Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.
Wangekuwa kweli wamemuona wasinge dai, kudai kwao ya kuwa Yesu ni Mungu, ni uthibitisho tosha na wazi wa kuonyesha hawakumuona Yesu.

Unajua ni lini mafundisho ya tatu mtakatifu yaliingizwa ?

Wanafunzi wa Yesu sababu walikuwa ni Waislamu walikuwa ya kuwa Yesu ni mwanadamu na ni Mtume na nabii kama walio mtangulia. Ndio maana hupati kwa wanafunzia wa Yesu wakisema Yesu ni Mungu.

Suala la Yesu kusemwa ni mwana wa Mungu au Mungu ni falsafa tu.
 
Taarifa juu ya Muhammad kuoa mtoto wa miaka 6, au 9 ni miongoni mwa taarifa bandia alizobebeshwa mtume Muhammad kupitia hadithi bandia.

Hapo nyuma nimemjibu msomaji mmoja kuwa pamoja na uislam kutegemea Quran na hadithi. Lkn ni Quran pekee ndio iliyo trusted.

Haighushiki. Lkn hadithi za mtume nyingi zimechakachuliwa.

Maswahaba wengi wamelishwa maneno. Akiwemo huyu aliyepokea hadhithi hii maarifa bandia

Kwa ufupi hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa biblia
Nakuja...
Huyu hapa ni miongoni mwa waliolishwa maneno kutokana na jibu lake au yuko sahihi.
Screenshot_20240329-173646~2.png
 
Mbona mnalazimisha watu wasile wakati wa ramadhan kwani tumewalazimisha mfunge.?
Wanalazimishwa wakiwa wapi? Kila sehemu na utaratibu wake, hapa nilipo kuna mtu anakula saa hizi na habugudhiwi.
 
Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.
Lazima tumuamini sababu ameleta kweli isiyo na shaka kabisa, na mafundisho yake ni uhalisia mtupu.

Ni magonjwa wa akili au msusuavu pekee anaweza kuyakataa mafundisho ya Mtume Muhammad.
 
Utapata msingi wa njia wanazotumia wabobezi kutunga tahasusi kutengeneza watu wawe na hisia, imani sawa na vile wabobezi wangependa kuwachonga.

Pia nitakupatia hamu ya kutaka kujua ni kwa jinsi gani kuiendea fani hii kwa ubobezi zaidi ili uweze kutambua misingi na asili ya kila imani.
sawa mkuu.
Japo haya mambo ya kiimani huwa ni kua na imani na kitu fulani kwanza then unajenga au kukiboresha.

Wengi ninaokutana nao wako hivyo, so info zao nyingi zinabase kwenye kile alichokiamini mwanzo ama lah kakiboresha kidogo.
 
Lazima tumuamini sababu ameleta kweli isiyo na shaka kabisa, na mafundisho yake ni uhalisia mtupu.

Ni magonjwa wa akili au msusuavu pekee anaweza kuyakataa mafundisho ya Mtume Muhammad.
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.

2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.

3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.

4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Nakuja...
Huyu hapa ni miongoni mwa waliolishwa maneno kutokana na jibu lake au yuko sahihi.
View attachment 2948313
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.

2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.

3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.

4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
 
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.

2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.

3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.

4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
Ndio maana nimemuliza anaruka ruka akiamini sijui maandiko yao.😅
 
Hata mimi naamini hivyo.

Ila kwa ground mambo ni different.

kuna upande unalazimisha kiasi kwamba hadi wameandika kwenye kile wanachokiita kitabu kitakatifu.
Ndio imani yetu, kuandikwa kwenye kitabu si kulazimisha. Kwa logic ni sawa kitabu kuandika hivyo sababu quraan ni last revelation, ilibidi itoe ile sintofahamu, lakini hujalazimishwa uamini kilichomo kwenye quraan. Quraan imeandika visa vingi saana, adam,nuhu,ibrahim,musa,lutu,swaleh,issa na wengineo hadi mwanzo wa shetani.
 
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.

2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.

3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.

4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
Kwako uislami ni nini?
 
Kwako uislami ni nini?
Al-Baqara2;109 Na Ar Imran3;20
Tunaona Mambo Yafuatayo!!

1.Ni Wajibu Wa Waislamu Kuhubiri Dini Yao Lakini Si Wajibu Wao Kuwalazimisha Watu Kuamini Dini Yao.

2.Allah kwa wakati wake atawafunulia wale wasioamini ukweli wa mambo.

3.Ni wajibu wa Waislam Kutoa Maonyo tu kwa Wale Wanaowahubiria.
LAKINI HEBU TAZAMA AYA ZIFUATAZO NA ZINAVYO LETA UTATA KATIKA QURAN.
AL-Nisa4;101
Wale Wasioamini Ni Maadui Zenu Wakubwa.Vilevile Inasema Katika Sura Ya Al-

Tawb9;3
Tangazeni Mapigo Makuu (Ya Ole) Kwa Wasioamini.

Pia Al-anfaal8;39
Fanyeni Vita Juu Yao Hadi Kusiwepo Na Mateso Tena Na Hadi Pale Dini Ya Allah Itakapo Tawala.
 
Ndio imani yetu, kuandikwa kwenye kitabu si kulazimisha. Kwa logic ni sawa kitabu kuandika hivyo sababu quraan ni last revelation, ilibidi itoe ile sintofahamu, lakini hujalazimishwa uamini kilichomo kwenye quraan. Quraan imeandika visa vingi saana, adam,nuhu,ibrahim,musa,lutu,swaleh,issa na wengineo hadi mwanzo wa shetani.
Mungu hawezi kujitetea hadi analazimisha? Last revelation iliyoshushwa na Mungu kuja kupinga ya kale yaliyotolewa na Allah huyo huyo. Allah ni kigeugeu sana
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
Imani ni ya mmoja mmoja. Kila mtu aamini kwa uhuru wake
 
Ulo wro
Al-Baqara2;109 Na Ar Imran3;20
Tunaona Mambo Yafuatayo!!

1.Ni Wajibu Wa Waislamu Kuhubiri Dini Yao Lakini Si Wajibu Wao Kuwalazimisha Watu Kuamini Dini Yao.

2.Allah kwa wakati wake atawafunulia wale wasioamini ukweli wa mambo.

3.Ni wajibu wa Waislam Kutoa Maonyo tu kwa Wale Wanaowahubiria.
LAKINI HEBU TAZAMA AYA ZIFUATAZO NA ZINAVYO LETA UTATA KATIKA QURAN.
AL-Nisa4;101
Wale Wasioamini Ni Maadui Zenu Wakubwa.Vilevile Inasema Katika Sura Ya Al-

Tawb9;3
Tangazeni Mapigo Makuu (Ya Ole) Kwa Wasioamini.

Pia Al-anfaal8;39
Fanyeni Vita Juu Yao Hadi Kusiwepo Na Mateso Tena Na Hadi Pale Dini Ya Allah Itakapo Tawala.
Ulo wrong, mnaisoma juu juu, itanichukua muda mwingi kukuelekeza.

Hiyo aya ya kwenye anfaal ni maelekezo wapigane sababuwao ndio walianza kupigwa.
Hizi aya umesoma juu juu anzia aya za nyuma yake utapata majibu, hiyo suurat tawba anza mwanzo mpaka hapo jibu litakuja automatically, usipoelewa nitakusaidia.
 
Sio kweli
Mungu wenu anatangaza vita sana na wanadamu wake aliowaumba kiasi cha kutaka wauawe kama hawaamini ktk uislamu. Njoo uniue mi siamini kitabu kilichoshushwa kwa Mudi chenye kutangaza uadui na binadamu wengine
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom