Umesema ukweli kabisa! Kuna mama mmoja mpumbavu alimkubalia mume wake amlete mtoto aliezaa nje wa kiume kumbe alikuwa na lake jambo! Akaona atakuja kugawana urithi na watoto wake akamwekea sumu akiwa darasa la sita akafariki!Hakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui
What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.
Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake
Shida ya Hawa Dada zetu wakipenda Huwa wamependa kweli ....matokeo ni hayaKila siku nasema na narudia tena
Single maza ni mwanamke mjinga sana:
●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake
●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba
Single maza ni laana
Hujawahi kukutana na wanawake wapumbavu, tena akiona humsikilizi anakuondoa na wewe!Kunakitu napenda sana kutolea mfano hapa.
Mimi na mke wangu tuna jumla ya watoto 8.
Kabla sijamuoa nilikua nina watoto 5 na kila mtoto na mama yake na aliwakuta ninaishi nao.
Baada ya hapo nayeye akaongeza watoto 3 ndipo jumla ikawa watoto 8 na wote wanaishi under the same roof.
Mimi ndie mwanaume na ndio ninae weka sheria na kila anae ishi nyumbani kwangu anazifuata kikamilifu.
Mke wangu ni mtii kwangu nami nina mpenda.
Watoto wanasoma na wanaishi maisha mazuri.
Kwaleo naomba niishie hapa...😊
Mzee ulikuwa vizuri,watoto watano kila mmoja na mama yake aisee.Kunakitu napenda sana kutolea mfano hapa.
Mimi na mke wangu tuna jumla ya watoto 8.
Kabla sijamuoa nilikua nina watoto 5 na kila mtoto na mama yake na aliwakuta ninaishi nao.
Baada ya hapo nayeye akaongeza watoto 3 ndipo jumla ikawa watoto 8 na wote wanaishi under the same roof.
Mimi ndie mwanaume na ndio ninae weka sheria na kila anae ishi nyumbani kwangu anazifuata kikamilifu.
Mke wangu ni mtii kwangu nami nina mpenda.
Watoto wanasoma na wanaishi maisha mazuri.
Kwaleo naomba niishie hapa...😊
Si utume matumizi!Mtoto akifikisha Miaka Saba apelekwe Kwa Baba yake.
Kama Mama Hana kipato cha uhakika
Siô unang'ang'ania Watoto alafu kulea unashindwa hata na Kuku
Suala la kula Na kuliwa ndio udhaifu wa mwanadamu...Na shida ya mwanamke ukimfanyia wema wengi wao hutaka kulipa huo wema kwa kutoa uchi....Tatizo mnapokuwa responsible mnataka tena muwakule mama zao.
Ila ni vyema pia wakiamua kuongeza mtoto mwingine kuliko kuzaa na wanaume tofauti tofauti.Suala la kula Na kuliwa ndio udhaifu wa mwanadamu...Na shida ya mwanamke ukimfanyia wema wengi wao hutaka kulipa huo wema kwa kutoa uchi....
Kwanza hata nikikutana nae hawezi akaipata hiyo nafasi hata ya kusikilizwa katika maisha yangu..😊Hujawahi kukutana na wanawake wapumbavu, tena akiona humsikilizi anakuondoa na wewe!
Uongo!Labda hasira za kuachwa na baba zao wanamalizia kwa watoto
Acheni kuwatesa watotoHasira hizo 😅😅😅lakini kuna wanashirikishwa na hawatoi ushirikiano 😅
Sikua vizuri sana mkuu, ni aina ya maisha nilio yaishi kabla ndio yalipelekea matokeo hayo mkuu.Mzee ulikuwa vizuri,watoto watano kila mmoja na mama yake aisee.
Si utume matumizi!
Ona sasa...lazima kuna sababu.na Maisha yana mengi watu hawayasemi mnaishsia kuhukumuUmesema ukweli kabisa! Kuna mama mmoja mpumbavu alimkubalia mume wake amlete mtoto aliezaa nje wa kiume kumbe alikuwa na lake jambo! Akaona atakuja kugawana urithi na watoto wake akamwekea sumu akiwa darasa la sita akafariki!
Wengi watoto wanaoteseka ni wale walizaa na Wanaume wawatu, Utakuta Binti anatembea na Mume wa mtu kwa tamaa za vitu utakuta anapangiwa sehemu ya kuishi na kutokewa out Hotelini, Sasa walivyo wajinga wanabeba mimba ya Mme wa mtu na ukute huyo Mume ana watoto zaid ya 10 unafikili ukisha zaa tu anakata mawasiliano kwasababu yeye hana shida na watoto anao Nyumbani na utakuta kila mkoa kaacha mtoto, Binti akizaa na kijana ambae hana mtoto kumtelekeza mtoto ni ngumu kwanza mtoto atakua naenda kwa Bibi kucheza kila akifunga shule tofauti Binti akizaa na Mume wa mtu mtoto awezi kwenda kwa Bibi kwanza mahusiano hayajulikani popote, Ndiyo Maana Single mother wengi wanaingia kwenye Mahusiano kwaajili ya kulelelewa mtoto tu kwasababu mtoto anakua hajulikani kwao upande wa Mwanaume aliyezaa nae.Hakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui
What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.
Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake
Ukweli ni upi?Uongo!
Sio kweli asilimia kubwa mwanamke ndio anakuwa chanzo hakuna mwanaume atamuacha mwanae atesekeHakuna anawpwnda kuona mtoto wake anateseka Wala kuishi Kwa tabu hakuna
Kabla hujamhukumu kwamba anansababidha mateso Kwa mtoto wake muulize Nini kimempata Hadi aamue kulea kivyake.kuna mengi nyuma ya pazia huyajui
What if baba mtoto kafa?
What if baba wa mtoto kagoma kutoa matunzo amlazimishe?
What if baba mtoto kaoa mwanamke mwingine anaforce mtoto akake Kwa mama wa kambo,na ana roho mbaya
mwanamke gani mwenye utimamu atakubali hili?ukae huku umrelax mwanao kule anamwagiwa maji ya moto usoni kisa Maisha mazuri asijeyakosa?si Bora amani penye mboga za majani?
Nawanaume ukimwambia siwezi mpa mkeo mtoto nae anakususia matunzo.
Mimi sio single mom,lakini niseme ukweli hakuna mwanamke anaependa mtoto wake aishi Kwa tabu.lazima Kuna sababu nyingi nyuma yake