Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

Status
Not open for further replies.
Be a man.....unakuja kwenye thread hapa unamuomba Miss Natafuta naomba kuja PM.....mwanamke anaejitambua atakusikiliza.
 
Mimi ndie nliuliza aisee,sema hyo reply skuiona,kuna bwana mdogo mmoja aliniachafulia hali ya hewa.
Kumbe wanakulana kwelii[emoji15]

Shunie am on my way to ur PM,niachie mlango wazi kabisa mana nkifika sigongi hodi,
 
Mimi ndie nliuliza aisee,sema hyo reply skuiona,kuna bwana mdogo mmoja aliniachafulia hali ya hewa.
Kumbe wanakulana kwelii[emoji15]

Shunie am on my way to ur PM,niachie mlango wazi kabisa mana nkifika sigongi hodi,
kumbe n ww uliyeuliza [emoji23] karibu sana pm kwangu kupo wazi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…