Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Hakuna msenge ambaye hayupo ktk ushoga, labda utafute kitu kingine cha kueleza ili nikuelewe,.

Ila msenge ni shoga na nafasi yake ni kuingiliwa tyuuh.
Mbona nimeshaeleza, msenge ni mtu mwenye haiba ya kike. Sasa kama haingiliwi anabaki kuwa msenge tu, na si shoga.
 
Hakuna mbunge aliyepimwa ni porojo tu hizi.

Kipimo ni whistle blowers tu.
 
Asante viongozi wa dini naona kupitia jumuiya mitaani tunako ishi kuna form za kuwaorodhesha lazima wakimbie wenyewe
 
Na humu JF kuna haja ya wataalamu tuje kuwapima maana kuna watu hawaelewekieleweki
 
Mkuu hili jambo liliibuliwa na wabunge wenyewe na walisema wapo serious wanataka kuonesha mfano kwa wapiga kura wao. Kwanini wewe unataka kuwakatisha tamaa wasitoea majawabu na orodha yao hadharani? Hili jambo sio la mzaha. Ni lazima wapigakura tujulishwe kuhusu afya za wabunge wetu.
Hiyo habari ya wabunge kupimwa unaijua wewe tu.
Unakijua kipimo cha ushoga lakini? Hakuna mbunge mwenye akili timamu atakaye kubali kupimwa
 
Hiyo habari ya wabunge kupimwa unaijua wewe tu.
Unakijua kipimo cha ushoga lakini? Hakuna mbunge mwenye akili timamu atakaye kubali kupimwa
Wasikilize vizuri kwenye klipu hapo juu usituletee hapa ujuaji usioujua.
 
Nadhani huyo anaitwa hanithi
Hanithi ni mwanaume ambaye hasimamishi. Msenge anaweza akawa anasimamisha na haingiliwi kinyume, ila tu ana uoungufu wa homoni dume, hivyo anakuwa na haiba ya kike (mambo ya kike kike). Mfano Juma Lokole ni Msenge ila si hanithi, na pemgine haingiliwi, na kama haingiliwi maana yake sio shoga.
 
Back
Top Bottom