mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Kumekuwa na mawazo mengi yanayotolewa hapa jukwaani na baadhi ya wadau kwa watu wenye uhitaji wa aina hiyo.
Moja ya wazo huwa najiuliza sana ni kwanini linatolewa sana ni hili.
Uza simu.
Uza simu kanunue karanga tembeza vyuoni na saiti.
Uza simu kanunue mitumba na viatu pale sijui wapi saa 12 asubuhi viatu ni 2000tsh/pair
Nakadhalika na kadhalika.
Swali langu je ni kweli kuuza simu ndo suluhisho?
Hakuna kazi zingine zisizo ingilia mawasiliano ya mtu?
Maanake kuna jamaa kauza godoro la sita kwa sita yale ya Dodoma kwa laki mbili kwa kuwa kapitia mpito sasa analala kwenye Chaga na pesa haijamsaidia bado anabangaiza godoro halina hata miezi mitatu
Moja ya wazo huwa najiuliza sana ni kwanini linatolewa sana ni hili.
Uza simu.
Uza simu kanunue karanga tembeza vyuoni na saiti.
Uza simu kanunue mitumba na viatu pale sijui wapi saa 12 asubuhi viatu ni 2000tsh/pair
Nakadhalika na kadhalika.
Swali langu je ni kweli kuuza simu ndo suluhisho?
Hakuna kazi zingine zisizo ingilia mawasiliano ya mtu?
Maanake kuna jamaa kauza godoro la sita kwa sita yale ya Dodoma kwa laki mbili kwa kuwa kapitia mpito sasa analala kwenye Chaga na pesa haijamsaidia bado anabangaiza godoro halina hata miezi mitatu