Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kunakitu napenda sana kutolea mfano hapa.
Mimi na mke wangu tuna jumla ya watoto 8.
Kabla sijamuoa nilikua nina watoto 5 na kila mtoto na mama yake na aliwakuta ninaishi nao.
Baada ya hapo nayeye akaongeza watoto 3 ndipo jumla ikawa watoto 8 na wote wanaishi under the same roof.
Mimi ndie mwanaume na ndio ninae weka sheria na kila anae ishi nyumbani kwangu anazifuata kikamilifu.
Mke wangu ni mtii kwangu nami nina mpenda.
Watoto wanasoma na wanaishi maisha mazuri.
Kwaleo naomba niishie hapa...😊
Mimi na mke wangu tuna jumla ya watoto 8.
Kabla sijamuoa nilikua nina watoto 5 na kila mtoto na mama yake na aliwakuta ninaishi nao.
Baada ya hapo nayeye akaongeza watoto 3 ndipo jumla ikawa watoto 8 na wote wanaishi under the same roof.
Mimi ndie mwanaume na ndio ninae weka sheria na kila anae ishi nyumbani kwangu anazifuata kikamilifu.
Mke wangu ni mtii kwangu nami nina mpenda.
Watoto wanasoma na wanaishi maisha mazuri.
Kwaleo naomba niishie hapa...😊