Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijaaaKwa hiyo unaamini sura ya yule mzungu ndio sura ya yesu ....
Kwaiyoo ndio sababu ya kuificha sura yakePangelikuwapo na picha yake basi watu wangeanza kuabudu ile picha kama wakristo mnavyofanya kwa ile picha ya mzungu aliye act kama yesu kwenye movie ..na vinyago mkachonga ..
I AM NOT A JESEUSNdugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
NdioKwaiyooo hawakuwepo ni story
Biography ya Kwanza ya Mtume imeandikwa Miaka 200 baada ya yeye kufa.Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
Issa ametokea wapi hatumjui sisi isa tunamjua issaka mtoto wa abrahamu na mohammed ndio mtoto wa kambo wa ambraham ndio mwanzilishi wa dini yenu msikariri maishaHao waliopita picha zao zipo wapi? Picha ya Mussa na Issa .as. zipo wapi?
Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
Mada inahusu picha, sio Abrahamu wala issaka.Issa ametokea wapi hatumjui sisi isa tunamjua issaka mtoto wa abrahamu na mohammed ndio mtoto wa kambo wa ambraham ndio mwanzilishi wa dini yenu msikariri maisha
Duh!Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.
Ila waislam wa Afrika nao hawataki picha ya mtu iwekwe hadhari bila hata kujua sababu ni ipi.
Ipo, hiyo hapo picha ya Muhammad kama Hadith inavyoelezea.Ukijua kwanini picha ya babu yake na babu yake na babu yake na babu yake na babu yako ambae aliishi mwaka 600 A.D haipo basi utajua sababu kwanini picha ya Prophet Muhammad ( pbuh) haipo.