Sasa naamin kwanini watanzania wengi hatuna ubunifu kwenye maisha.. sababu ni wavivu wa kufikir.. na kutafuta ukweli tunapenda sana kujadili umbea bila kutafuta credibility ya taarifa husika
Labda mniambie kuna taarifa ingine imetoka sijaiona, ila kama haya yote yanatokana na Mahojiano ya Magori na EFM. mie nimesikia akisema yafuatayo
aliulizwa swali la mtego na yule mtangazaji kama
ifuatavyo
Mtangazaji kauliza:-
"Mnasema Simba misimu ya nyuma imekuwa ikipata hasara. na sasa zipo taarifa mmeuza wachezaji kwa pesa nyingi mfano chama kauzwa 1.2b. na wachezaji wote waliosajiliwa na Simba had sasa manunuz inasemekana hayajazid 1.2b.. maana yake pesa ya Miq itakuwa faida au sio?"
Magori: Kajibu
"Kwanza mjue fedha yote usajili wa sasa hv haijatokana na mauzo ya wachezaj hawa maana kwenye mauzo ya wachezaj pesa zinalipwa kwa installments.. club huwa inasema italipa mara ngap na katika vipindi vingap.. kwa sasa bado simba hawajapokea kiasi chochote kile, hata installment ya kwanza kutoka club hiz.. maana kuna makubaliano.. kwa hiyo pesa ya usajili wa sasa ilishakuwepo kwenye Bajet wala sio hii..
kwa kuongezea walau Miq tulipokea ombi lake kutoka club inayomtaka miez 3 kabla so tulishajiandaa kisaikolojia kutafuta mbadala, Kwa
chama ni hivi karibuni tu ndo maombi yamekuja"
Sasa wabongo ambao hamtak kujishughulisha kuhoji kuwa taarifa za Simba fedha kuingia kwenye account binafsi zinatoka wap mnabaki kuwatukana maskin viongoz wa watu hebu jitafakarini
hivi mnajua maswala ya malipo ya fedha kimataifa baina ya nchi na nchi?.. yaan mngejua huonutaratibu ulivyo complex kuweza kuhalalisha pesa ziingizwe kwenye account binafsi ili hali mauziano yanahudiana kati club na club wala msingepiga kelele humu
Kama MO anahitaj kuchukua hizo pesa ni rahs kwake kuzichukulia zikiwa account ya Simba maana naamin yeye ni mmoja wa signatory kuliko zilipwe direct kwenye Account yake..
Hebu jitafakarini yule Sio mdhamin sasa hivi ni sehem ya Uongoz wa Simba so Ana manage account zote hana sababu ya pesa ziingie direct kwenye account yake wakat anaweza akazipangia matumiz anavyotaka zikiwa tayar kwenye account ya Simba
Hata kama mkisema some how kuwa ana makubaliano na Simba ya kujilipa hizo pesa sababu alimnunua yeye.. ni lazima ziingie kwenye acc ya Simba then ndo Simba itoe hizo pesa kwenda kwa MO kama malipo sio Zije direct kwenye account yake..
na hivi mnajua hizi pesa ni lazima ziwe na uangaliz wa BOT.. transaction kubwa kama hiyo lazima BOT wawe wanamonitor hv mnajua kuna KODI ya Serikali hapo, sasa niambie hiyo Kodi kwenye makaratasi itasomekaje ikiwa Simba hakitakuwa na record wao kupokea hayo Malipo.
Nafikir Elimu inatakiwa itolewe kwa wa wabongo sasa hv hiz club zinaendeshwaje.. bado tunaamin mfumo ni ule wa kina Manji au Azim Dewji