Kwanini picha ya Muhammad (Mtume wa Waislamu) imefichwa na haijulikani mpaka leo?

Kwanini picha ya Muhammad (Mtume wa Waislamu) imefichwa na haijulikani mpaka leo?

Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
I AM NOT A JESEUS
 

Attachments

  • Screenshot_20240717-163348_Chrome.jpg
    Screenshot_20240717-163348_Chrome.jpg
    1.1 MB · Views: 2
Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
Biography ya Kwanza ya Mtume imeandikwa Miaka 200 baada ya yeye kufa.

No one has ever seen him, so there is big chance hakukuwahi kuwa na mtu anaitwa Muhammad kama Waislam wanavomsema
 
Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.

Ila waislam wa Afrika nao hawataki picha ya mtu iwekwe hadhari bila hata kujua sababu ni ipi.
 
Issa ametokea wapi hatumjui sisi isa tunamjua issaka mtoto wa abrahamu na mohammed ndio mtoto wa kambo wa ambraham ndio mwanzilishi wa dini yenu msikariri maisha
Mada inahusu picha, sio Abrahamu wala issaka.

Niliposema Issa nilimaanisha Yesu, sasa niambie kama ipo au ilikuwepo picha halisi ya Yesu?
 
Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.

Ila waislam wa Afrika nao hawataki picha ya mtu iwekwe hadhari bila hata kujua sababu ni ipi.
Duh!
Ova!
FaizaFoxy Tia neno hapo. Mimi nijuavyo ni kwamba picha ya Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him) haipo kwa sababu wakati anaishi hakukuwa na teknolojia ya picha. ( Cameras) period.
 
Back
Top Bottom