Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu weka video wengine tulikuwa kwenye majukumu hatukuona.Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.
Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!
Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
... Ile ilitakiwa ifanyike kwenye vikao vya ndani vya Chama sio mbele ya international figure marais wanne wa kigeni live.Pale hao waandalizi walikosea sana,wale jamaa hamna walichochekesha pale
Mama angetoa hoja, na kufunga maadhimisho kuliko kufanya makorokoro mengi.Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.
Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!
Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Hata akidharau wewe ina kuhusu nini au utapata hasara ipi?Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.
Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!
Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Ukute sisi tusiojua kitu tunaona onyesho la JWTZ limeenda sawa ila kamanda jasusi PK kaona makosa mengi kwenye izo mambo.Ni kosa Sana mwanajeshi jasusi na Mbobezi kuwaangalia wenzie, anacheeeka na kukumbuka mbaliii
🏀🏐🥎⚾️⚽️ Kweli KabisaNilijua nimeona peke yangu kumbe wajanja wengi wamestukia[emoji134][emoji134]
Jamaa walikosea sana pale... Ile ilitakiwa ifanyike kwenye vikao vya ndani vya Chama sio mbele ya international figure marais wanne wa kigeni live.
Ni kosa Sana mwanajeshi jasusi na Mbobezi kuwaangalia wenzie, anacheeeka na kukumbuka mbaliii
Mbongo kwa ujuaji hana mpinzani.Tatizo la sisi Watanzania baadhi yetu tunajifanya ni wajuwaji sana kumbe akuna kitu
Niliicoment pahala kwenye uzi wa maadhimisho yaUhuru hii kituNilimuambia mtu hii kitu [emoji23][emoji23][emoji23].
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.
Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!
Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Ni Tathimini yake kama binadamu lakina nakukatalia Yule ni raisi hata kama angedharau wewe usingegundua .weka picha tukuamini.Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.
Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!
Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?