Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mkuu ukilipa si unapewa risiti??Ni risky sana utaratibu huo (na nimeshuhudia)kwani ikitokea kwamba mmiliki wa hardware ulikolimbikiza fedha zako akifariki au hardware ikapata ajali e.g. kuungua moto, utapata wakati mgumu sana ku-claim fedha zako ulizowekeza kwake. Lakini pia na wewe unaweza kupata changamoto ya kimaisha. Ni bora ukawekeza benki ambako utapata na kafaida fulani kuliko kwa mtu baki i.e. hardware.
Mmiliki akifariki ndio mwisho wa huduma? 😃
Duuh umewaza mbali, kwakweli mie kwangu hii ilikua rahisi sana ndani ya mwezi nlikua nshawapa hela ya kutosha kazi ilikua kufata material tu hadi nkajihisi kama najenga bure. Hizo risk sikuzipa kipaumbele ila pia kuna mambo ukiyapa kipaumbele mkuu hupigi hatua.