Kwanini nyie wana JF mnatudharau sana wanaume wa Dar?

Kwanini nyie wana JF mnatudharau sana wanaume wa Dar?

wanaume wa dar duh unaonekana unahasira sana mkuu umeongea kwa hisia na ila ya kufurahisha


Huyo ana hasira kwa kuwa kaumbuliwa tu, alikuwa hataki watu wawaseme starehe zao....we mwanamme gani kutwa kucha yuko bize kijiweni na kupiga umbea, akitoka hapo anakwenda kujichua uchochoroni na kukata mauno kwenye bongo fleva au taarab. Akirudi nyumbani yuko hoi bin taaban na hana time na mkewe. Hata kama wewe Zainabu002 unafanyiwa hivi na mumeo utajisikiaje? Wanaume wa Dar kwa kweli wanahitaji maombi tu. Makonda, tafadhali waite wana maombi pale jangwani wawaombee wanaume wenu hao magarasa.

cc: Paul Makonda a.k.a. Bashite (Mkuu wa Mkoa wa wanaume tata, DSM).
 
Huyo ana hasira kwa kuwa kaumbuliwa tu, alikuwa hataki watu wawaseme starehe zao....we mwanamme gani kutwa kucha yuko bize kijiweni na kupiga umbea, akitoka hapo anakwenda kujichua uchochoroni na kukata mauno kwenye bongo fleva au taarab. Akirudi nyumbani yuko hoi bin taaban na hana time na mkewe. Hata kama wewe Zainabu002 unafanyiwa hivi na mumeo utajisikiaje? Wanaume wa Dar kwa kweli wanahitaji maombi tu. Makonda, tafadhali waite wana maombi pale jangwani wawaombee wanaume wenu hao magarasa.

cc: Paul Makonda a.k.a. Bashite (Mkuu wa Mkoa wa wanaume tata, DSM).
afadhali umenena mi nipo single kumbe hawafai ee
 
Tatizo sio sisi tatizo ni wanawake wa dar wamekuwa wakiwalalamikia nyie sana kuwa mmekuwa nyoro nyoro sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tatizo sio sisi tatizo ni wanawake wa dar wamekuwa wakiwalalamikia nyie sana kuwa mmekuwa nyoro nyoro sana
Kwahiyo unafikiri ugumu ndiyo sifa? Mambo kama haya bakini nayo nyinyi

tapatalk_1515653976820.jpeg
 
Ila kweli jamani wawahurumie, yaani imekuwa too much!!! hadi ukikutana na mkaka Posta anaogopa kusema mimi nakaa hapahapa Dar, eti anasema nimekuja Dar maramoja ila natokea Mwanza!
Hahahaha umenichekesha sana
 
mkuu hawajielewei hawa wanatuonea wivu kinoma yani, achana nao.
 
Ila kweli jamani wawahurumie, yaani imekuwa too much!!! hadi ukikutana na mkaka Posta anaogopa kusema mimi nakaa hapahapa Dar, eti anasema nimekuja Dar maramoja ila natokea Mwanza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yaani kitu kidogo umeshaazisha uzi wa kulia lia, kweli nyie wanaume wa dar mnashindana na dada zetu kulia lia
Alafu BTW mbona nyie wanaume wa dar story zenu ni za mapenzi na umbea umbea tu amna vitu vingine vya Kuongea?
Hao kiboko yao ni wale majamaa wa mikoani wanaokwenda dar kutafuta ..wenyewe wamewabatiza panya road
 
Tatizo hapa ni kwamba kila mmoja anajiona yupo juu ya mwingine. Unyenyekevu unahitajika. Wanaume wa mikoani asilimia kubwa ni ombaomba kwa wanaume wa dar hata mtoto akikosa peni anaomba kwa wanaume wa Dar. Wanaume wa Dar hawawezi kujifanyia kitu hata taa ikiharibika ndani anaita fundi! Huu ndio mkamilishano
Fundi nae ni mwanaume wa Dar mkuu
 
Kumekuwa na kasumba humu ukileta jambo lako ili usaidiwe kimawazo basi wataanza kukunanga na kukuletea maneno ya jeuri eti oooh!Nyie wanaume wa Dar ndivyo mulivyo! Ina maana sisi wanaume tunaoishi Dar mnatudharau kwa lipi haswa kubwa? Kwani matatizo ya kimapenzi huwapata watu wa Dar tu?

Nyie huko kwenu Mwakaleli mbona kila kukicha wanauwana kwasababu ya mapenzi? Acheni hizo tumewachoka kwa kutudharau wanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar tunafanya kazi, wanaume wa Dar tunaweka mimba, wanaume wa Dar tunavigezo vyote vya kuwafanya wanawake walie vitandani kwa mahaba acheni kutudharau, nyie mbona walugaluga na sie hatusemi? Watu makwenu Mbwinde huko hata gari ya abiria kuiona issue alafu unaleta dharau! Hebu jiheshimuni!

NIMEWAKILISHA KILIO CHA WANAUME WOTE WANAOISHI DAR.

Wivu tu unawasumbua madem wakali wengi wako dar.
 
Kumekuwa na kasumba humu ukileta jambo lako ili usaidiwe kimawazo basi wataanza kukunanga na kukuletea maneno ya jeuri eti oooh!Nyie wanaume wa Dar ndivyo mulivyo! Ina maana sisi wanaume tunaoishi Dar mnatudharau kwa lipi haswa kubwa? Kwani matatizo ya kimapenzi huwapata watu wa Dar tu?

Nyie huko kwenu Mwakaleli mbona kila kukicha wanauwana kwasababu ya mapenzi? Acheni hizo tumewachoka kwa kutudharau wanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar tunafanya kazi, wanaume wa Dar tunaweka mimba, wanaume wa Dar tunavigezo vyote vya kuwafanya wanawake walie vitandani kwa mahaba acheni kutudharau, nyie mbona walugaluga na sie hatusemi? Watu makwenu Mbwinde huko hata gari ya abiria kuiona issue alafu unaleta dharau! Hebu jiheshimuni!

NIMEWAKILISHA KILIO CHA WANAUME WOTE WANAOISHI DAR.
kwa sababu mnaongozwa na mkoromije. anawapinduapindua anavyotaka.
 
Bro.usilalamike sana wanatujadili kwa sababu wametukubali halafu huwa hawajiamini wanafikiri hizi kashfa humu J.f zitatupunguza kasi kumbe ndio zinaongeza kasi.
 
Back
Top Bottom