Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cheka akhui [emoji1787][emoji1787]Hahahah
Cheap politics tu [emoji1787]Si ndo wanavyotaka wao?? Sasa je??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hatari sanahahahaha noma sana, mambo ya Mariposa hayo
Kama Mungu hana hasira asingewateketeza watu kwa maji,moto wa koberiti Sodoma, wala kusingekuwa na hukumu ya milele.Mungu ana hasira mkuu,Mungu hanaga hasira.
Hayo ni mapepo ndo waga yana hasira.
Inabidi na wewe upimwe, usije kukuta unapinga ushoga kama defensive mechanism tu.Acheni upofu na ufirauni.Kama tukiruhusu matendo haya ya kishetani kuendelea,wote tutahusika Mungu atakapo shusha hasira yake kwa nchi yetu kama alivyofanya Sodoma na Gomora.Hili kwa hiyo sio swala la mtu binafsi kama mnavyo-dhani,it concerns all of us.So the government must take action,and quickly.
Hayo ni mapepo.Kama Mungu hana hasira asingewateketeza watu kwa maji,moto wa koberiti Sodoma, wala kusingekuwa na hukumu ya milele.Mungu ana hasira mkuu,
soma hapa[emoji116]
Ezekieli 7:8
8 Basi hivi karibu nitamwaga ghadhabu yangu juu yako, nitazitimiza hasira zangu juu yako, nami nitakuhukumu sawasawa na njia zako; nami nitakupatiliza machukizo yako yote.
Kutoka 32:11
Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?
Maandiko haya yanaonyesha kwamba Mungu ana hasira na watu wanaopinga kwa makusudi kweli kwa uovu mkuu.Na yako mengi,haya ni machache tu.Siku zote kumbukeni kwamba upendo wa Mungu is not a sign of weakness.
Wakiwa wanaingia wanapimwa, lakini baada ya kuingia wanaendelea kuzagamuliwa vinyero.Jwtz wanapimwa. Ni utaratibu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee Tanganyika itasambaratika.
Tatizo sio kupima. Je mkishawagundua itasaidia kutokomeza? Au ni kupata furaha tu kwa kuwadhalilisha? Mtumie akili sometimesKweli kabisa. Ukiona mwanaJF yeyote anapinga upimwaji, huyo ni wa kumtilia mashaka 😀 😀 😀
Kuwadhalilisha tu....ni "trivial tu"....Tatizo sio kupima. Je mkishawagundua itasaidia kutokomeza? Au ni kupata furaha tu kwa kuwadhalilisha? Mtumie akili sometimes
Mimi nimepinga ila "si choko"....Kweli kabisa. Ukiona mwanaJF yeyote anapinga upimwaji, huyo ni wa kumtilia mashaka 😀 😀 😀
Ni kushindwa tu kutumia akili. Wanakosa njia sahihi ya kupunguza hii kitu. Ubabe na ukatili sio njia sahihi.Kuwadhalilisha tu....ni "trivial tu"....
Hivi kweli mtu mwenye kujitambua anahitaji kujua mwingine anautumiaje mwili wake haswa katika starehe za mwili wake huyo mwingine?!!! [emoji849][emoji1787][emoji1787]
Facts [emoji106]Ni kushindwa tu kutumia akili. Wanakosa njia sahihi ya kupunguza hii kitu. Ubabe na ukatili sio njia sahihi.
Fujo isiyoumizaHawa makada wa CCM wanapiga kazi sana bunge hili wapewe.maua yao
Wewe ushapimwa?Mkuu hili jambo liliibuliwa na wabunge wenyewe na walisema wapo serious wanataka kuonesha mfano kwa wapiga kura wao. Kwanini wewe unataka kuwakatisha tamaa wasitoea majawabu na orodha yao hadharani? Hili jambo sio la mzaha. Ni lazima wapigakura tujulishwe kuhusu afya za wabunge wetu.