Kwanini P Funk Majani mmiliki wa Bongo records hajihusishi sana na siasa?

Kwanini P Funk Majani mmiliki wa Bongo records hajihusishi sana na siasa?

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Huyu P Frank Majani nimemuona kati ya watu smart sana, walianzisha mziki wa Bongo na ana miliki studio ya Bongo records, cha ajabu huyu bwana hajawahi onekana kwenye majukwaa ya kisiasa, je ameona mbali au ana maono ambayo ni zaidi ya siasa, je kumudu biashara zake na kutohusisha na siasa kumempa nguvu zaidi ya kutofuatwa na kuingiliwa kwenye biashara zake. Tujifunze nini kutoka kwa huyu bwana zaidi sana wengi ambao tupo kwenye biashara zinazohitaji watu wote badala ya kuwa na upande ambao hata wateja wengine hawawezi kukuunga mkono na hivyo kupoteza.

Binafsi sikutegemea kuna TV itafungiwa kwa kujitoa kwake kwenye siasa kwa 100%, viongozi wa siasa hawawezi kumuombea msamaha au ndo hivyo ni lazima anyooshwe.
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John Boko

Mwakasege

Pastor david mbaga

Maxence melo

mimi hapa

Mwakinyo

Ontario

king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula

Smon Msuva

mbona hao hujawaulizia?
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John boko

mwakasege

pastor david mbaga

maxence melo

mimi hapa

mwakinyo


ontario




mbona hao hujawaulizia?
Kama unalo la kuwazungumzia hawa wazungumzie kila mtu ana story zake usitake nizungumzie unacho kijua ww
 
Kama unalo la kuwazungumzia hawa wazungumzie kila mtu ana story zake usitake nizungumzie unacho kijua ww

mimi nataka nizungumze hicho hicho unachozungumza wewe au unasemaje ndugu yangu?
 
Ukiwa Smart Upstairs ni harakati tu mkuu huwezi ingia kwenye jalala linaloitwa siasa hasa africa
Kwa hiyo wasanii wenye lebo kuwa walio ingia kwenye siasa waliingia kwenye jalala
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John boko

mwakasege

pastor david mbaga

maxence melo

mimi hapa

mwakinyo


ontario


king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula


simon msuva


mbona hao hujawaulizia?
Ningekushangaa km ungemuacha jide
 
Kwani Wasafi TV kujihusisha na siasa za kumsapoti Magufuli ndiyo ilikuwa tiketi ya kukiuka taratibu walizopewa na TCRA?

Badala ya kupongeza kuwa Sheria imefuatwa bila kuangalia mrengo wa kisiasa wewe unaona Kama Wasafi TV wameonewa?

Siku ya lile kongamano lao aliposhuka tu Gigy Money wakaanza kuomba msamaha palepale wakiiomba TCRA.

Maanake walitambua kosa.

Kampeni Ni kampeni, ukikosea unadhibiwa kwa misingi ya Sheria.
 
Back
Top Bottom