Kwanini picha ya Muhammad (Mtume wa Waislamu) imefichwa na haijulikani mpaka leo?

Kwanini picha ya Muhammad (Mtume wa Waislamu) imefichwa na haijulikani mpaka leo?

Kwa kuwa ya Yesu ilishatoka wakaona wataharibu mikakati yao,,ni kama wale wa kwa Yesu Kristo mmoja wa kufa na nakuzikana(mke),,wakati wale wa upande wa kwa Mtume Mohammed 1-4(wake) hao wakufa nakuzikana,,ni mbinu tuu za kibiashara unaangalia madhaifu ya mnaefanya nae biashara zinazofanana unapita mulemule ili kujinyakulia wateja kwa upande huu(Dini) wengi wao wanafahamika kama "Waumini"
 
Kwa kuwa ya Yesu ilishatoka wakaona wataharibu mikakati yao,,ni kama wale wa kwa Yesu Kristo mmoja wa kufa na nakuzikana(mke),,wakati wale wa upande wa kwa Mtume Mohammed 1-4(wake) hao wakufa nakuzikana,,ni mbinu tuu za kibiashara unaangalia madhaifu ya mnaefanya nae biashara zinazofanana unapita mulemule ili kujinyakulia wateja kwa upande huu(Dini) wengi wao wanafahamika kama "Waumini"
Kweli wewe chura kiziwi
 
1000022611.png


Huyu Al-Bukhari Ndio mtu wa Kwanza kuandika Biography ya mtume, sasa angalia Mwaka aliozaliwa , Mahali aliozaliwa Uzbekistan na Muhammad alizaaliwa na Kuishi Madina/Mekka huko karibu.. ila Jamaa Ndio kawa andika habari za Muhammad ambaye hata Waarabu wenzake hawakuandika.

Alafu unakuta mtu anakaza fuzu anasema Muhammad alikuwa historical feature.

Hata hao aliokaa nae hakuwaachia urithi na wosia wa nani awe mrithi wa Uongozi wake..

Na hapo huyu Buhari sio final biography ya mtume wao, wako wengine waliondika Hadithi za Muhammad Miaka 100 baada ya huyu Buhari

Aje mwana zuoni humu aseme Quran ya mwanzo imeandikwa lini
 
Palikuwa na picha au kuna ya Mussa , hizo ni zama tofauti Mussa kaondoka ndio akaja Issah (PBUH) halafu wa mwisho .

Uweke picha ili watu waanze kuchonga masanamu 😛 😛
Baada ya Musa walipita mitume,waamuzi na manabii wengi sana hadi kuja kwa huyo uliyemwita "Issa". Nadhani umemaanisha Yesu kristo.

Kitabu cha mwisho cha agano la kale kwenye Biblia takatifu ambacho ni MALAKI, ilipita miaka zaidi ya 400 bila mtume yoyote pale Israel na mateso kutoka kwa warumi yalikuwa makali sana.

Kipindi chote hiki cha mateso Waisrael walikuwa na tumaini kuwa mfalme (masihi/kristo) atakuja kuwakomboa.

Kwa hiyo;

kwenye Biblia, ukishika ile karatasi ya mwisho ya kitabu cha agano la kale cha MALAKI hadi karatasi ya kwanza ya agano jipya ambayo ni kitabu cha Marko ni takriban miaka 400 ilishapita.
 
Ndugu zangu mm sina elimu sana ila nije kwenye swali kwann mtume wa waislamu kajificha wakat huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina pilato julias caesar cleopra firauni musa akina ismail hata yesu kamkuta sasa kama Muhammad ni mtume na ni mtu kaleta ujumbe kwa nn mpak sasa hata sura wanamficha naombeni majibu maaan hawoo akina pilato julias picha zao ziko sasa kwann mtu mwema ajifichee Muhammad hata wazee wetu wakina mkwawa milambo kawakuta na tunazo hata picha za kuchorwa yeye mbon ajifiche na akichorwa waislamu wanaazisha ugomvii shida iko wap mweye elimu ajibuuu
Huyo si mtume wa Mungu.
 
Baada ya Musa walipita mitume,waamuzi na manabii wengi sana hadi kuja kwa huyo uliyemwita "Issa". Nadhani umemaanisha Yesu kristo.

Kitabu cha mwisho cha agano la kale kwenye Biblia takatifu ambacho ni MALAKI, ilipita miaka zaidi ya 400 bila mtume yoyote pale Israel na mateso kutoka kwa warumi yalikuwa makali sana.

Kipindi chote hiki cha mateso Waisrael walikuwa na tumaini kuwa mfalme (masihi/kristo) atakuja kuwakomboa.

Kwa hiyo;

kwenye Biblia, ukishika ile karatasi ya mwisho ya kitabu cha agano la kale cha MALAKI hadi karatasi ya kwanza ya agano jipya ambayo ni kitabu cha Marko ni takriban miaka 400 ilishapita.
Hamna agano jipya wala la kale , agano jipya ni la paulo
 
Back
Top Bottom