Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Majitu mengi yanayomtetea MO humu hayana akili/mbumbumbu.

Kwanza lazima tukubali hizi bado tuhuma( hakuna uthibitisho)

Lakini inashangaza sana pale unapoona watu wanasahau kuwa Simba ni kampuni na Mo ni mwanahisa tu, unateteaje mtu kuchukua hela za kampuni na kuweka kwenye account binafsi ( narudia tena hizi bado ni tuhuma).

Mo kama mwanahisa , hela yake anakuja kuipata baada ya mahesabu kufanywa na anapewa kutoja katika faida iliyoingizwa na kampuni, sio kuchota hela zote za mauzo ya mchezaji peke yake.

Kama kweli amefanya hivyo, anaweza kushtakiwa kwa kuhujumu uchumi kwa kuwa atakuwa ameikosesha serikali ya Tanzania mapato kupitia kampuni ya Simba ambayo ndio inapaswa kupokea fedha zote za kampuni.
 
Hayo yote yalikuwa yanafanyika hata kabla ya tapeli kuingia simba
Hakuna ugonjwa mkubwa duniani kama UMASKINI na uhusiano wa umaskini na uchawi ni mkubwa sana. Wewe kwenye kawaha kupiga domo hujui wachezaji wanasajiliwa vipi na kwa kiasi gani, hujui wanalala wapi na kwa garama gani ,hujui wanatibiwa kwa kiasi gani, hujui safari za timu nje na ndani ya nchi fedha zonatoka wapi halafu unaongea mautopolo hapa?
 
Hao wachezaji walinunuliwa na nani?

Maana alietoa hela zake kununua ndie anaepaswa kupokea pesa za kuuza mchezaji aliyemnunua.

Je, Luis Miqquissone alinunuliwa na pesa za nani?
Mletaji mada in Yanga, timu ya Kikwete.
 
Amenunua au amechukua free contract players, wanasimba hapa tusikubali kupigwa, pesa ya mauzo ya wachezaji lazima iingie kwenye Bank account ya club
Wewe una ushahidi kuwa imewekwa kwenye acc ya Mo? Na ililipwa lini pesa hiyo?
Ya Miqson iliwekwa sh ngapi na kutoka timu gani na ya Chama ililipwa sh ngapi pia?

Tuwekee check tu hapa kama list ya malipo utaikosa
 
Wewe una ushahidi kuwa imewekwa kwenye acc ya Mo? Na ililipwa lini pesa hiyo?
Ya Miqson iliwekwa sh ngapi na kutoka timu gani na ya Chama ililipwa sh ngapi pia?

Tuwekee check tu hapa kama list ya malipo utaikosa
Usikatishe dozi tafadhali, zingatia maelezo ya daktari
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji

Tulishasema siku nyingi kwamba Mo ni TAPELI na sio muwekezaji.
 
Maana ya mwekezaji ni nini? Kwani gsm wanaweka account ipi pesa za yanga?
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Ungeambatanisha na bank statement ili tujue hiyo account ya huyo mtu binafsi ni nani?
 
Mkuu hapa tunaongelea public terms na sio personal terms, Simba SC ni public team with an investor of its 49% shares. Na share Kubwa inayobaki ipo kwetu wanachama wa timu na kwann sasa awe na nguvu kuliko sisi wanachama tulio na nguvu, Tutakuja kujutia na hii timu yetu siku moja wanasimba, Tuamkeee
Umewekeza kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Hivi hizo hela zimeingizwa kwenye account ipi binafsi?
 
Wewe ni muhasibu wa simba? Duniani malipo mengi ya ada za usajili yanafanyika kisheria kwa installments. Barcelona ni mufulisi wanadaiwa na timu mbalimbali zaidi ya euro 800m kama ada kutokana na usajili wa miaka ya nyuma, na wengi wa hao wachezaji walisha staafu na kuhama timu Coutinho, dembele, nk.

Kuna mchezaji emiliano sala alisajiliwa na cardif kwa paund 18m kabla hata hajafanya mazoezi na cardif wiki hiyo hiyo alipata ajali ya ndege akitokea ufaransa akafa na cardif walikuwa hawajalipa hata senti ila mkataba uliwabana walipe deni la kumsajili marehemu. Kuna paperwork na money transfer
muulize ataje hata namba ya benki iliyoingia hiyo hela
 
Back
Top Bottom