Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Inawezekana vitabu hivyo kuandikwa na wahusika tofauti tofauti kwa nyakati tofauti kabisa ila waandishi wa mwanzo wakatajwa wao.
Kweli kabisa na kubaliana na wewe na ndo maana Kuna Doccumentary Hypothesis (Au sasa hivi wanaita Documentary Facts)..

Na humo ndani kuna JEPD Theory inayohusu VITABU VYOTE VYA Mwanzo na vingine kuandikwa na Vyanzo zaidi ya vitatu
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
"Qur'anic Suras are not only older than the Qur'an, but older than Muhammad and Islam as well": Examining the Newest Historical Research on Islam and the Earliest Quranic Manuscripts
 
Nimeuliza maswali mawili ukajibu ndio. Nimeuliza ndio nini?

Waislam wanasujudu kama Mussa
20240329_152410.jpg


Wanasujudu kama Abraham
20240329_152419.jpg


Wanasujudu kama Yesu wenu
20240329_152427.jpg
 
Kwahiyo we mwenye kichwa kama senene umeumbwa kwa mfano wa Mungu??
Basi imani yako na wahindu wanaoabudu ng'ombe iko sawa, na ndo tatizo la kufananisha Mungu na vitu vingine, kila mtu atakuja na kile anachofananishia ndo kiwe Mungu wake.
Back to you, kwahiyo wanadamu wote ni Miungu kwa kuwa tumeumbwa kwa mfano wake eti mjomba
Hakika mimi ni mfano wa Mungu, ukifanana na baba yako haina maana kuwa wewe ni baba yako. Kama wewe unavyovaa mavazi ya tamaduni za uarabuni haitatokea uwe mwarabu. Utabaki kuwa mtu wa afrika uliyepoteza asilia yako tu.
 
Alafu kuna nyie ndugu zetu mnaitwa Waliopotea coz nyie ni majuha kuliko yaan mmekutana na kitu hamjui kinapoanzia wala kinapoishia mmekibeba tu 😢😢😢😢
Kiufupi nyie Mungu amewaita ni VILAZA
Kwa hiyo Mohammed alikufundisha kutukana unapoulizwa?
Unahisi sijui kutukana?
 
Hakuna uhusiano kati ya Nabii Issa wa Quran na Yesu Kristo mwana wa Mungu aliyezaliwa kwa Bikira Maria huko Nazareth.

Nabii Issa ni wa kwao wabakie nao wao, wasimlazimishie kuwa ndiyo Yesu wa kwenye Biblia
Na ni kweli Yesu sio Issa.Yesu alishindwa kujikomboa na kikombe cha kifo,aliomba na kusema Aloi Aloi lamasabakhatan(Mungu eamgu,Mungu wangu,mbona umeniacha?).Lakini kikombe cha mauti hakimuepuka,wakamdhihaki wakamuua.
2.Kwa upande wa Issa,walipotaka kumuua,alimuoa Mungu wake,na ombi lake,likakubaliwa na Mungu wake,hakusulubiwa,wala hawakumua,lakini Mungu wake alimnyanyua,na kumpeleka Mbinguni.Miongoni mwa waliotaka kumuua na kumsulubu,ndio Mungu wa Issa,akamgeuza sura na umbo kuwa kama la Issa,kwa hiyo wauaji wakamsulubu na kumuua mwenzao,ndio walipomaliza kumuua nwenzao,wakajikuta mmoja wao hayupo.
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?

"Mathayo, Marko, Luka na Yohana" Baba zao na koo zao ni zipi?
 
Hivi unaulizwa ulitumia kitabua gani unajibu ndio. Huoni unakwepa kujibu maana huna uhakika.?
Daudi alitumia zaburi, Mussa torati ,issah injili then Muhamad kamaliza na Qur an.
Kila kitu hata funga tunafunga kama waliopita kabla yetu sisi.
 
Nimepitia Mathayo 26:39 inasema hivi; "lakini nawaambieni, sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu." Hii ya kwako umetoa wapi?
😅😅😅😅
 
Daudi alitumia zaburi, Mussa torati ,issah injili then Muhamad kamaliza na Qur an.
Kila kitu hata funga tunafunga kama waliopita kabla yetu sisi.
Tutafika huko, kwaza jibu kitabu kilichotumiwa na waislam kabla ya kuja Mohammad ni kipi?
 
Nimepitia Mathayo 26:39 inasema hivi; "lakini nawaambieni, sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu." Hii ya kwako umetoa wapi?

Acha kutumia vileo tulia chini usome ,hiyo unayotumia ni biblia ya Donald Trumpth
Screenshot_20240329-171445.png
 
Wewe unaeamini yesu ni mungu inatosha, mimi ninaeamini yesu si mungu inatosha pia, haina haja ya kulazimishana.
Mbona mnalazimisha watu wasile wakati wa ramadhan kwani tumewalazimisha mfunge.?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom