Kwanini Prince Dube anachezeshwa dakika 90 kila mchezo?

Kwanini Prince Dube anachezeshwa dakika 90 kila mchezo?

Tukiacha ushabiki! Mtoa mada una hoja ya msingi sana. Hata mimi nimekuwa nikijiuliza, hivi kweli Prince Dube ana sifa ya kucheza dakika 90 zote za mchezo kwenye mechi za Yanga?
Kweli Prince Dube ana sifa ya kuwa mshambuliaji kiongozi, wa kumsugulisha mpaka Kenned Musonda benchi? Kila ninapojiuliza haya maswali, majibu mara zote huwa yanakuja Hapana!!

Kwa sababu gani? Jibu ni kwamba Prince Dube hana utulivu! Hana stamina! Hana uwezo wa kutumia nafasi anazopata! Hana uwezo wa kuwapangua walinzi kama alivyokuwa akifanya Fiston Mayele, na pia dogo Clement Mzize, ambaye kwa sasa eti anachezeshwa pembeni baada ya Dube kusajiliwa!!

Nina wasiwasi huenda Prince Dube anachezeshwa kutokana maelekezo kutoka juu. Ila siyo kwa sababu tu ya uwezo wake. Nina wasiwasi kama atakuja kubadilika siku za usoni. Ila kama atabadilika kwa kuwa mshambuliaji aliyekamilika (mwenye stamina, utulivu, pace, nk), basi litakuwa ni jambo la heri kwake na pia klabu.

Ila mpaka sasa tukubali tu mchezaji wetu ni tia maji tia maji.
Nilishangaa kumuona Ramovic alipokuja tu kawa ndiye chaguo lake la kwanza na kumpa dakika 90 za kucheza nikapata wasiwasi pengine kuna hali ya ushinikizaji wa upangaji wa kikosi. Alipoondoka Ramovic, kwenye mechi dhidi ya Ken Gold nilitaka nithibitishe juu ya kile nilichokuwa ninakihisi ila nilipoona tena Dube yupo first eleven halafu kacheza dakika zote 90 nikahitimisha kuwa upangaji wa kikosi ndani ya Yanga kuna kiongozi anashinikiza kupangwa kwa baadhi ya wachezaji.

Uozo anaonesha Dube hakuna kocha anaweza kuvumilia huo upumbavu wake. Hana stamina, hatumii akili, mapepe kibao hatulii na hakai kwenye nafasi. Mzize kamuacha mbali Dube kwa kila kitu uwanjani. Nadhani Baleke angepewa nafasi kama alivyopewa Dube angekuwa na takwimu nzuri kuliko Prince mpumbavuleo Dube
 
Nilishangaa kumuona Ramovic alipokuja tu kawa ndiye chaguo lake la kwanza na kumpa dakika 90 za kucheza nikapata wasiwasi pengine kuna hali ya ushinikizaji wa upangaji wa kikosi. Alipoondoka Ramovic, kwenye mechi dhidi ya Ken Gold nilitaka nithibitishe juu ya kile nilichokuwa ninakihisi ila nilipoona tena Dube yupo first eleven halafu kacheza dakika zote 90 nikahitimisha kuwa upangaji wa kikosi ndani ya Yanga kuna kiongozi anashinikiza kupangwa kwa baadhi ya wachezaji.

Uozo anaonesha Dube hakuna kocha anaweza kuvumilia huo upumbavu wake. Hana stamina, hatumii akili, mapepe kibao hatulii na hakai kwenye nafasi. Mzize kamuacha mbali Dube kwa kila kitu uwanjani. Nadhani Baleke angepewa nafasi kama alivyopewa Dube angekuwa na takwimu nzuri kuliko Prince mpumbavuleo Dube
Jean Baleke ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika sana ukimlinganisha na Dube. Sijui ni nani alimpiga zengwe kiasi cha kushindwa kupewa nafasi ya kucheza hata kwenye mechi za kawaida kabisa, huku Dube akibebwa kwa kila hali.
 
Jean Baleke ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika sana ukimlinganisha na Dube. Sijui ni nani alimpiga zengwe kiasi cha kushindwa kupewa nafasi ya kucheza hata kwenye mechi za kawaida kabisa, huku Dube akibebwa kwa kila hali.
Dube anafanya shughuli nyingi uwanjani
Anakimbiza sana
Anajua kusimama
Kwa striker kupata hata nafasi ya kukosa goli ni ngumu, najua wengi hamjacheza nafasi hiyo
Japo Dube anakosa confidence
 
Dube anafanya shughuli nyingi uwanjani
Anakimbiza sana
Anajua kusimama
Kwa striker kupata hata nafasi ya kukosa goli ni ngumu, najua wengi hamjacheza nafasi hiyo
Japo Dube anakosa confidence
Watu wanataka magoli Sheikh. Kukimbia kimbia tu hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa shingo, kunaisaidiaje timu kushinda?

Mimi kwenye ukweli huwa sikopeshi. Prince Dube kwenye timu yetu bado anajitafuta. Na kama ana mpango wa kufikia viwango vya Fiston Mayele, basi anatakiwa apambane sana kwenye stamina, pace, na utulivu.
 
Nina mashaka sana na prince kama atatoboa msimu ujao.....
 
Jean Baleke ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika sana ukimlinganisha na Dube. Sijui ni nani alimpiga zengwe kiasi cha kushindwa kupewa nafasi ya kucheza hata kwenye mechi za kawaida kabisa, huku Dube akibebwa kwa kila hali.
Dube ana utukutu flani wa kukaba na kuwanyima utulivu mabeki

Ni mzuri wa kujiposition

Kwa mfumo wa yanga dube ni false striker kama mdoli wafungaji halisi ni wengine


Na hiyo ndo tofauti ya dube na musonda, dube anafanana na mzize utukutu


Hukuona mechi ya MC ALGER alianzishwa musonda hakuleta impact yoyote


Tatizo la dube kwa sasa ni lile alilopitia mzize miaka michache iliyopita


Avumiliwe
 
Watu wanataka magoli Sheikh. Kukimbia kimbia tu hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa shingo, kunaisaidiaje timu kushinda?

Mimi kwenye ukweli huwa sikopeshi. Prince Dube kwenye timu yetu bado anajitafuta. Na kama ana mpango wa kufikia viwango vya Fiston Mayele, basi anatakiwa apambane sana kwenye stamina, pace, na utulivu.
Jifunze kutazama mpira Kwa utulivu utaiona potential ya Dube
Ni mchezaji amekamilika
Nadhani anapata pressure ya kufanya vizuri kila mechi, ambayo hajawahi kupata popote kwenye kazi yake
 
Dube ana utukutu flani wa kukaba na kuwanyima utulivu mabeki

Ni mzuri wa kujiposition

Kwa mfumo wa yanga dube ni false striker kama mdoli wafungaji halisi ni wengine


Na hiyo ndo tofauti ya dube na musonda, dube anafanana na mzize utukutu


Hukuona mechi ya MC ALGER alianzishwa musonda hakuleta impact yoyote


Tatizo la dube kwa sasa ni lile alilopitia mzize miaka michache iliyopita


Avumiliwe
Unajua mpira sana mkuu
 
Dube ana utukutu flani wa kukaba na kuwanyima utulivu mabeki

Ni mzuri wa kujiposition

Kwa mfumo wa yanga dube ni false striker kama mdoli wafungaji halisi ni wengine


Na hiyo ndo tofauti ya dube na musonda, dube anafanana na mzize utukutu


Hukuona mechi ya MC ALGER alianzishwa musonda hakuleta impact yoyote


Tatizo la dube kwa sasa ni lile alilopitia mzize miaka michache iliyopita


Avumiliwe
Mchezaji wa kimataifa havumiliki,manake atakuwa amejaza ile list ya wachezaji 12 huku akiwa hana mchango ktk team,kwa mchezaji wa ndani sawa.
 
Naumia sana kuona DUBE anapangwa na kucheza kwa 90minutes
 
Hivi Dube alikua ana fake injury Azam? Mbona tangu atue utopolo haendi tena wodini.

Nb: takwimu zake kwa sasa sio mbaya
 
Back
Top Bottom