Kwanini P Funk Majani mmiliki wa Bongo records hajihusishi sana na siasa?

Wewe ukimuangalia Gigy alikuwa uchi, mbona watu wanavaa skin tight wasikamatwe na kuambiwa wako uchi, wanasubiri mtu akipanda jukwaani ndio aambiwe yuko uchi,, umesoma sehem ukaona nimeandika wasafi wameonewa? waambie maana ww ni mmoja wao wakamatwe wanaooga na chupi ufukweni au kwenye swimming pool maana wako uchi kote kuna sheria.
 
Walioko ufukweni na swimming pool wanarushwa na vyombo vya habari vilivyo chini ya TCRA?
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John Boko

Mwakasege

Pastor david mbaga

Maxence melo

mimi hapa

Mwakinyo

Ontario

king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula

Smon Msuva

mbona hao hujawaulizia?
Eti"Ontario"
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John Boko

Mwakasege

Pastor david mbaga

Maxence melo

mimi hapa

Mwakinyo

Ontario

king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula

Smon Msuva

mbona hao hujawaulizia?
πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John Boko

Mwakasege

Pastor david mbaga

Maxence melo

mimi hapa

Mwakinyo

Ontario

king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula

Smon Msuva

mbona hao hujawaulizia?
Nilitaka kuuliza swali kama hili umeniwahi nashukuru umenisaidia.
ongezea na swali lingine hili.
Mbona na yeye mtoa mada hajajiingiza kwenye siasa?
 
Mbona wewe hujajingiza kwwnye siasa

Ova
 
sasa we unataka kila mtu ajihusishe na siasa? mbn hujauliza hawa wafuatao

Backhresa

John Boko

Mwakasege

Pastor david mbaga

Maxence melo

mimi hapa

Mwakinyo

Ontario

king crazy Gk

lady jaydee

jini kabula

Smon Msuva

mbona hao hujawaulizia?
Mapank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…