Kwanini nyinyi single mothers mmeamua kuwapa mateso watoto wenu?

Kwanini nyinyi single mothers mmeamua kuwapa mateso watoto wenu?

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Leo nimeamua niongee Na Hawa single mother s , kwanini mmeamua kuwatesa watoto wenu? Ni sawa umezaa Na jamaa huenda ilitokea kwa bahati mbaya ulikuwa humpendi au mlikuwa wapenzi kwa bahati mbaya katika mahusiano yenu ukawa umepata ujauzito, baadhi ya wanaume ni kweli wanakuwa hatawaki kutoa support ya huduma kwa mtoto, lakini kuna baadhi yao wanakuwa wanatamani sana washirikishwe katika utoaji wa huduma ya mtoto, Sasa kuna wale single mothers wao wameamua kuyabeba majukumu yote kwamba wao ndio baba Na wao ndio kumbuka uwezo wake kiuchumi ni mdogo huyu single mother, mtoto anavaa pear moja ya kiatu mpaka inatoboka, haisee nyie single mothers washirikisheni hao waliowapa ujauzito kwenye malezi ya watoto wenu. Msiwape watoto wenu mateso mpaka watoto wanaanza kuichukia dunia wakiwa wadogo.
 
IMG_20241023_144550.jpg
 
Hakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui

What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.

Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake
 
Hakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui

What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.

Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake
Lakini kuna baadhi yao hao wanaume wanapenda kutoa huduma lakini hawapewi nafasi
 
Mtoto akifikisha Miaka Saba apelekwe Kwa Baba yake.
Kama Mama Hana kipato cha uhakika

Siô unang'ang'ania Watoto alafu kulea unashindwa hata na Kuku
Hii mada mkuu nimeaiandika nikiwa Na maumivu sana moyoni , kuna single mother hapa jirani Na ninapoishi Yule mama kiuhalisia kiuchumi ni "dhaifl Hal" mtoto yupo kidato cha pili, anavaa kiatu kimechoka, uniform zimepauka kaa, mzazi mwenzie yupo tena ni mzima wa afya...
 
Hii mada mkuu nimeaiandika nikiwa Na maumivu sana moyoni , kuna single mother hapa jirani Na ninapoishi Yule mama kiuhalisia kiuchumi ni "dhaifl Hal" mtoto yupo kidato cha pili, anavaa kiatu kimechoka, uniform zimepauka kaa, mzazi mwenzie yupo tena ni mzima wa afya...

Hapo mwenyewe anajua ndîo analea.
Ubinafsi mbaya Sana
 
Hakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui

What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.

Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake
Hauwajui vizuri wanawake wenzio wewe.
 
Hii mada mkuu nimeaiandika nikiwa Na maumivu sana moyoni , kuna single mother hapa jirani Na ninapoishi Yule mama kiuhalisia kiuchumi ni "dhaifl Hal" mtoto yupo kidato cha pili, anavaa kiatu kimechoka, uniform zimepauka kaa, mzazi mwenzie yupo tena ni mzima wa afya...
Ulimuuliza huyo mzazi mwenzie shida Nini Hadi mtoto anaishi Maisha ya hivo?
 
Kila siku nasema na narudia tena

Single maza ni mwanamke mjinga sana:

●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake

●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba

Single maza ni laana
 
Kila siku nasema na narudia tena

Single maza ni mwanamke mjinga sana:

●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake

●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba

Single maza ni laana
Tatizo mnapokuwa responsible mnataka tena muwakule mama zao.
 
Leo nimeamua niongee Na Hawa single mother s , kwanini mmeamua kuwatesa watoto wenu? Ni sawa umezaa Na jamaa huenda ilitokea kwa bahati mbaya ulikuwa humpendi au mlikuwa wapenzi kwa bahati mbaya katika mahusiano yenu ukawa umepata ujauzito, baadhi ya wanaume ni kweli wanakuwa hatawaki kutoa support ya huduma kwa mtoto, lakini kuna baadhi yao wanakuwa wanatamani sana washirikishwe katika utoaji wa huduma ya mtoto, Sasa kuna wale single mothers wao wameamua kuyabeba majukumu yote kwamba wao ndio baba Na wao ndio kumbuka uwezo wake kiuchumi ni mdogo huyu single mother, mtoto anavaa pear moja ya kiatu mpaka inatoboka, haisee nyie single mothers washirikisheni hao waliowapa ujauzito kwenye malezi ya watoto wenu. Msiwape watoto wenu mateso mpaka watoto wanaanza kuichukia dunia wakiwa wadogo.
Hasira hizo 😅😅😅lakini kuna wanashirikishwa na hawatoi ushirikiano 😅
 
Back
Top Bottom