Kwanini Pendekezo la Samia kwa Janabi linaweza kuwa ni changamoto?

Kwanini Pendekezo la Samia kwa Janabi linaweza kuwa ni changamoto?

Wenye mtakuwa na hizo CV za hao wagombea walioshindwa na fau mtusaidie na sisi tupite tuweze kujifunza
Nimekuwekea CV zote

Angalia kwenye education Background unone Fau alivyokuwq mchanga …. But alikuja kutoboa kwenye work experience na political position held. Fau alikuwa na international exposure. Ndio iliyombeba. Hakuwa na elimu kubwa. Hayo majamaa mengine yanaelimu hasa at PhD level pamoja na international exposure

CV ya janabi ni local based . WHO is not focusing na u prof. Otherwise Fau would not prosper
 
Wote hawakuwa na CV kubwa kihivyo walikuwa rank moja na ndungulile
Post graduate na PhD ni sawa sawa…. ? PhD ni level ya mwisho kwenye academic it can take you up to 5 years

Fau hakuwa na PhD , unless define level kwako ni nini
 
Ikiwa Mkurugenzi Mkuu mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) atafariki kabla ya kuapishwa au kuchukua rasmi ofisi, taratibu zifuatazo zinafuatwa ili kuhakikisha uongozi unaendelea:

1. Uongozi wa Muda: Mkurugenzi Mkuu aliyepo madarakani anaweza kuendelea kushikilia nafasi hiyo kwa muda hadi mchakato wa kumchagua kiongozi mpya ukamilike. Iwapo nafasi iko wazi, bodi ya utendaji ya WHO inaweza kuteua kiongozi wa muda.

2. Kuanzisha Uchaguzi Mpya: Mchakato wa uchaguzi mpya utaanzishwa haraka. Hii itahusisha:
• Kupokea uteuzi wa wagombea kutoka kwa Nchi Wanachama.
• Kukagua wagombea na Bodi ya Utendaji ya WHO.
• Kura kupigwa na Mkutano wa Afya Duniani (WHA).
3. Sheria za Dharura: Masharti maalum yaliyoainishwa katika Katiba ya WHO (Vifungu 31 na 108-114) na taratibu za WHA zitatumika.

Hapo juu ni Utaratibu rasmi kutoka Miongozo ya WHO na katiba yao.

Kikao kitakachofanyika Geneva , Feb 25 ambacho kilikuwa kinaenda kumpitisha Faustine kuwa DG rasmi ndicho kitakachoamua nini kifanyike miongoni mwa mambo matatu hapo juu.

Dr Matshidiso anaweza kuendelea na interim leadership mpaka itakapoamuliwa juu ya uchaguzi mpya.

Kama kikao kitaamua ku adopt namba 2 hapo juu, kutakuwa na official invitation kwa kila member state kuwasilisha proposed candidate ambapo WHO itawafanyia scanning na kubakisha wasiozidi 5 tu , kwa Faustine walibakishwa 4 tu.

Tanzania haijapata invitation yet na hakuna nchi imepewa announcement kuandaa candidate ; however tumesha mu endorse mtu. Haina tatizo kwenye katiba ya WHO na kanuni zake; however it may lead to diplomatic repercussions - WHO expect member state to be respectful of WHO guidelines . On the otherhand, other member States may perceive it as a premature or politically motivated.

WHO inajiweka mbali na siasa za kila nchi.

Je washauri mliliangalia hili la kuwa mbele ya muda without Official notice? Inaonesha kama tumepanick nia inaweza hata ku raise suspicious kwenye other member States

Fau ni mtoto wa mjini, si mnaona hata hajazikiwa Karatu, hivyo hiyo nafasi amejipambania kisha baada ya kutiki ndio akaomba endorsement ikiwa ni criterion ya lazima na akapewa shortlist :tunaambiwa kulikuwa na CV 5 zilizopitiwa, je info ilitoka wapi na lini maana wenye uwezo wapo wengi. Tayari kumtangaza mtu bila ya transparency, hii itakuwa ni setback nyingine kwa Janabi endapo WHO itaanzisha mchakato mpya. Tayari kuna political influence in between. I am afraid kama Janabi ataingia kwenye shortlist endapo post ya Fau itatangazwa upya.

Vigezo 3 muhimu WHO wanaviangalia kwenye post ya DG ambapo janabi haonekani!

Global Health leardership -hapa Fau alitoboa kwa ile nafasi ya deputy MoH na alishawahi kuwa katibu MoH … ilimpa exposure ya Global Health

2. International Collaboration -kwa post za Fau hapa pia alitoboa

3 Vision thinking inayo align na WHO priorities
Janabi hajawqhi kuwa exposed to any global health leadership aligning to global Health policy hii ni setback kubwa anakosa exposure na global high table ambazo Fau alizipata kupitia post zake

He has been in operational muda wa carear path yake …. JKCI to MNH and he is more operational than a leader

Kama ni u prof…. Fau hana hata Phd, he was just a physician with global health leadership… aliweza kuwa piku kina Dr Ibrahim ambao wana phd na ni ma prof, kina Dr Sambo wa Niger kina Dr Mihigo wa Rwanda. Ukicheki ile shortlist Fau pekee ndio alikuwa na elimu ndogo ya post graduate tu.

Kama WHO wataanzisha mchakato mpya baada ya kikao Kuamua hiyo Feb. I am afraid proposal ya Janabi ipo kisiasa na inaweza kuwa setback tukatoka kwenye preliminary stage

Time is the best contender
Safi
 
Unasema d
Nimekuwekea CV zote

Angalia kwenye education Background unone Fau alivyokuwq mchanga …. But alikuja kutoboa kwenye work experience na political position held. Fau alikuwa na international exposure. Ndio iliyombeba. Hakuwa na elimu kubwa. Hayo majamaa mengine yanaelimu hasa at PhD level pamoja na international exposure

CV ya janabi ni local based . WHO is not focusing na u prof. Otherwise Fau would not prosper
r.kwasababu ya political background na ndungulile kilichombeba mbona huyo moeti hata political background hakuwa nayo au Michael Ryan ambaye ni deputy WHO director hiyo political background hana? Point yako ni mufulisi
 
Chura anazani ni sawa na kunadi nyani ya kijani jimboni
 
Unasema d
r.kwasababu ya political background na ndungulile kilichombeba mbona huyo moeti hata political background hakuwa nayo au Michael Ryan ambaye ni deputy WHO director hiyo political background hana? Point yako ni mufulisi
Political Background ndio nini ?

Go and Check position held
 
Kwanza siamini kama mpaka Rais Samia anaamua kumpendekeza Prof. Janabi utaratibu huo unaposema alikuwa haujui. Na kwa sasa hivi nafasi Iko wazi na ruksa kila mtu mwenye sifa kutia nia. Labda angalizo kwangu ni kwamba labda tusiwe na expectations kubwa kuwa kwakuwa Dk. Ndungulile alishinda, basi na huyu LAZIMA ashinde. Hapo ndio tutakosea.
Nyie kila jambo mnafikiri linaenda kitamisemisemi na nec

Ova
 
Umeielezea vizuri sana. Hakukuwa na haja ya mama kumtangaza Prof. Janabi mapema as our state's representative. Sijui alishauriwa au yeye mwenyewe tu aliamua kufanya hivyo kabla ya kusoma WHO Guidelines!
🤝
 
Ikiwa Mkurugenzi Mkuu mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) atafariki kabla ya kuapishwa au kuchukua rasmi ofisi, taratibu zifuatazo zinafuatwa ili kuhakikisha uongozi unaendelea:

1. Uongozi wa Muda: Mkurugenzi Mkuu aliyepo madarakani anaweza kuendelea kushikilia nafasi hiyo kwa muda hadi mchakato wa kumchagua kiongozi mpya ukamilike. Iwapo nafasi iko wazi, bodi ya utendaji ya WHO inaweza kuteua kiongozi wa muda.

2. Kuanzisha Uchaguzi Mpya: Mchakato wa uchaguzi mpya utaanzishwa haraka. Hii itahusisha:
• Kupokea uteuzi wa wagombea kutoka kwa Nchi Wanachama.
• Kukagua wagombea na Bodi ya Utendaji ya WHO.
• Kura kupigwa na Mkutano wa Afya Duniani (WHA).
3. Sheria za Dharura: Masharti maalum yaliyoainishwa katika Katiba ya WHO (Vifungu 31 na 108-114) na taratibu za WHA zitatumika.

Hapo juu ni Utaratibu rasmi kutoka Miongozo ya WHO na katiba yao.

Kikao kitakachofanyika Geneva , Feb 25 ambacho kilikuwa kinaenda kumpitisha Faustine kuwa DG rasmi ndicho kitakachoamua nini kifanyike miongoni mwa mambo matatu hapo juu.

Dr Matshidiso anaweza kuendelea na interim leadership mpaka itakapoamuliwa juu ya uchaguzi mpya.

Kama kikao kitaamua ku adopt namba 2 hapo juu, kutakuwa na official invitation kwa kila member state kuwasilisha proposed candidate ambapo WHO itawafanyia scanning na kubakisha wasiozidi 5 tu , kwa Faustine walibakishwa 4 tu.

Tanzania haijapata invitation yet na hakuna nchi imepewa announcement kuandaa candidate ; however tumesha mu endorse mtu. Haina tatizo kwenye katiba ya WHO na kanuni zake; however it may lead to diplomatic repercussions - WHO expect member state to be respectful of WHO guidelines . On the otherhand, other member States may perceive it as a premature or politically motivated.

WHO inajiweka mbali na siasa za kila nchi.

Je washauri mliliangalia hili la kuwa mbele ya muda without Official notice? Inaonesha kama tumepanick nia inaweza hata ku raise suspicious kwenye other member States

Fau ni mtoto wa mjini, si mnaona hata hajazikiwa Karatu, hivyo hiyo nafasi amejipambania kisha baada ya kutiki ndio akaomba endorsement ikiwa ni criterion ya lazima na akapewa shortlist :tunaambiwa kulikuwa na CV 5 zilizopitiwa, je info ilitoka wapi na lini maana wenye uwezo wapo wengi. Tayari kumtangaza mtu bila ya transparency, hii itakuwa ni setback nyingine kwa Janabi endapo WHO itaanzisha mchakato mpya. Tayari kuna political influence in between. I am afraid kama Janabi ataingia kwenye shortlist endapo post ya Fau itatangazwa upya.

Vigezo 3 muhimu WHO wanaviangalia kwenye post ya DG ambapo janabi haonekani!

Global Health leardership -hapa Fau alitoboa kwa ile nafasi ya deputy MoH na alishawahi kuwa katibu MoH … ilimpa exposure ya Global Health

2. International Collaboration -kwa post za Fau hapa pia alitoboa

3 Vision thinking inayo align na WHO priorities
Janabi hajawqhi kuwa exposed to any global health leadership aligning to global Health policy hii ni setback kubwa anakosa exposure na global high table ambazo Fau alizipata kupitia post zake

He has been in operational muda wa carear path yake …. JKCI to MNH and he is more operational than a leader

Kama ni u prof…. Fau hana hata Phd, he was just a physician with global health leadership… aliweza kuwa piku kina Dr Ibrahim ambao wana phd na ni ma prof, kina Dr Sambo wa Niger kina Dr Mihigo wa Rwanda. Ukicheki ile shortlist Fau pekee ndio alikuwa na elimu ndogo ya post graduate tu.

Kama WHO wataanzisha mchakato mpya baada ya kikao Kuamua hiyo Feb. I am afraid proposal ya Janabi ipo kisiasa na inaweza kuwa setback tukatoka kwenye preliminary stage

Time is the best contender
Kwani kamuiendorse kwa maandishi rasmi au kamuendorse kwa kuongea tu?
Hivi si ni kwamba hadi sasa kilichotokea ni kuwa kamuendorse kwa maneno tu, yani ni kama tu katoa maoni yake, na maoni si kila mtu ana yake
 
Shukran sana kwa maoni yako je ukiachana na janabi hamn mtu mwingine mwenye International background kwenye uongozi ..je ungependekeza nani apewe priority kwenye hilo linalokuja
Sio LAZMA iwe international background...lkn Kuna yule dada representative wa who Malawi ni mtanzania, mwingine ambae ana sifa zote ni Dr. Doroth Gwajima.....nataka nikuambie mh. Kigwangala ana exposure na sifa kuliko mh. Janabi
 
Sisi nin
i kinachomfanya janabi asifit? Au nenda kagombee na wewe na Ka degree chako cha MD kutoka st.francis ifakara
Kwa hiyo wewe huwezi kutibiwa na Dkt. ametoka St. Francis? Sawa..
Lkn nadhani nafasi hii ya kuwa DG WHO - Africa inaangalia zaidi ya sifa anazo Prof. Janabi km uzoefu ktk utungaji na usimamizi wa sera kitaifa na mafanikio km yapo sifa hii inataka mgombea awe amefanya kazi kwny vyombo vya kutunga sera na kuzisimamia kitaifa..km alikuwa waziri ni nzuri zaidi..Prof. Janabi anakosa sifa hiyo, kingine ni mchakato wa namna mgombea anapatikana..kuanza kuteua mtu au kumpendekeza mtu awe mgombea na kwa hivyo kumpa nafasi fulani imuongezee sifa si hatua sahihi sana..km inavyofanyika kwa Prof. Janabi badala ya kumjenga inamdhoofisha.
 
Kwani kamuiendorse kwa maandishi rasmi au kamuendorse kwa kuongea tu?
Hivi si ni kwamba hadi sasa kilichotokea ni kuwa kamuendorse kwa maneno tu, yani ni kama tu katoa maoni yake, na maoni si kila mtu ana yake
..amemteua kuwa mshauri wake kumpa mileage kisiasa, haya ndio hayatakiwi nadhani..
 
yes According to you .

Unless urudie upya kusoma post yangu utaelewa
Unanipotezea bando tu. Anyway, ngoja tusubiri tuone kama "Prof. Janabi atakatwa na WHO" kama wagombea wa wenyeviti wa mitaa (ahahahahaha) ndio ntaamini unachosema. Na hii ni kwasababu sitaki malumbano wakati muda bado upo and the time always tells the truth!
 
Back
Top Bottom