Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

ni hivi duniani kote watawala hawako tayari kukueleza ukweli wa mambo.

Ukweli hufichwa.

Ktk hao ukiiwataja hakuna aliyemuona yesu.

Aliyemuona yesu ambae ndie mastermind wa utawala wa wa rumi ni Prof Sauli.

Kwanza alificha kusema yesu alikuja kupingana na utawala wa warumi na alishindwa.

Hakuja kuongea kuwapeleka watu mbinguni pekee, bali alikuja kuuleta watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na huyu aliyekuja miaka 600 badae nae alikuja kwa lengo hilo. Kupinga utawala wa kirumi. Na kutaka bali alikuja kuuletea watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na utawala huondio ule ubaothibiti uovu na kuhamasisha uadilifu.

Huwezi kufundishwa ukweli huu.

Sasa moja ya mafundisho ya bandia ya Prof alicia Mungu nwenyewe ndie huyu ye
Kati
NAKUSHAURI tofauti na mafundisho, utumie pia akili yako mwenyewe Mungu aliyokupa bure kutafakari haya,

Mungu, aliumba Binadamu, Binadam wakamkosea Mungu, Baada ya Kumkosea Mungu wakampiga hadi akafariki, Mungu akakubali kupigwa hadi kufariki ili awasamehe binadamu (alio waumba)?
baada ya siku Tatu Mungu akafufuka, akanyakuliwa kwenda kwa Mungu?

Unayo nafasi ya kutafakari haya maneno kwa kutumia akili yako (sio ya kuambiwa) na kujua usahihi wa njia uliyo amua kuifuata....ili usije kujutia siku za mwisho (day of judgement!)
Kati ya Jibril na Muhammad nani aliyetumwa?
 
Mkuu hili nalijua ndo maana Nikaandika #103 na 63..
Hakuna anayejua walioandika Biblia..
Ninaweza kufanya Textual.Analysis kutumia Bible pia na Ukaona wanaosemwa wameandika Actually hawakuandika
Duh!....Sasa kina nani wameandika kama sio hao waandishi?....
 
ni hivi duniani kote watawala hawako tayari kukueleza ukweli wa mambo.

Ukweli hufichwa.

Ktk hao ukiiwataja hakuna aliyemuona yesu.

Aliyemuona yesu ambae ndie mastermind wa utawala wa wa rumi ni Prof Sauli.

Kwanza alificha kusema yesu alikuja kupingana na utawala wa warumi na alishindwa.

Hakuja kuongea kuwapeleka watu mbinguni pekee, bali alikuja kuuleta watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na huyu aliyekuja miaka 600 badae nae alikuja kwa lengo hilo. Kupinga utawala wa kirumi. Na kutaka bali alikuja kuuletea watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na utawala huondio ule ubaothibiti uovu na kuhamasisha uadilifu.

Huwezi kufundishwa ukweli huu.

Sasa moja ya mafundisho ya bandia ya Prof alicia Mungu nwenyewe ndie huyu yesu.

Ni disimformation
Wewe umejuaje kua usemayo ni kweli??
 
Duh!....Sasa kina nani wameandika kama sio hao waandishi?....
Mkuu kuna vitu vina siri Nyingi sana Duniani..
Just Imagine Kitabu kinachosemekana kimeandikwa na Musa Kinaelezea Kifo cha Musa..
Kitabu kinachosemwa Kimeandikwa na Musa kinaelezea Kipindi cha Ufalme ambacho Musa mwenyewe hakukijua wala Kuishi kipindi hicho..

Ukifanya Course ya bible OT na NT Textual Analysis bila kuwa na Upande wa Kujiweka Utagundua Tumedanganywa sana..
But anywei dini Ni bora duniani kwa ajili ya kuturahisishia Mambo yetu
 
Mkuu kuna vitu vina siri Nyingi sana Duniani..
Just Imagine Kitabu kinachosemekana kimeandikwa na Musa Kinaelezea Kifo cha Musa..
Kitabu kinachosemwa Kimeandikwa na Musa kinaelezea Kipindi cha Ufalme ambacho Musa mwenyewe hakukijua wala Kuishi kipindi hicho..

Ukifanya Course ya bible OT na NT Textual Analysis bila kuwa na Upande wa Kujiweka Utagundua Tumedanganywa sana..
But anywei dini Ni bora duniani kwa ajili ya kuturahisishia Mambo yetu
Inawezekana vitabu hivyo kuandikwa na wahusika tofauti tofauti kwa nyakati tofauti kabisa ila waandishi wa mwanzo wakatajwa wao.
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
TAFUTA PESA MWANANGU.
 
Siku hizi hata kina john na kina nancy wote wanaalikwa futari na wanafuturu pamoja
Hivyohivyo wakina ramadhani na kina swaumu wote wanaalikwa pasaka na kufurahi wanafurahi pamoja
Hayo mengine tuwaachie wao
 
Sasa mbona hao wa kabla ya yesu wanahubiri kitu kimoja na yule aliyekuja baada yake alafu nyie kwa upotevu wenu mnamuhubiria yesu kitu ingine kabisa.....
Kwa hakika yesu akirudi atastaajabu sanaaa
Kama Mohammed atakavyoshangaa mlivyopotea njia tangu amewaacha.
 
Kasema na nani? Au na Yule nabii aliyejizolea watu kwa kumpinga kristu mwana wa Mungu aliyefufuka ktk wafu? Ni mmoja aliyeyashinda mauti, si mudi wala nani bali yesu krtistu. Biblia takatifu inasena, aliumba binadamu kwa mfanowe. Achana na mzushi mwingine
Kwahiyo we mwenye kichwa kama senene umeumbwa kwa mfano wa Mungu??
Basi imani yako na wahindu wanaoabudu ng'ombe iko sawa, na ndo tatizo la kufananisha Mungu na vitu vingine, kila mtu atakuja na kile anachofananishia ndo kiwe Mungu wake.
Back to you, kwahiyo wanadamu wote ni Miungu kwa kuwa tumeumbwa kwa mfano wake eti mjomba
 
Sasa na sisi tunaomuamini Mwamposa unatuambiaje?
Halafu mkuu hakuna ushahidi wowote wa kikanisa kuwa Mathayo, Luka na Marko waliandika hizo Injili zao. Huo ndio ukweli.
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
 
Kama Mohammed atakavyoshangaa mlivyopotea njia tangu amewaacha.
Nikupe siri usiyoijua,
Kwenye quran mayahudi wameainishwa kama watu walioghadhabikiwa na Mungu kwa kuwa wanajua kila kitu ila wameasi tu kwa kiburi.
Alafu kuna nyie ndugu zetu mnaitwa Waliopotea coz nyie ni majuha kuliko yaan mmekutana na kitu hamjui kinapoanzia wala kinapoishia mmekibeba tu 😢😢😢😢
Kiufupi nyie Mungu amewaita ni VILAZA
 
Back
Top Bottom