Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwasababu hicho ndio kimenihusu moja kwa moja kaka, mengine kwakweli naona ni makubwa mnoKisimi ni cha nyama lakini wataalamu wana namna yao ya kupima kama kinatumika au la. Afu mbona wewe unavutiwa na kisimi tu mambo mengine huyazungumzii?
So walichimbwa na Urusi au?Walichimbwa mkwara na wakubwa wa dunia wakaona kila mmoja apambane na Hali yake
Mambo mengine yaache kama yalivyo , au ongelea huku chini chini ukipanda step ndo utajua hujuiSo walichimbwa na Urusi au?
Mdee anakusikia ujuwe?Ndio; wanapimwa kama papuchi zao zinatumika au la. Kama hazitumiki, basi moja kwa moja wanakuwa kwenye kundi la lesbians.
[emoji1787][emoji1787][emoji106]Yaani watanzania ni viumbe wa kuonea huruma tu!!yaani tabu zote zilizokujaa,ambazo zina kuathiri moja kwa moja na bunge liko kimya unakimbilia eti USHOGA?halafu wakishajulikana itakusaidia nini??Ninacho shukuru Rais aliuchuna tu na akawapa makavu,na mjadala ukafia hapo hapo!!!
Liko ndani ya kamusi ya BAKITA...[emoji1787]Zamani nilidhani neno "Msenge" halisemwi hadharani, kumbe hata bungeni linatamkwa....
Haa Yaani Watakuja Na Ile Sheria Yao Hadhi, Mamlaka Ya Bunge Watakaosema SuuuWakiwekwa wazi patachimbika
Usiogope. Kapime tujue kama uliingiliwa mara ngapiIla kuna mambo ukiyafikiria sana unaishia tu KUCHEKA kama "taahira"[emoji1787]
Hivi faragha kikatiba haihusishi kuheshimu MIILI ya WATU ,HESHIMA YAKE NA USIRI WAKE ?!!!
Tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuwapima watu kwa nguvu huo "usenge" [emoji1787][emoji1787]
Isitoshe tu kwa madaktari kufanya vipimo hivyo pale panapokuwa na "UNAJISI" ambako ni kinyume cha sheria......leo hii yatokee "mababa" yashadadie huku mitaani watu wapimwe USENGE ?!!
Kama huku mitaani itakuwa ni "laughing stock" leo hii iwe kwa WAHESHIMIWA WABUNGE?!!!
Yaani kabisa waheshimiwa hao wapandishwe vitandani kizamu... watoa huduma ya afya wetu wavae mipira ya mikono(gloves) ,wanyunyizie vilainishi katika "madole yao... yang'ae mng'ao wa KY-JELLY" halafu ( DIGITAL RECTAL EXAMINATION-DRE) ifanyike kisha majibu tuletewe wananchi kuwa "fulani na fulani" ni MADHEHA ,"VYATOKA" "BISCUIT LAINI YA KUMEZA TU" "MCHICHA MWIBA" "MCHELEMCHELE" "WALI NAZI" "ASALI-MAZIWA NA PARACHICHI" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HEBU TUWENI MAKINI NA MAMBO MAKINI JAMANI
#SIEMPREJMT[emoji120]