kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Ni wazi kabisa sasa polis wamechukua nafasi ya CCM kushindana na vyama vya upinzani. Huku CCM ikiwa mtazamaji napengine kuwapo kama haipo.
Tofauti ndogo nikwamba polis wanamiliki siraha na mahabusu hivyo washindani wao wanakiona cha mtema kuni.
Ukiangalia kwa makini hawa polis na pengine hata iyo TISS wamewekeza nguvu kukipigania chama badala ya taifa. Mfano, walikua wapi Tiss na polisi wakati inchi inapigwa kwenye michongo ya kifisadi? Walikuwa wapi hizo idara zenye intelligence kali dhidi ya mikutano ya vyama vya upinzani? Kwenye wizi wa EPA kwenye uchotaji hela za Escrow kwenye sakata la Richmond Ufisadi kwenye UDA nk
Hapa ndipo pangekuwa kipimo cha uzalendo wao.
Utawaona sasa, wako bize kuteka, kukamata, kutesa, kupoteza, kubambikia kesi wafuasi wa vyma vya upinzani. Wanafanya hivi kulinda interest zao?
Interest za mabosi wao, interest za familia zao? Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?
Tofauti ndogo nikwamba polis wanamiliki siraha na mahabusu hivyo washindani wao wanakiona cha mtema kuni.
Ukiangalia kwa makini hawa polis na pengine hata iyo TISS wamewekeza nguvu kukipigania chama badala ya taifa. Mfano, walikua wapi Tiss na polisi wakati inchi inapigwa kwenye michongo ya kifisadi? Walikuwa wapi hizo idara zenye intelligence kali dhidi ya mikutano ya vyama vya upinzani? Kwenye wizi wa EPA kwenye uchotaji hela za Escrow kwenye sakata la Richmond Ufisadi kwenye UDA nk
Hapa ndipo pangekuwa kipimo cha uzalendo wao.
Utawaona sasa, wako bize kuteka, kukamata, kutesa, kupoteza, kubambikia kesi wafuasi wa vyma vya upinzani. Wanafanya hivi kulinda interest zao?
Interest za mabosi wao, interest za familia zao? Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?