanya anatibiwa huku wenzake wanahangaika kuziba pengo lake. Ndio maana Jonas Mkude alimfokea sana siku moja.
 
Nani anakufatilia?
Wewe Mwandamizi wao wa Upumbavu. Halafu ungekuwa na Akili wala usingeuliza hili Swali kwani mpaka unaniuliza its obvious kuwa Umesoma Mada yangu.

Nami nakuuliza je, Kitendo cha Kusoma Mada yangu na mpaka ukachangia ( Comment ) kama hivi Logically hapa hujanifuatilia?

Nikikuita / Nikiwaiteni Wapumbavu huwa sikosei na ndiyo maana ninawadharau na Kuwasanifu mno baada ya Kugundua Vichwani mwenu kumejaa Funza ( Jiggers ) tupu tu.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person Kudadadeki.
 
alitaka kupiga penati kama ya zedane dhidi ya Italy
Hajafikia hata tu 15% ya Kipaji na Uwezo wa Zinedine Yazid Zidane. Nimefurahi alivyokosa ili abadilike kwani amezidisha Ego ambayo kwa msiojua inawakera hadi Wachezaji wenzake sema tu hawataki Kuwaonyesheni wazi ila kwa tunaokutana nao baadhi yao wanatuambia japo wanakiri kama hata Mimi ninavyokiri kuwa ni Mchezaji ( Beki ) mzuri mno na ana Kipaji cha Kuridhisha.
 
Mimi ananiudhi utozi wake tu. Akiguswa kidogo anaanguka na lazima atoke nje akijifanya anatibiwa huku wenzake wanahangaika kuziba pengo lake. Ndio maana Jonas Mkude alimfokea sana siku moja.
Hata ile Jana aliurudia huu Upuuzi wake na Beki Shomary Kapombe akaenda Kumfokea ila akatulizwa na Beki Pascal Serge Wawa.
 
Kabisa point zako zote zina ukweli,na nadhani watu wanaompenda na kumtakia mema mchezaji walitakiwa kukupongeza .Hinonga anahitaji kuonywa na kufanyia kazi madhaifu yake ya ubinafsi wa kujiona kuwa kuliko wenzake. Ni mchezaji mzuri mwenye jitihada lakini misifa imemzidi mno. Ajifunze kwa Onyango hanaga nongwa na mtu japokuwa amemkejeliwa sana kuhusu umri wake. Ila kila anapoingia uwanjani anathibisha kwamba ana miaka 28[emoji12][emoji1].
Asante kwa Kunielewa Ndugu, ila tambua kwa Tanzania yetu hii ukiwa Mkweli kama Mimi Unachukiwa ila ukiwa Mnafiki kama walio Wengi ndiyo Unapendwa na Kukubalika.
 
Back
Top Bottom