Huyo ndio amepewa jukumu la usalama wa raia na mali zao. Ajabu sana sio mchezoKuna mmoja wao nilikuwa naongea naye ananishauri eti nchi hii usiingilie chochote ambacho hakina maslahi kwako wanafundishwa ubinafsi sana
Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.
Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?
Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.
Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Vyama vingi ni zuga tu , huoni polisi recruitment imeeongezeka kuongeza nguvu .
soma vizuri uelewe hiyo barua ni yanini na kwa hakika hutababaika na sintofahamu yoyote gentleman na uwe muwazi tu na wala usione aibu kujipambanuaMisuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.
Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?
Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.
Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Polisi Tanzania ni sehemu kubwa ya tatizo la amani ya nchi yetuMisuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.
Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?
Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.
Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
Kwani polisi wana akili?Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.
Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?
Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.
Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa.
Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini?
Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na mashindano ya kisiasa.
Hii nchi ingekuwa na hekaheka za kisiasa kama kenya na nchi nyinginezo uko nais mngeandika barua kila siku.