Kwanini picha ya Muhammad (Mtume wa Waislamu) imefichwa na haijulikani mpaka leo?

I AM NOT A JESEUS
 

Attachments

  • Screenshot_20240717-163348_Chrome.jpg
    1.1 MB · Views: 2
Biography ya Kwanza ya Mtume imeandikwa Miaka 200 baada ya yeye kufa.

No one has ever seen him, so there is big chance hakukuwahi kuwa na mtu anaitwa Muhammad kama Waislam wanavomsema
 
Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.

Ila waislam wa Afrika nao hawataki picha ya mtu iwekwe hadhari bila hata kujua sababu ni ipi.
 
Issa ametokea wapi hatumjui sisi isa tunamjua issaka mtoto wa abrahamu na mohammed ndio mtoto wa kambo wa ambraham ndio mwanzilishi wa dini yenu msikariri maisha
Mada inahusu picha, sio Abrahamu wala issaka.

Niliposema Issa nilimaanisha Yesu, sasa niambie kama ipo au ilikuwepo picha halisi ya Yesu?
 
Sababu kubwa ya picha ya Mohammad kutowekwa hadharani ni kwavile alikuwa ni mtu mweusi. Hawataki kupotosha umma, lakini pia hawataki kusema ukweli.

Ila waislam wa Afrika nao hawataki picha ya mtu iwekwe hadhari bila hata kujua sababu ni ipi.
Duh!
Ova!
FaizaFoxy Tia neno hapo. Mimi nijuavyo ni kwamba picha ya Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him) haipo kwa sababu wakati anaishi hakukuwa na teknolojia ya picha. ( Cameras) period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…