Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kuwadhalilisha tu....ni "trivial tu"....

Hivi kweli mtu mwenye kujitambua anahitaji kujua mwingine anautumiaje mwili wake haswa katika starehe za mwili wake huyo mwingine?!!! [emoji849][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona unaji defend? Inabidi tukukamate upimwe kwa nguvu. Uchoku ni dhambi. 😀 😀
 
Wakiwekwa wazi patachimbika
Mfano vipimo vinasema kwamba Naibu spika ndiye siye! Nimesema kwa mfano, jee wale wabunge mabasha wakitaka kuuliza swali la nyongeza watauliza huku wakikuna mzuzu [emoji3185] na kukonyeza?
 
Wapo. Ndio maana tunataka wawekwe hadharani ili tuwachekeche tuwaondoe bungeni. Hatuwezi kuwakilishwa na machoko.
Sio huko tuu, hata viongozi kama ma RC na ma DC.
Kuna RC mmoja mikoa ya kanda ya ziwa anajulikana toka zamani. Pia DC mmoja alikuwa na cheo ndani ya chama hadi akawa anaenda holiday Mombasa kwa basha na watu wanajua.
 
Mimi nimepinga ila "si choko"....

BTW hivi kweli "mwili wangu"....mwili wa mwingine....starehe zake za faragha zinawahusuje watu wengine?!!!!.


Kutaka kujua faragha za wengine ni akili kweli ?!!![emoji1787][emoji1787]
Ndo wa TZ wanataka hivyo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Facts [emoji106]

Kama waafrika hatufurahishwi kuwa na jamii ya aina hiyo.....lakini kweli nani anaweza kumpangia mtu cha kufanya akiwa faragha?!!!

Nilikuwa na rafiki yangu mwenye kuishi ibada ya dini yake.....alikuwa anapenda kuwapinga sana hao "watu".....nikaja kugundua pamoja na kuwa na mke kijana mwenzake msomi mwenzake na mrembo haswa ila mwana ana "mchepuko" shoga aishiye mtoni Kijichi na amempangia kabisa chumba.....imagine....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna watu wanafiki km "Bisexual" siwataki hata kuwasikia.
Bora niwe na rafiki [emoji2380], au straight.
 
Mfano vipimo vinasema kwamba Naibu spika ndiye siye! Nimesema kwa mfano, jee wale wabunge mabasha wakitaka kuuliza swali la nyongeza watauliza huku wakikuna mzuzu [emoji3185] na kukonyeza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Sio huko tuu, hata viongozi kama ma RC na ma DC.
Kuna RC mmoja mikoa ya kanda ya ziwa anajulikana toka zamani. Pia DC mmoja alikuwa na cheo ndani ya chama hadi akawa anaenda holiday Mombasa kwa basha na watu wanajua.
Akati huko Mombasa aliolewa kabisaa, alikua anaishi kinyumba na basha, km mke na mume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana na mambo ya maisha ya watu kila mtu alinde Tigo yake haya mambo huwezi pambana nayo yako siku zote watu wanalika kila siku na hata kabla huja zaliwa .
 
Sio huko tuu, hata viongozi kama ma RC na ma DC.
Kuna RC mmoja mikoa ya kanda ya ziwa anajulikana toka zamani. Pia DC mmoja alikuwa na cheo ndani ya chama hadi akawa anaenda holiday Mombasa kwa basha na watu wanajua.
Du! Huyu amekubuhu aisee. Atajwe tu ili tuwe tunampita mbali.
 
Back
Top Bottom