Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Daudi alitumia zaburi, Mussa torati ,issah injili then Muhamad kamaliza na Qur an.
Kila kitu hata funga tunafunga kama waliopita kabla yetu sisi.
Daudi alitumia torati, zaburi haina sheria zozote, ni nyimbo na mashairi tu ya kidini.
Yesu hakutumia injili, hakuna kitabu cha Injili.
 
Mbona watu wanadai Yesu alikuwa muislamu pia?? Kama mudi wa jana tu ndo muislamu wa kwanza, hii ya Yesu wa zamani huko before Mudi mnampaje uislamu?
Mitume wote walikuwa Waislamu yaani walikuwa na Imani Moja ila walitofautiana Sheria.

Mtume hupelekwa sehemu ambayo Imani sahihi imetoweka yaani Uislamu umetoweka kwahiyo Mtume anaenda kuuhuisha upya. Ndio maana Mtume akawa Mtume wa kwanza, sababu alipelekwa kwa watu ambao Imani sahihi imetoweka ambayo ndio Uislamu wenyewe huo. Nabii nae ana jambo lake.
 
Maalim.

Tunakwenda vzr na tutafika.

Ili iweze kunielewa ni vzr ujifunze na kuelewa asili na misingi ya dini ya kiislam.

Imani ya kiislam inaitakidi kuwa asili watu wote ni waislam. Bali wazazi wao huwatoa katika uislam na kuwaongiza ktk uyahudi, unaswara na umajusi.

Ninyi ndugu zetu wakristo ktk Quran mumetajwa kama manaswara.

Manaswara ni watu waliodisinfomed ktk imani wakidhani wanamfata yesu kumbe imani yao imekuwa contaminated na bila kujuja badala ya kufata maandiko ya injili. Wameletewa kitabu kipya kinachonasobishwa na injili.

Kumbe ni kitabu cha waandishi waliomlisha maneno yesu kwa zaidi ya 90%

Nikirudi kwenye suali lako.

Waislamu walifata kitabu gani kabla ya Muhammad.

Jibu Uislamu haukuanza kwa Muhammad bali kwa mtume wa kwanza adam.

Kati ya adam hadi Muhammad ambae ktk Uislamu ndie mtume na nabii wa mwisho kuliletwa maarifa (vitabu) 4 vikiwemo zaburi, torati injili, quran na vijarida (suhuf) vingi.

kwa hiyo kwa imani ya uislam Quran ni muunganiko wa na nyongeza ya Zaburi, tofati na injili.

Changamoto iliopo ni muunganiko gani kati ya Quran na biblia uko authentic na ndio ulio na maarifa sahihi zaidi.

Iwapo Quran inasema yesu alifundisha ukristo wala hatujui ukristo wala hujawahi kujiita yeye ndie mwenyzimungu.

Iweje ktk mkusanyiko wa zaburi, injili na torati ndani ya biblia ulete contradiction ndani ya biblia na kumnasibisha yesu na ukristo.

Hii ndio kazi ya maarifa ya ubobezi ktk ngazi ya falsafa. Na namkubali Prof Sauli ni mwanachuoni mkubwa wa ngazi ya falsafa hujawahi kutokea tokea dunia iumbwe.

Nadhani nimejibu suali lako.
Ok.
Kama kitabu anachotumia mkristo wamelishwa maneno ambayo sio sahihi, naomba nisaidie zaburi, injili na torati sahihi ambazo zimetumika kabla ya qurani (umesema zilikuwepo kabla).

Nikutoe hofu, mimi ni knowledge seeker tu sifungwi na wimbi la imani.
 
2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
Sahihi kabisa. Yaani wale wote walio waamini mitume huwa Waislamu ndio maana Yesu alikuwa Muislamu na wale wote walio muamini na kumfara nao walikuwa Waislamu pia.
 
3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.

4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
Kwa wakati wao.
 
Maalim.

Tuseme historia vzr.

Yesu alikuja ktkt ya dola ya rumi ya kale. Moja ya viongozi wakuu wa dola hii ni mtoto wa mfanyabiashara mkubwa wa wakati huo ambae ni sauli.

Yesu alipoanza kupingana na utawala wa rumi, makuhani na wa kirumi wakamuona ni tishio.

Sauli akiongozana na wasiojulikama wakaanza kuwauwa wafuasi ya yesu kwa kuwafata misikitini (sinagogi) watoto hawa wa ukoo wa daudi.
Wakaanza kumfungulia kesi kama Lissu. Na mwisho wakamhukumu kifo.

Baada ya kutokea yaliyotokea. Na yesu kupaa, sauli atajiondokea zake kutoka Palestine hadi hadi syria.

Pale Palestine Jerusalem wakimpinga kwa kusema kwake yule yesu na kwa jinsi alivyonusurika kupata adhabu ya laana kwa wayahudi akasema huyu yesu ndie Mungu mwenyewe. Na wala hakutumwa na Mungu bali yeye ndie mungu.

Kwa ufupi adhabu ya kusulubiwa kwa warumi ilikuwa ni adhabu ya juu kwa mtu aliwapinga sheria za warumi na kwao waliita ni adhabu anayopewa aliyelaaniwa na Mungu wa warumi.

Na kwamba kikubwa tunachojifunza sasa. Na sisi tuwe tayari kusubiwa, kuwekwa ktk mifuko ya sandarusu kupinga utawala huu wa kibinadamu na kupigania sheria za Mungu zitawale hapa duniani.

Jukumu hilo kwasasa wanalo waislam pekee. Na wako tayari kufungwa kwa miaka kadhaa kwa kosa la LENYE adhabu kubwa kwasasa kwa ajili ya kundi hilo.

Kosa la ugaidi wanaoutengeneza wenyewe watawala.
Umechangaya mambo ya imani na siasa.
Anyway naomba maana ya sinagog
 
Mi kuingia kwenye imani yenu labda ingekuwa kusaka totoz siyo kuamini ya kuwa ni imani ya M/Mungu. Kwenye kumponda jiwe shetani ningeshiriki japo sijui huwa amehifadhiwa humo au la.
Kaa huko huko mkuu
 
Maisha ya dunia ni sawa na chumba cha mtihani...Kila mwanadamu amepewa mtihani wake aujaze....kifo kitakapofika ndio muda wa kuacha kujaza mtihani na malaika watakusanya karatasi ya kila mmoja na kuipeleka kwa MUNGU....ukiwahi kutoka kwenye chimba cha mtihani utasubiri mpaka wenzako wote wamalize mitihani yao...kisha tutasubiri siku ya hukumu kupewa majibu.


Ishi utakavyoishi, amini utakavyopenda kuamini...ila majibu yapo siku ya Qiyama
 
Kwamba unahitaji hizo copy za kabla ya quran? Azilete
Ok.
Kama kitabu anachotumia mkristo wamelishwa maneno ambayo sio sahihi, naomba nisaidie zaburi, injili na torati sahihi ambazo zimetumika kabla ya qurani (umesema zilikuwepo kabla).

Nikutoe hofu, mimi ni knowledge seeker tu sifungwi na wimbi la imani.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kwa wakati wao.
Uongo tu. Qur'an imeandikwa na watu 12 waliokuwa wamehifadhi maana mudi hakuteremshiwa kitu bali maneno yake tu. Na kulikuwa na vita ambapo watu 70 waliokuwa wamehifadhi kquran walikufa vitani. Ndipo Abubakhar akawakusanya waliosalia 12 waandike walichohifadhi na kuunda msahafu.
 
Maisha ya dunia ni sawa na chumba cha mtihani...Kila mwanadamu amepewa mtihani wake aujaze....kifo kitakapofika ndio muda wa kuacha kujaza mtihani na malaika watakusanya karatasi ya kila mmoja na kuipeleka kwa MUNGU....ukiwahi kutoka kwenye chimba cha mtihani utasubiri mpaka wenzako wote wamalize mitihani yao...kisha tutasubiri siku ya hukumu kupewa majibu.


Ishi utakavyoishi, amini utakavyopenda kuamini...ila majibu yapo siku ya Qiyama
Hata qiyama ni neno la kufikirika tu. Majibu siku ya qiyama wapi tushachotwa kisaikolojia!! Ni kama tulivyochotwa binadamu wa kwanza alikuwa km nyani
 
Back
Top Bottom