Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Inakuwa tamu au kwakuwa kitendea kazi kizaifu unatumia ulimi kusukuma mpaka lifike kileleni harafu unajiita fundiNhiiii nhiiiiiii nhiiiiiiiiiiii
Unaweza kuufukunyua ?? Tuone kero.zaoKuna mmoja alikuja na uzi "NDANI KWANGU KUNA PANYA" sasa ulitaka tumwambie awaite polis au? Wanaume Wa dar tabu tupu
Hapo hapo ndio kuna tatizo .wanaume wa dar hawajui kutofautisha majozi ya mamba analia huku unakumeza .unajisifia majozi kweni unakunywa hayo machozi .juice ya machozi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumekuwa nyoro nyoro vipi, mbona wanatoa machozi vitandani...acheni hizo nyie
Mie nawapenda sana hawa wa dar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Waonee huruma
Kwani kutoa machozi ndiyo kuridhika amka unaliwa tu huwa wengine wanalilia pesa zako tu mkuu [emoji28] [emoji28] [emoji28]Tumekuwa nyoro nyoro vipi, mbona wanatoa machozi vitandani...acheni hizo nyie
Wapunguze kutwa kwenye mitandao mtu katoka kazini kufika nyumbani badala akae na mkewe kutwa kwenye laptop akiulizwa kununa wewe mapema kazini ukirudi laptop muda na mke hakuna unategemea nini wanaume wa dar wabadilike tu wasilie lie hapaHa ha ha ha.we unataka mie nipigwe humu sasa. Haya tumewasikia wanaume was dar,sasa nyinyi jambo dogo kama hilo tu mnalia mpaka mnawalilisha kilio chenu,hao was mwakaleli wanauana lakini sijasikia na wao wakiwakilisha hicho kilio...only in dar,mqanaume Analia kwa kuambiwa yeye ni mwanaume wa dar ha ha ha ha ha ha...sihami daslam
Tumekuwa nyoro nyoro kwa lipi hasa?, sisi wa dar ndio kiboko ya dada zenu.Tatizo sio sisi tatizo ni wanawake wa dar wamekuwa wakiwalalamikia nyie kuwa mmekuwa nyoro nyoro sana
Wataelewa tu! watu wanaishi mbwinde huko wanalala na mifugo then wanatuletea jeuri hapa JfWambieeeeeeeeeeeeee hao,hata mie nimechoka kusikia wanaume wa DAR,kitu kidogo wauname wa DAR hao, wanasema hata fenesi wana menyewa,mua wanakamuliwa,kwani kujipenda kosa? ukienda saloon kufanyia facial ooh wanaume wa dar hawajui kama ndio wanaume wa dar ndio mpango mzima..lol
Yaani sio watafunaji wazuri wa papuchi mnakula juu juu tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumekuwa nyoro nyoro kwa lipi hasa?, sisi wa dar ndio kiboko ya dada zenu.
Nyie ni nyonyoro tu mwanzo mwisho au unabisha?Tumekuwa nyoro nyoro kwa lipi hasa?, sisi wa dar ndio kiboko ya dada zenu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo sio sisi tatizo ni wanawake wa dar wamekuwa wakiwalalamikia nyie kuwa mmekuwa nyoro nyoro sana