Kwanini polisi wanaingilia misuguano ya kisiasa kila wakati nini maana ya kuwa na vyama vingi?

Kwanini polisi wanaingilia misuguano ya kisiasa kila wakati nini maana ya kuwa na vyama vingi?

Ejolisi

Member
Joined
Aug 26, 2022
Posts
57
Reaction score
87
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
 
Vyama vingi ni zuga tu , huoni polisi recruitment imeeongezeka kuongeza nguvu .
 
Tatizo mfumo uliwaweka polisi karibu na chama, shida inaanzia hapo.
 
Tatizo mfumo uliwaweka polisi karibu na chama, shida inaanzia hapo.
Kuna mmoja wao nilikuwa naongea naye ananishauri eti nchi hii usiingilie chochote ambacho hakina maslahi kwako wanafundishwa ubinafsi sana
 
Kuna mmoja wao nilikuwa naongea naye ananishauri eti nchi hii usiingilie chochote ambacho hakina maslahi kwako wanafundishwa ubinafsi sana
Huyo ndio amepewa jukumu la usalama wa raia na mali zao. Ajabu sana sio mchezo
 
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Vyama vingi ni zuga tu , huoni polisi recruitment imeeongezeka kuongeza nguvu .
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 6
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 7
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
soma vizuri uelewe hiyo barua ni yanini na kwa hakika hutababaika na sintofahamu yoyote gentleman na uwe muwazi tu na wala usione aibu kujipambanua :pulpTRAVOLTA:
 
Police wanariport kwa DC, RC kwa ngazi ya wilaya na mkoa ambao hao jamaa 100% ni makada wa CCM.
Ki Taifa wana riport kwa Rais Samia ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Hapo ndipo tatizo sugu lilipo, sasa kusubiri haki labda Kristo atakaporudi.
 
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Polisi Tanzania ni sehemu kubwa ya tatizo la amani ya nchi yetu
 
Chama imara kitawashinda polisi,..
Kitaungwa mkono na wananchi, sasa vyama hivi uimara wake uko mashakani mbele ya wananchi,
 
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Kwani polisi wana akili?
 
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?

Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.

Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 

Attachments

  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 9
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 7
Tatizo ni mfumo na si polisi; wizara inaongozwa na nani, amepatikanaje? Je akitoa maagizo, wa chini ana ubavu wa kutokutekeleza?​
 
Back
Top Bottom