Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #41
mkuu usinigombanishe na waparekwani wewe huwa unawaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu usinigombanishe na waparekwani wewe huwa unawaonaje?
huo n uzushiKotoweo Congo
Watoto wake wamefanyaje ?? Yule siyo mbilikimo😂Kwani Steve Nyerere hana watoto?
Yaah hapa kweli maana hawaingiliani na makabila mengine kwasababu ya ubaguziMoja ya sababu zinawezq kuwa ni
1.Genetic diseases. Sababu ya kuzaliana wao kwa wao.
2. Kutokuwa na huduma za kiafya kwenye maeneo yao.
Dawa za kisasa, na wataalamu.
Wakipata ugonjwa mfano malaria tuu ni rahisi kupotea.
Wap hukp
huo n uzushi
aiseeWeiterleitungshinweis
www.google.com
Mbona kama walugulu hawa.. huyo ni mtu mzima kabisa au?Wakuu hawa jamii ya watu inakaribia kupotea Africa?
Sasa je nini kinasababisha na wakati wao hawatumii uzazi wa mpango, wala hawachangamani na watu kifupi hawakubali maisha tunayoishi sisi jamii nyingine.
Ukienda Rwanda wanaitwa Twa,
Wengine wapo cameroon
Drc, zambia nk
Au hanahujumiwa
View attachment 3006753View attachment 3006754
walugulu ni wafupi hivoMbona kama walugulu hawa.. huyo ni mtu mzima kabisa au?
kwan misitu ndo ilikua inawasababisha wawe hai... HABITAT LOSS!