Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

ni upotevu wa waziwazi. vilevile,
1. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuhubiri ukatili, kwamba asiyeuamini uislam achinjwe chingoni,badala ya kumwamini Yesu aliyefundisha upendo na kusamehe adui?

2. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuamrisha watu wake kuitetea dini au mungu hata kwa jihad na wakifa katika mazingira kama hayo wataenda peponi, badala ya kumwamingi Mungu wa kweli asiyehitaji msaada wa mwanadamu wakati wa kujitetea, kwasababu ukimtetea Mungu manake mungu wako hana nguvu, anahitaji kutetewa na mwanadamu.

3. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kudanganya wanadamu kwamba, hata kama ameua katika kutetea hiyo dini au mungu wao, kule ahera atapewa mabikra 72 awe anazini nao muda wote, na ajabu yake hata akizini nao bikra zao haziondoki, manake wanakuwa bikra siku zote, sasa sijui wanazini nao upande upi hadi bikra isiondoke baada ya kuingiliana? NItamwamini Yesu aliyetamka wazi kwamba baada ya maisha haya, miili yetu itabadilishwa na kuwa kama ya malaika, hakutakuwa na kuoa au kuolewa.

4. kuna mengi yanashangaza, ila wengi bado wapo kifungoni, Mungu awasaidie.
Ingia darasani kausome Uislamu vizuri kabisa, hizo habari za kuokota ni habari za makafiri tu sio sahihi kuzitumia utazidi kupotea
 
Kuna mtu aliulizwa hili swali akajibu,yeye anaamini ule ni ufunuo wa Mungu alipewa mtume.
Ila unaamini Mtu sliyeandika Luka,Marco na wengine lakini sio Eye witness??
Vyote hivyo Quran na Biblia havikuandikwa na eye witness
 
ni upotevu wa waziwazi. vilevile,
1. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuhubiri ukatili, kwamba asiyeuamini uislam achinjwe chingoni,badala ya kumwamini Yesu aliyefundisha upendo na kusamehe adui?

2. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuamrisha watu wake kuitetea dini au mungu hata kwa jihad na wakifa katika mazingira kama hayo wataenda peponi, badala ya kumwamingi Mungu wa kweli asiyehitaji msaada wa mwanadamu wakati wa kujitetea, kwasababu ukimtetea Mungu manake mungu wako hana nguvu, anahitaji kutetewa na mwanadamu.

3. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kudanganya wanadamu kwamba, hata kama ameua katika kutetea hiyo dini au mungu wao, kule ahera atapewa mabikra 72 awe anazini nao muda wote, na ajabu yake hata akizini nao bikra zao haziondoki, manake wanakuwa bikra siku zote, sasa sijui wanazini nao upande upi hadi bikra isiondoke baada ya kuingiliana? NItamwamini Yesu aliyetamka wazi kwamba baada ya maisha haya, miili yetu itabadilishwa na kuwa kama ya malaika, hakutakuwa na kuoa au kuolewa.

4. kuna mengi yanashangaza, ila wengi bado wapo kifungoni, Mungu awasaidie.
Wote mkp sawa tu hakuna Uislamu wala ukristo
 
Hayo ni mapungufu makubwa sana , haiwezekani kitabu kikamuongelea mtu ambaye ana umuhimu mkubwa sana kiimani bila background story. Waandishi walio compile na kuchapisha kitabu chenu kwa mara ya kwanza mwaka 1924 hawakufanya kazi nzuri hata kidogo.
Kama wangeona kuna umuhimu wangeongeza tu huo mwaka 1924.

Lkn imani haitwngezwi kwa kujua watoto, mama wa mtu.

Imani hutengezwa na sosholojia, falsafa na itikadi. Hivyo kutengeza au huchonga watu na jamii kuwa vile mtengeza vitu hivyo vitatu wanataka uwe vp.

Lkn moja ya athari ya kutoelewa Sosholojia, falsafa na itikadi ya mwanzilishi, yaweza kuwa chanzo cha kuwezeshwa falsafa, itikadi nyingine bandia ktkt yake.

Bahati nzuri Quran imekuwa ni kitabu cha mwisho cha Mungu na ili kuendana na watu wa zama hizi. Zama za lugha mpya ya code na password

Quran nayo imefungwa kwa open code. Namba 19. Kwa maana ukiongeza neno, ukipunguza, ukibadili. Utagundulika.

MIracle of 19 in the Quran
 
Somo la Divinity lifundishwe tuu mashuleni maana Kuna wahubiri feki wanalipotosha sana neno la Mungu kwakuwa halifundishwi vyakutosha!!
Wahubiri feki wanaocheza na Imani za watu na kujitengenezea ukwasi mkubwa anguko lao lajaaa.
Unauzia watu maji,udongo,mafuta,mapicha kisa uwe tajiri Sasa watu watafundishwa ukweli mtupuuu.
YESU ni MUNGU na amekuwepo wakati woote hajawahi kuwa hayupoo😊 kwanza alikuwepo katika hali ya kiroho alafu akaja duniani katika hali ya kimwili na kiroho nasasa yuko juu mbinguni kwa baba katika hali ya kiroho mpaka atakaporudi Tena duniani...
ukifundishwa vyema utasadiki
 
Somo la Divinity lifundishwe tuu mashuleni maana Kuna wahubiri feki wanalipotosha sana neno la Mungu kwakuwa halifundishwi vyakutosha!!
Wahubiri feki wanaocheza na Imani za watu na kujitengenezea ukwasi mkubwa anguko lao lajaaa.
Unauzia watu maji,udongo,mafuta,mapicha kisa uwe tajiri Sasa watu watafundishwa ukweli mtupuuu.
YESU ni MUNGU na amekuwepo wakati woote kwanza katika hali ya kiroho alafu akajidhihirisha duniani katika hali ya kimwili na kiroho nasasa Yuko juu mbinguni Kwa baba katika hali ya kiroho...ukifundishwa vyema utasadiki
Mhhhhh
 
Kama wangeona kuna umuhimu wangeongeza tu huo mwaka 1924.

Lkn imani haitwngezwi kwa kujua watoto, mama wa mtu.

Imani hutengezwa na sosholojia, falsafa na itikadi. Hivyo kutengeza au huchonga watu na jamii kuwa vile mtengeza vitu hivyo vitatu wanataka uwe vp.

Lkn moja ya athari ya kutoelewa Sosholojia, falsafa na itikadi ya mwanzilishi, yaweza kuwa chanzo cha kuwezeshwa falsafa, itikadi nyingine bandia ktkt yake.

Bahati nzuri Quran imekuwa ni kitabu cha mwisho cha Mungu na ili kuendana na watu wa zama hizi. Zama za lugha mpya ya code na password

Quran nayo imefungwa kwa open code. Namba 19. Kwa maana ukiongeza neno, ukipunguza, ukibadili. Utagundulika.

MIracle of 19 in the Quran
Kama ni hivyo basi Quran isingehitaji Hadith ili kuweza kuelezea context ya baadhi ya aya zake. Unajua kwamba Quran bila Hadith za wanadamu haiwezi kusimama yenyewe?
 
Kama ni hivyo basi Quran isingehitaji Hadith ili kuweza kuelezea context ya baadhi ya aya zake. Unajua kwamba Quran bila Hadith za wanadamu haiwezi kusimama yenyewe?
Quran unasimama bila hadithi.

By the way level ya hadithi ktk ukristo ndio level ya biblia. (Hasa agano jipya)

Level ya Quran ni injili origi ambacho ndicho kitabu alichokabidhiwa yesu.

Kwasasa haipo. Wanasema kabla kuigoogle injili ya barnaba. Ambayo nayo inapotezwa.

Hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa injili na kuitwa agano jipya.

Kwa ufupi Quran inajisimamia yenyewe na kujitosgeleza.

Ikichomwa Quran yote leo imeandikwa upya hata na watoto waliyoihifadhi vichwani mwao.

Muujiza mwingine huu
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
Hapo Sasa, mtu anamuamini Mohammed na story za fiction wakati kuna watu walikuwepo na wameona kila kitu kwenye site. Alafu kije kijamaa miaka mia sita 600, baadae eti na story zake kwamba ye ndo anajua sana. Ndio maana wafuasi wake hawana akili mpaka leo.
 
Quran unasimama bila hadithi.

By the way level ya hadithi ktk ukristo ndio level ya biblia. (Hasa agano jipya)

Level ya Quran ni injili origi ambacho ndicho kitabu alichokabidhiwa yesu.

Kwasasa haipo. Wanasema kabla kuigoogle injili ya barnaba. Ambayo nayo inapotezwa.

Hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa injili na kuitwa agano jipya.

Kwa ufupi Quran inajisimamia yenyewe na kujitosgeleza.

Ikichomwa Quran yote leo imeandikwa upya hata na watoto waliyoihifadhi vichwani mwao.

Muujiza mwingine huu
Yesu ajakabidhiwa kitabu. Hamuelewi ata historia ya bibilia. Mnadhani Mungu ni ndogo kama kitabu. Vitabu vipo vingi sana ila vilikosa authenticity. Sasa moody ndio akakwapua huko mastory ya uongo. Eti aje baadae karne 6 mbele eti kaja kusahihisha!? Inaingia akilini. Acheni ujuaji , dini yenu ni false.
 
Wewe unaeamini yesu ni mungu inatosha, mimi ninaeamini yesu si mungu inatosha pia, haina haja ya kulazimishana.
Hata mimi naamini hivyo.

Ila kwa ground mambo ni different.

kuna upande unalazimisha kiasi kwamba hadi wameandika kwenye kile wanachokiita kitabu kitakatifu.
 
Ah wewe quran ni ile ile toka ilipoteremshwa😆😆😆
Am not Muslimu Mkuu!
Japo Kwa kujibu..
Quran Imebadilisha sana na imepitia Mabadiliko mpaka kufikia kwa Msahafu wa Uthmani (The standard of quran)..

But all in all
Hakuna Mwandishi hata mmoja wa Biblia Ambaye ni Authentic sources au Trur sources Vivo hivyo Quran
 
Quran unasimama bila hadithi.

By the way level ya hadithi ktk ukristo ndio level ya biblia. (Hasa agano jipya)

Level ya Quran ni injili origi ambacho ndicho kitabu alichokabidhiwa yesu.

Kwasasa haipo. Wanasema kabla kuigoogle injili ya barnaba. Ambayo nayo inapotezwa.

Hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa injili na kuitwa agano jipya.

Kwa ufupi Quran inajisimamia yenyewe na kujitosgeleza.

Ikichomwa Quran yote leo imeandikwa upya hata na watoto waliyoihifadhi vichwani mwao.

Muujiza mwingine huu
Injili ni nini? Maana kitabu chenu kinaiongelea injili ambayo hatuijui wala hatujawahi kuiona? Kama Quran inajitegemea Hadith za nini?

Wewe umejuaje kwamba the furthest mosque ni msikiti wa El-aqsa bila msaada wa Hadith na tafsir? Quran 17:1 haina context mpaka ukimbilie kwenye Hadith na tafsir 😊😊,kitabu chenu kina mashimo kibao yanayoonyesha upungufu wake.
 
ni hivi duniani kote watawala hawako tayari kukueleza ukweli wa mambo.

Ukweli hufichwa.

Ktk hao ukiiwataja hakuna aliyemuona yesu.

Aliyemuona yesu ambae ndie mastermind wa utawala wa wa rumi ni Prof Sauli.

Kwanza alificha kusema yesu alikuja kupingana na utawala wa warumi na alishindwa.

Hakuja kuongea kuwapeleka watu mbinguni pekee, bali alikuja kuuleta watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na huyu aliyekuja miaka 600 badae nae alikuja kwa lengo hilo. Kupinga utawala wa kirumi. Na kutaka bali alikuja kuuletea watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na utawala huondio ule ubaothibiti uovu na kuhamasisha uadilifu.

Huwezi kufundishwa ukweli huu.

Sasa moja ya mafundisho ya bandia ya Prof alicia Mungu nwenyewe ndie huyu yesu.

Ni disimformation
Swali langu bado liko pale pale.

Umesema hakuna mwanafunzi wa Yesu aliyewahi kumuona Yesu. Je Yesu alikuwa anawatumia Voice Notes?

Source ya taarifa kuwa Prof Saul ndiye aliyemuona Yesu iko na credibility kwa asilimia ngapi>?

Bila shaka chanzo iko hakina umri kuzidi maandiko ya biblia, kwanini tuamini waliyoyazungumza watu wa baadaye kabisa?
 
Back
Top Bottom