Sawa ilikuwa chini ya nani kipindi unapata mafanikio hayo na vipi baada ya hayo mafanikio Thamani ya Simba ilipanda au ilishukaSimba Ishawahi pata mafanikio makubwa hata kabla yake ikiwemo kufika hadi nusu fainali ya CAF
Hakuna ugonjwa mkubwa duniani kama UMASKINI na uhusiano wa umaskini na uchawi ni mkubwa sana. Wewe kwenye kawaha kupiga domo hujui wachezaji wanasajiliwa vipi na kwa kiasi gani, hujui wanalala wapi na kwa garama gani ,hujui wanatibiwa kwa kiasi gani, hujui safari za timu nje na ndani ya nchi fedha zonatoka wapi halafu unaongea mautopolo hapa?
She comes from a wealth family kwanza taambua hilo ndugu yangu sio kina Ashura ndala ndefu.
Mbona kabla yake hatukuona hiyo thamani unayosema leo
Wewe uliwahivkufanya lipi? Kama umefanta chochote ndio unaweza kuwa na locus standiHayo yote yalikuwa yanafanyika hata kabla ya tapeli kuingia simba
Mletaji mada in Yanga, timu ya Kikwete.Hao wachezaji walinunuliwa na nani?
Maana alietoa hela zake kununua ndie anaepaswa kupokea pesa za kuuza mchezaji aliyemnunua.
Je, Luis Miqquissone alinunuliwa na pesa za nani?
Wewe una ushahidi kuwa imewekwa kwenye acc ya Mo? Na ililipwa lini pesa hiyo?Amenunua au amechukua free contract players, wanasimba hapa tusikubali kupigwa, pesa ya mauzo ya wachezaji lazima iingie kwenye Bank account ya club
Usikatishe dozi tafadhali, zingatia maelezo ya daktariWewe una ushahidi kuwa imewekwa kwenye acc ya Mo? Na ililipwa lini pesa hiyo?
Ya Miqson iliwekwa sh ngapi na kutoka timu gani na ya Chama ililipwa sh ngapi pia?
Tuwekee check tu hapa kama list ya malipo utaikosa
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Ungeambatanisha na bank statement ili tujue hiyo account ya huyo mtu binafsi ni nani?Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Umewekeza kiasi ganiMkuu hapa tunaongelea public terms na sio personal terms, Simba SC ni public team with an investor of its 49% shares. Na share Kubwa inayobaki ipo kwetu wanachama wa timu na kwann sasa awe na nguvu kuliko sisi wanachama tulio na nguvu, Tutakuja kujutia na hii timu yetu siku moja wanasimba, Tuamkeee
Acha ayapige makima hayoMudy ni mpigaji tu
Hivi hizo hela zimeingizwa kwenye account ipi binafsi?Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
muulize ataje hata namba ya benki iliyoingia hiyo helaWewe ni muhasibu wa simba? Duniani malipo mengi ya ada za usajili yanafanyika kisheria kwa installments. Barcelona ni mufulisi wanadaiwa na timu mbalimbali zaidi ya euro 800m kama ada kutokana na usajili wa miaka ya nyuma, na wengi wa hao wachezaji walisha staafu na kuhama timu Coutinho, dembele, nk.
Kuna mchezaji emiliano sala alisajiliwa na cardif kwa paund 18m kabla hata hajafanya mazoezi na cardif wiki hiyo hiyo alipata ajali ya ndege akitokea ufaransa akafa na cardif walikuwa hawajalipa hata senti ila mkataba uliwabana walipe deni la kumsajili marehemu. Kuna paperwork na money transfer
undisclosed fee, after mutual cosent-kamwagaHao wachezaji walinunuliwa na nani?
Maana alietoa hela zake kununua ndie anaepaswa kupokea pesa za kuuza mchezaji aliyemnunua.
Je, Luis Miqquissone alinunuliwa na pesa za nani?