Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapel wanaojiita wawekezaji
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu
Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pmj na try again
Takukuru mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Nyinyi ndio mliokuwa sehemu ya Upigaji Simba sasa Tajiri kaminya na kufinya kila kona mnaanza kutapatapa, simba hii sio ya kipindi hicho wewe BOYA!
 
Hawa wote kuanzia mleta mada ukiwafatilia ni vilaza shule hamna kutwa wanashinda vijiweni wanasubiri kukwapua, kuiba kuku za watu, chuma ulete au hisani.
Magalasa flani ya Utopolo zero brain Hata akili za kuvukia Barabara hamna.
Unajua WATZ tunashida mmoja kubwa ni wazushi aka WAKUDA sn tena hili ni kuanzia ngazi ya familia hadi UKO Juu.Na ukitaka kufanikiwa wewe Jitoe fahamu tu lazima uwe maarufu na utafanikiwa mambo yako mengi tu mbona.

Mifano ipo mengi sn
Angalia watu wanao jiita wasanii na tabia zao na wanasiasa na tabia zao hadi viongozi wa dini pia.
 
Wewe ni punguani,mauzo ni kati ya taasisi moja na nyingine,pesa italipwaje kwenye account ya mtu binafsi?!
Iyo taasisi itakayolipa itajazaje vitabu vyake vya hesabu
?! tatizo wengi shule hamna,wakati wenzenu wanasoma nyie mlikuwa nje mnapiga makelele.
Sasa ili mradi mmejua kusoma na kuandika ndio mnaanza kusumbua watu,na jukwaa linaonekana la wajinga.
Weka ushahidi hapa wa hiyo hela kulipwa kwenye account yake otherwise umbea tu na majungu, tafuta chako uje ukishupalie humu sio cha mwenzio.
Nyie ndio wale mwinzio akila vizuri wewe unakufa na kijiba cha roho.
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapel wanaojiita wawekezaji
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu
Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pmj na try again
Takukuru mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Mkuu umesahau kuwa Mo ameshaweka 20b zake kwa hisa 49. Anawasubiri wamiliki wa hisa 51 nao waweke hela yao. Kwa sasa anayenunua wachezaji na kuuza ndiye pia anayetunza fedha. Haiwezekani Mo aweke 20b halafu mwenye hisa 51 hajaweka hata shilingi 1 then tutafute chungu cha pamoja cha kuweka hela ya mapato, hiyo hapana.
 
Unajua WATZ tunashida mmoja kubwa ni wazushi aka WAKUDA sn tena hili ni kuanzia ngazi ya familia hadi UKO Juu.Na ukitaka kufanikiwa wewe Jitoe fahamu tu lazima uwe maarufu na utafanikiwa mambo yako mengi tu mbona.

Mifano ipo mengi sn
Angalia watu wanao jiita wasanii na tabia zao na wanasiasa na tabia zao hadi viongozi wa dini pia.
Mkuu umegonga mlemle, hongera.
 
Pesa za mauzo zimeingia kwenye account ya mwekezaji. Labda ni kweli usemacho.

Je,umejiuliza pesa za kununua wachezaji wapya zinatoka kwenye account ya nani?
Akikujibu nitag mkuu
 
Pesa za mauzo zimeingia kwenye account ya mwekezaji. Labda ni kweli usemacho.

Je,umejiuliza pesa za kununua wachezaji wapya zinatoka kwenye account ya nani?
Amenunua au amechukua free contract players, wanasimba hapa tusikubali kupigwa, pesa ya mauzo ya wachezaji lazima iingie kwenye Bank account ya club
 
Pesa zimerudi kwa aliye wanunua
Kumbukeni hao hawakusajiliwa na Simba bali MO

Ni sawa na kina Kisinda

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu kama ndo hivi inafanyika simba hawatakaa waone faida mpka Yesu anarudi.

Bei yamkumsajili na bei ya kumuuza lazima iwe tofauti means kuna faida. Bora hela yote iingie simba mo apewe hela yake aliyomsajili then faida asilimia flani ibaki simba na asilimia kadhaa abaki Nayo Mo.

Wewe unabiashara yako unalipa kodi ya jengo umeme jina LA biashara umelitengeneza miaka na miaka. Mimi nakuja naleta machine yangu ya mil 100 unailinda, unaitangaza, nakuja kuiuza mil 150 alafu pesa yote inaingia kwangu.
 
Mkuu umesahau kuwa Mo ameshaweka 20b zake kwa hisa 49. Anawasubiri wamiliki wa hisa 51 nao waweke hela yao. Kwa sasa anayenunua wachezaji na kuuza ndiye pia anayetunza fedha. Haiwezekani Mo aweke 20b halafu mwenye hisa 51 hajaweka hata shilingi 1 then tutafute chungu cha pamoja cha kuweka hela ya mapato, hiyo hapana.
Nyani haoni kundule, mimi nina uhakika kwasasa wanasimba tumepewa upofu kwa haya mafanikio, wakati mambo yakienda tofauti ndo tutakuja kushtuka wakati hali ishakuwa mbaya, na tumeibiwa saana
 
Nyani haoni kundule, mimi nina uhakika kwasasa wanasimba tumepewa upofu kwa haya mafanikio, wakati mambo yakienda tofauti ndo tutakuja kushtuka wakati hali ishakuwa mbaya, na tumeibiwa saana
Katafute ugali wako, unaibiwa ulipoweka,we umeweka nn Simba. Mm furaha yangu ushindi tu.
Acheni majungu
 
Halafu ikiingia wewe utapata shilingi ngapi? Acha ujinga, tafuta ada ya watoto
Mkuu hapa tunaongelea public terms na sio personal terms, Simba SC ni public team with an investor of its 49% shares. Na share Kubwa inayobaki ipo kwetu wanachama wa timu na kwann sasa awe na nguvu kuliko sisi wanachama tulio na nguvu, Tutakuja kujutia na hii timu yetu siku moja wanasimba, Tuamkeee
 
Katafute ugali wako, unaibiwa ulipoweka,we umeweka nn Simba. Mm furaha yangu ushindi tu.
Acheni majungu
Huo ushindi siku ukigonga mwamba, ndo tutakuja kushtuka na tutakuwa tumechelewa na kupigwa sana pale Simba, tuamke wanasimba Tunapigwaaaa
 
Sasa wewe hizo hela za mauzo ya wachezaji ulitaka ziingizwe wapi?
Kwani wakati wananunuliwa unajua hela zilitoka wapi?

Acha uchwara. Tuachie Mooooo wetu
Mambo ya kutuchonganisha sie wanasimba acha kabisa.
Ushindi ndio furaha yetu
Pesa tunamwachia aliyetoa za kununulia[emoji1690]
 
Hao wachezaji walinunuliwa na nani?

Maana alietoa hela zake kununua ndie anaepaswa kupokea pesa za kuuza mchezaji aliyemnunua.

Je, Luis Miqquissone alinunuliwa na pesa za nani?
Kila taasisi Ina Mali zake. Ikiwemo fedha zinazohifadhiwa kwenye akaunti. Lazima taratibu za mapato,matumizi na manunuzi zifuatwe.

Huu uhuni wa kutumia jina la Simba kufanyia biashara haramu hautakiwi. Simba inatakiwa ijiendeshe hata Kama Mo hayupo na sio mfadhili aiendeshe. Yeye Ni mwanahisa hana haki ya kuweka matangazo ya biashara zake bure, anapaswa alipe na fedha zionekane kwenye akaunti.
 
Sasa naamin kwanini watanzania wengi hatuna ubunifu kwenye maisha.. sababu ni wavivu wa kufikir.. na kutafuta ukweli tunapenda sana kujadili umbea bila kutafuta credibility ya taarifa husika

Labda mniambie kuna taarifa ingine imetoka sijaiona, ila kama haya yote yanatokana na Mahojiano ya Magori na EFM. mie nimesikia akisema yafuatayo

aliulizwa swali la mtego na yule mtangazaji kama
ifuatavyo

Mtangazaji kauliza:-

"Mnasema Simba misimu ya nyuma imekuwa ikipata hasara. na sasa zipo taarifa mmeuza wachezaji kwa pesa nyingi mfano chama kauzwa 1.2b. na wachezaji wote waliosajiliwa na Simba had sasa manunuz inasemekana hayajazid 1.2b.. maana yake pesa ya Miq itakuwa faida au sio?"

Magori: Kajibu

"Kwanza mjue fedha yote usajili wa sasa hv haijatokana na mauzo ya wachezaj hawa maana kwenye mauzo ya wachezaj pesa zinalipwa kwa installments.. club huwa inasema italipa mara ngap na katika vipindi vingap.. kwa sasa bado simba hawajapokea kiasi chochote kile, hata installment ya kwanza kutoka club hiz.. maana kuna makubaliano.. kwa hiyo pesa ya usajili wa sasa ilishakuwepo kwenye Bajet wala sio hii..

kwa kuongezea walau Miq tulipokea ombi lake kutoka club inayomtaka miez 3 kabla so tulishajiandaa kisaikolojia kutafuta mbadala, Kwa
chama ni hivi karibuni tu ndo maombi yamekuja"

Sasa wabongo ambao hamtak kujishughulisha kuhoji kuwa taarifa za Simba fedha kuingia kwenye account binafsi zinatoka wap mnabaki kuwatukana maskin viongoz wa watu hebu jitafakarini

hivi mnajua maswala ya malipo ya fedha kimataifa baina ya nchi na nchi?.. yaan mngejua huonutaratibu ulivyo complex kuweza kuhalalisha pesa ziingizwe kwenye account binafsi ili hali mauziano yanahudiana kati club na club wala msingepiga kelele humu

Kama MO anahitaj kuchukua hizo pesa ni rahs kwake kuzichukulia zikiwa account ya Simba maana naamin yeye ni mmoja wa signatory kuliko zilipwe direct kwenye Account yake..

Hebu jitafakarini yule Sio mdhamin sasa hivi ni sehem ya Uongoz wa Simba so Ana manage account zote hana sababu ya pesa ziingie direct kwenye account yake wakat anaweza akazipangia matumiz anavyotaka zikiwa tayar kwenye account ya Simba

Hata kama mkisema some how kuwa ana makubaliano na Simba ya kujilipa hizo pesa sababu alimnunua yeye.. ni lazima ziingie kwenye acc ya Simba then ndo Simba itoe hizo pesa kwenda kwa MO kama malipo sio Zije direct kwenye account yake..

na hivi mnajua hizi pesa ni lazima ziwe na uangaliz wa BOT.. transaction kubwa kama hiyo lazima BOT wawe wanamonitor hv mnajua kuna KODI ya Serikali hapo, sasa niambie hiyo Kodi kwenye makaratasi itasomekaje ikiwa Simba hakitakuwa na record wao kupokea hayo Malipo.

Nafikir Elimu inatakiwa itolewe kwa wa wabongo sasa hv hiz club zinaendeshwaje.. bado tunaamin mfumo ni ule wa kina Manji au Azim Dewji
Mkuu nadhani wamekuelewa wanachama, wapenzi na mashabiki wa Simba ambao wana dukuduku kuwa hela zao zimeliwa. Kwa haya yanayotokea ningekuwa Mo ningeitisha mchango wa usajili wa wachezaji.
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Ww umejuaje kuwa pesa zimeingia kwenye account binafsi?
 
Back
Top Bottom