Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Ndugu zangu mimi sina elimu sana ila nije kwenye swali,
Kwanini mtume wa Waislamu kajificha wakati huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina Pilato, Julias Caesar, Cleopra, Firauni, Musa akina Ismail hata Yesu kamkuta.
Sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwanini mpaka sasa hata sura wanamficha?
Naombeni majibu maana hawo akina Pilato, Julias picha zao ziko sasa kwanini mtu mwema ajifiche.
Muhammad hata wazee wetu wakina Mkwawa, Milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa. Yeye mbona ajifiche na akichorwa Waislamu wanaazisha ugomvi.
Shida iko wapi? Mweye elimu ajibu?
Kwanini mtume wa Waislamu kajificha wakati huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina Pilato, Julias Caesar, Cleopra, Firauni, Musa akina Ismail hata Yesu kamkuta.
Sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwanini mpaka sasa hata sura wanamficha?
Naombeni majibu maana hawo akina Pilato, Julias picha zao ziko sasa kwanini mtu mwema ajifiche.
Muhammad hata wazee wetu wakina Mkwawa, Milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa. Yeye mbona ajifiche na akichorwa Waislamu wanaazisha ugomvi.
Shida iko wapi? Mweye elimu ajibu?