Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

Ana uwezo wa kumzuia Mayele huyo? [emoji1][emoji1] Kazi afanye Onyango kujipendekeza awahi yeye ili kujipa sifa.

Mitetemeko brother.
Jamaa alijua kuwakera aisee, na tarehe 30 mtajua hamjui.
 
Ambayo inakufanya muda Wote Wewe na adriz pamoja na wale Wapumbavu Wenzenu muwe mnanifuatilia 24/7 hapa JamiiForums lakini mkijua kuwa mnanichukia.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person Kudadadeki
Popoma taahira kuu la Jf
 
Back
Top Bottom