Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Mungu hanaga hasira.

Hayo ni mapepo ndo waga yana hasira.
Kama Mungu hana hasira asingewateketeza watu kwa maji,moto wa koberiti Sodoma, wala kusingekuwa na hukumu ya milele.Mungu ana hasira mkuu,
soma hapa👇

Ezekieli 7:8
8 Basi hivi karibu nitamwaga ghadhabu yangu juu yako, nitazitimiza hasira zangu juu yako, nami nitakuhukumu sawasawa na njia zako; nami nitakupatiliza machukizo yako yote.

Kutoka 32:11

Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?


Maandiko haya yanaonyesha kwamba Mungu ana hasira na watu wanaopinga kwa makusudi kweli kwa uovu mkuu.Na yako mengi,haya ni machache tu.Siku zote kumbukeni kwamba upendo wa Mungu is not a sign of weakness.
 
Acheni upofu na ufirauni.Kama tukiruhusu matendo haya ya kishetani kuendelea,wote tutahusika Mungu atakapo shusha hasira yake kwa nchi yetu kama alivyofanya Sodoma na Gomora.Hili kwa hiyo sio swala la mtu binafsi kama mnavyo-dhani,it concerns all of us.So the government must take action,and quickly.
Inabidi na wewe upimwe, usije kukuta unapinga ushoga kama defensive mechanism tu.
 
Wewe unasema orodha inafichwa kwani bunge letu tukufu lina watu wa sampuli hiyo?
Ndio. Wamo na wao wenyewe wamethibitisha hilo. Hebu pitia hizo clips hapo juu uwasikilize wenyewe.
 
Kama Mungu hana hasira asingewateketeza watu kwa maji,moto wa koberiti Sodoma, wala kusingekuwa na hukumu ya milele.Mungu ana hasira mkuu,
soma hapa[emoji116]

Ezekieli 7:8
8 Basi hivi karibu nitamwaga ghadhabu yangu juu yako, nitazitimiza hasira zangu juu yako, nami nitakuhukumu sawasawa na njia zako; nami nitakupatiliza machukizo yako yote.

Kutoka 32:11

Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?


Maandiko haya yanaonyesha kwamba Mungu ana hasira na watu wanaopinga kwa makusudi kweli kwa uovu mkuu.Na yako mengi,haya ni machache tu.Siku zote kumbukeni kwamba upendo wa Mungu is not a sign of weakness.
Hayo ni mapepo.

Mungu wa kweli hawachomi watu kwa petroli.
 
Tatizo sio kupima. Je mkishawagundua itasaidia kutokomeza? Au ni kupata furaha tu kwa kuwadhalilisha? Mtumie akili sometimes
Kuwadhalilisha tu....ni "trivial tu"....

Hivi kweli mtu mwenye kujitambua anahitaji kujua mwingine anautumiaje mwili wake haswa katika starehe za mwili wake huyo mwingine?!!! [emoji849][emoji1787][emoji1787]
 
Kweli kabisa. Ukiona mwanaJF yeyote anapinga upimwaji, huyo ni wa kumtilia mashaka 😀 😀 😀
Mimi nimepinga ila "si choko"....

BTW hivi kweli "mwili wangu"....mwili wa mwingine....starehe zake za faragha zinawahusuje watu wengine?!!!!.


Kutaka kujua faragha za wengine ni akili kweli ?!!![emoji1787][emoji1787]
 
Kuwadhalilisha tu....ni "trivial tu"....

Hivi kweli mtu mwenye kujitambua anahitaji kujua mwingine anautumiaje mwili wake haswa katika starehe za mwili wake huyo mwingine?!!! [emoji849][emoji1787][emoji1787]
Ni kushindwa tu kutumia akili. Wanakosa njia sahihi ya kupunguza hii kitu. Ubabe na ukatili sio njia sahihi.
 
Ni kushindwa tu kutumia akili. Wanakosa njia sahihi ya kupunguza hii kitu. Ubabe na ukatili sio njia sahihi.
Facts [emoji106]

Kama waafrika hatufurahishwi kuwa na jamii ya aina hiyo.....lakini kweli nani anaweza kumpangia mtu cha kufanya akiwa faragha?!!!

Nilikuwa na rafiki yangu mwenye kuishi ibada ya dini yake.....alikuwa anapenda kuwapinga sana hao "watu".....nikaja kugundua pamoja na kuwa na mke kijana mwenzake msomi mwenzake na mrembo haswa ila mwana ana "mchepuko" shoga aishiye mtoni Kijichi na amempangia kabisa chumba.....imagine....
 
Mkuu hili jambo liliibuliwa na wabunge wenyewe na walisema wapo serious wanataka kuonesha mfano kwa wapiga kura wao. Kwanini wewe unataka kuwakatisha tamaa wasitoea majawabu na orodha yao hadharani? Hili jambo sio la mzaha. Ni lazima wapigakura tujulishwe kuhusu afya za wabunge wetu.
Wewe ushapimwa?
 
Huu uzi umebakia kwa ushahidi wa video tu, vinginevyo ungefutiliwa mbali.

Sikuwa nimemuekewa mtoa mada hadi baada ya kuitazama video.
Ana hoja, tupatiwe mrejesho [emoji23][emoji23]
 
Wewe ushapimwa?
Mkuu tumeanza na wabunge kwanza kisha tutakuja kwa raia wa kawaida; na hata wewe utapimwa pia. Usiwe na haraka, subiri zamu yako itafika. 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom