zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Ilikua inatafutwa wagombea watatu ila haikuwa one vs one...... Nyalandu na Lissu kweli mshindi hajulikani? Tuweni serious kidogo.Nilivyoelewa Mimi ni kila mgombea anapigiwa kura za ndio na hapa then matokeo yanalingahishwa baadae, so nyarandu alipata zote then lisu alipata hizo 24.
Mshindi alikua nyarandu. Hongera sana nyarandu kutoboa ugenini
Unauliza majibu.Inafikirisha sana!
Kwa mujibu wa yeye Lazaro Nyalandu amedai alipata ushindi wa kishindo dhidi ya aliyekuwa mshindani wake Tundu katika ngazi ya kamati kuu.
Kura nne pekee alizopata Tundu kwenye kamati kuu ni wazi pengine ndani ya CHADEMA upo udikteta wa wazi wa kiongozi wa chama wa kuamua ni nani awe nani na yupi asiwe.
Hii ni kashfa kubwa kwa CHADEMA na Tundu Lissu mwenyewe.
Pia,na kama ni kweli Tundu alionyesha chuki za wazi kwa Lazaro hakika pamoja na kwamba hakuchaguliwa kuwa kiongozi wa Nchi yetu lakini ni bayana hafai kuwa.
Mungu ibariki Tanzania.
Nikikuonya humu kwamba sasa una kibarua kingine cha kumtukana Nyarandu, unaona sasa kiko wapi?Achana na hilo shoga la kinyaturu
Huyo atakuwa katumwa na mama kama shariti la kupata uteuzi.Mimi ni CCM damu damu, na moyo moyo, roho roho..
Ila niseme wazi kwa ukweli kabisa, Nyalandu sio mwanasiasa wa kumuamini hata kidogo, he is a liability, na mnafiki sana, pia kwa haraka tu, Nyalandu hata 10% ya popularity ya Lissu hana. Mnajua nn sio mshabiki wa Lissu, ila nasema ukweli, Nyalandu sio kabisa.
Mh. Rais Samia awe makini sana na wanasiasa type ya Nyalandu. Never ever trust watu kama hao.
Ndio ilivyo sasa unabisha nini?Umeokota wapi huo uongo
Mafisadi warudi nyumbani. Wanyonge kaeni mkao wa masikitiko. Nchi itateketea tena.Sio sababu za Nyalandu kurejea CCM, Sababu kuu ni jiwe kufariki na fursa mpya kwa Mama kupitia kina Kikwete.
Si bora huko hata alishindanishwa, huko alikokimbilia, mgombea urais aliprintiwa fomu moja tu na aliyeonesha nia ya kumchalenge akafukuzwa chama.Topic Lissu alipata kura 4 ndani ya kamati kuu.
Got none to do with Magufuli...
Lets discuss kura 4[emoji16][emoji16]
Usitutoe nje ya mada kuu
Iko hivi!Kwa Mujibu wa Nyalandu mwenyewe ni kwamba wajumbe wa Kamati kuu walikuwa 30 , Lissu alipata kura 24 , Nyalandu hakusema amepata ngapi na wala kura zilizoharibika hazifahamiki .[emoji23][emoji23][emoji23]ANAUMWA
subiri nitaweka niko safariniWeka mkeka wa kura hapa tuone mnafiki mkubwa wee !!
Kubwa kuliko yote nyarandu alimgaragaza mr belgijiChadema ni Taasisi , kosa alilofanya Nyalandu ni kutangaza kwamba atahojiwa masaa 48 kabla , nzi wakafika kuchunguza kitakachojili , hili kwako ni huwezi kuelewa
Iko hivi,simply tafakuri> leo ktk mahojiano na clouds fm alisema "wakati nakwendwa kamati kuu ya @chademaTz wajumbe walikuwa 30,nilipata kura zote na TL alipata kura 24,nilimgalagaza kwelikweli.watu wakasema nyalandu asije akawa kama Lowassa,watu waliotoka ccm hatuwezi kuwaamini." swali chonganishi kama TL alipata kura 24 ktk wajumbe 30 it means zilizo baki ni 6 na ktk mchuano walikuwa 2 tu.kwa maana hiyo hizo 6 zilizobaki zilienda kwa nyalandu.....je alimgalagaza au aligalagazwa?
Iko hiviInawezekana Nyalandu alimgaragaza Lissu kwenye hoja ila ilipofika wakati wa kupiga kura Lissu akapata 24 kati ya 30.
Hivyo analalamika wajumbe wa kamati kuu walimnyima kura kwa kujuana japo alimgaragaza mwanasheria msomi kwenye hoja.
Pole Nyalandu. Demokrasia ni kura.
Sio sababu za Nyalandu kurejea CCM, Sababu kuu ni jiwe kufariki na fursa mpya kwa Mama kupitia kina Kikwete.
ndivyo alivyoeleza au wewe ulikuwepo ktk mchakato au ni tafsili yako binafsi?Iko hivi,
Wajumbe 30 walikuwa wanampigia kura kila mmoja kwa wakati wake.
Nyarandu akapata kura 30 za ndiyo na kura 0 za hapana.
Lisu yeye akapata kura 26 za ndiyo na kura 6 za hapana.
Lisu ni debe tupu aligalagazwa na nyarandu.