Kwanini Pendekezo la Samia kwa Janabi linaweza kuwa ni changamoto?

CCM wanawaza kuiba kura tuu, huo ushauri wako peleka Chadema.
 
..huyu Mama uelewa na uwezo wake ni mdogo sana.

..CV ya Prof.Janabi sio ya kufanya kazi ktk shirika kama WHO.

..nafasi inayogombaniwa inahitaji mtaalamu wa masuala ya public health, mwenye rekodi ya uongozi, na uzoefu wa kimataifa.
 
..jumping the gun! learned people may now understand when saying..the high office sweepers mostly r under age!
 
..zoezi linaloendelea ni kumpokea kijiti Dr.Motshidiso Moeti toka Botswana.

..huyu ndiye ambaye Dr.Ndugulile alikuwa anakwenda kumpokea ofisi.

..sasa ukisoma wasifu wa Dr.Moeti unasema kwamba ni Physician, Public Health Specialist, and medical administrator.

..Na Dr.Moeti kabla ya kuchaguliwa kuwa mkurugenzi wa UN-WHO Africa alikuwa na uzoefu wa kimataifa ikiwemo WHO kwenyewe.
 
Huna Unachojua samahani lakin

Hilo neno lako ( kwanza mimi siamini kama rais hajui utaratibu ni neno la hovyo!! Who feed the president ? Rais alishawahi kuteua UVCCM kushika U DG wa ile taasis ya Energy na after 3 days akatengua…. What does it mean ? Rais inategemea kalishwa info gani

Utaratibu niliokuwekea ndio sahihi na Rasmi…. Na baada ya kikao cha Geneva kutakuwa na recomm ndation

Ndio tutajua hatma ya hiyo post
Soma vema nilichoandika

kamsikilize Rais wako…..amekuambia tunamuandaa wakat ukifika tutakuambia… there is no official info from WHO .

Pia post zote WHO wanaziweka kwenye website yao kila kitu kipo wazi au unadhan ni post za CCM hizo mnateuana tu na mastandard 7 failures humo humo
 
Nenda kapitie CV ambazo wale wa 3 aliowashinda Faustine then njoo comment tena
Wenye mtakuwa na hizo CV za hao wagombea walioshindwa na fau mtusaidie na sisi tupite tuweze kujifunza
 
Bado Rais hajakosea. Kutamka sio ku officialize. Hata WHO hakuna mahali wamesema hairuhusiwi m
Kwahiyo Rais kavunja utaratibu wa WHO na Prof. Janabi according to you HANA sifa tena za kugombea WHO kwasababu Rais kamtangaza sio?
 
Inawezekana wanafanya due diligence pia kabla scanning..
 
Very true.
 
Nahisi huyu mama ukimshauri, akikutana na mashosti wanampa ushauri mpya ule wa kwanza anautupa
 
Bado Rais hajakosea. Kutamka sio ku officialize. Hata WHO hakuna mahali wamesema hairuhusiwi m

Kwahiyo Rais kavunja utaratibu wa WHO na Prof. Janabi according to you HANA sifa tena za kugombea WHO kwasababu Rais kamtangaza sio?
yes According to you .

Unless urudie upya kusoma post yangu utaelewa
 

Haya uliyoandika yanaathiri Vipi ugali wangu?
 

Attachments

  • IMG_3651.jpeg
    258.5 KB · Views: 6
  • IMG_3652.jpeg
    293.8 KB · Views: 4
  • IMG_3653.jpeg
    618.2 KB · Views: 5
CCM walisha zoea magumashi wanafikiri hadi huko duniani wanataka huo upumbafu
Ccm imeingiaje hapo aisee ?

Ndio maana taifa linaishia kuwa masikini

You can’t even have rational thinking kwenye basic stuff
 
Cv
 

Attachments

  • IMG_3656.jpeg
    197.4 KB · Views: 7
  • IMG_3655.jpeg
    235.8 KB · Views: 4
  • IMG_3654.jpeg
    127.7 KB · Views: 4

Attachments

  • IMG_3657.jpeg
    197.8 KB · Views: 4
  • IMG_3658.jpeg
    171.9 KB · Views: 5
  • IMG_3659.jpeg
    600 KB · Views: 3
  • IMG_3660.jpeg
    399.4 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…