Kwa vigezo vya kisasa hizo ngoma unazoziongelea utakuwa unazionea kuzishindanisha na AJE. ...watu wanakesha YouTube kumsubiria AJE..watu wanamaliza chaji simu kumsikiliza AJE..watu hawabanduki Instagram kumsubiria AJE. ..dadako zako mjini hawakauki kwa AJE ...hivi ndo mziki unataka ngoma unaipa thamani kwa style waifanyayo