Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Watu wasiotumia uzazi wa mpango wanaweza wasiwe wanazaaanaKupungua ina maana hawaongezeki.Hawaongezeki kwa sababu hawazaani kwa wingi.Hwazaani kwa wingi,kwa nini?Fula pygmies.
Congo wana wala kama wanavyokula nyani na tumbiliWe mama mnakula binadamu uwiiii
Basi ndo maana wakongoman wana laaanaCongo wana wala kama wanavyokula nyani na tumbili
Ufupi ni risk factor ya kutozaliana kwa wingi ,kuna kitu kinaitwa cephalo pelvic disproportion (CPD), pelvis inakuwa ndogo sana kiasi kwamba ni ngumu mtoto kuweza kupita hata kama sio big babyWakuu hawa jamii ya watu inakaribia kupotea Africa?
Sasa je nini kinasababisha na wakati wao hawatumii uzazi wa mpango, wala hawachangamani na watu kifupi hawakubali maisha tunayoishi sisi jamii nyingine.
Ukienda Rwanda wanaitwa Twa,
Wengine wapo cameroon
Drc, zambia nk
Au hanahujumiwa
View attachment 3006753View attachment 3006754
Mkuu hao ni si wafupi ni asili yao tofautisha mtu mfupi kwene jamii ya warefu na wenye asili ya hiyo miili kwasababu ya evolutionsUfupi ni risk factor ya kutozaliana kwa wingi ,kuna kitu kinaitwa cephalo pelvic disproportion (CPD), pelvis inakuwa ndogo sana kiasi kwamba ni ngumu mtoto kuweza kupita hata kama sio big baby
Watu wanawageuza kitoweo, mishikaki yao inasifika sana kwa utam
Wapo wanaozaa na makabila ya kawaida ila wachacheMbona hao kwenye picha tunafanana na wtz kabisa. Na tunazaana
Mbona wapo tuu na hawajawahi kuondoka, tunaishi kwa hisani zao tuu bila wao hata mishahara hatuwezi kulipa, mifumo yote ya serikali, sheria ni yao, hata dawa tunazotumia ni zao, uhuru jina tuuWe mi sikubali arudi
Hii ni hatari kabisa,hawa wakongo wakiwamaliza mbilikimo,wataanza kuwawinda watu wafupi,wakiisha wataanza kutuwinda warefu,kumbe yafaa tuwe nao macho.Aisee ukistaajabu ya musa
Kongo serikali kinshasa tu kwingine ni survival for the fittestNa serikali inaangalia tu
ndio inasababisha wasizalianeSababu kuu inaweza kuwa naturally selection, sababu za ki genetics na mazingira mkuu.
Ni shida hiyo nchiKongo serikali kinshasa tu kwingine ni survival for the fittest